Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Mi nachokaga hapo tu, sikuwahi kuwasikia awamu ile ila sasahivi hadi pini ikidondoka watatoa waraka hawa jamaa ni wanafki sijapata kuona
Nakumbuka sana jinsi askofu MWAMAKULA,na askofu SHOO walivyokuwa wakikabiliana na nduli bila woga, kanisa katoliki ni sawa tu na bakwata kwa ccm
 
Kanisa Katoliki , Baba Maaskofu, Tusaidieni Tunauzwa utumwani, Tusaidieni tuondokane na Kamba hii ya Utumwa!

Hatupingi uwekezaji ila tunataka huu mkataba MAMA ukarekebishwe.

Serikali isiwahadae kuwa itakuwa makini kwenye mikataba midogomidogo ijayo. Kama huu mkataba mama unaweka Misingi mibovu je hiyo ijayo itakuwaje mizuri?

Kama serikali imeshindwa kuwa makini katika mkataba wa MSINGI ni kipi kitushawishi kuwa inao uwezo wa kuwa makini katika mikataba midogo?
 
Wajitokeze hadharani tuwasikie wote siyo unaleta umbea wako usio na chanzo zaidi ya uzushi wako
Tena sio kwa Barua wala Muhtasari wawaambie watu wao wajitokeze hadharani kuionyesha nchi hasira yao wakristo hawajawahi kuwa serious ni propaganda tupu
 
Ndio maana kuna Bunge wabunge wakikubali nchi imekubali watu kama nyie kipindi cha kampeni hamsikilizagi sera mnaletaga ligi oooh mbele kwa mbele yakiwafika shingoni mnatuletea zozo tumewachoka
Badala ya kujibu comment yangu unazungumza mengine!!
Kwa vile kuna bunge watu wasitoe maoni yao?!
 
Back
Top Bottom