Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Tetesi: TEC haifurahishwi na mwenendo wa Serikali kuhusu makubaliano ya bandari na DP World

Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"

Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Huyo lazima atakuwa ni "Mhashamu" Dr Slaa, aliyeweza kulikwepa Kanisa hadi kidogo awe Askofu kumbe ni fusika likubwa. Si unamuona anavyotoa mapovu leo kuomba tumehuru baada ya kuwahadaa Sweden? Ni pressure ya familia bubu watakula nini? Kanisa Katoliki ndiyo kikwazo kikubwa kwa Wasaliti tangu enzi za Tume ya Wairoba. Jiulize: Rais alipoenda Moshi juzi kwa BAWATA kwa nini hukuona Askofu RC badala yake alikuwepo Askofu wa CHADEMA wa siku zote?
 
Wapo walio kwenye mfungo kuzuia bandari kupigwa mnada.
 
Kanisa Katoliki, halina mamlaka ya kuendesha Serikali, labda kutoa ushauri tu. Ushauri unaweza pokelea na kufanyiwa kazi au la.
 
Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"

Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Bring it On💪🏿
 

Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
Kha! Wapumbavu sana hao, wanadhani Serikali ipo kwa ajili ya kufurahisha wao.
 
Watoe tu waraka kwa kweli, hawa ndio wenye nguvu. Waarabu wanatake over kila eneo, Katoliki lazima muwe mbogo, ili wanyonge na sisi tuponee humo.
 
Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.

"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."

"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."

"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"

Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
KUNAKUCHA
 
Uzuri wa viongozi wa Roman Catholic walifundishwa maadili nabkukisoa kwa adabu pasipo kuropoka wala kutweza.
 
Back
Top Bottom