Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Pengo alikuwepo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ficha upumbafu ndugu kanisa lipo kwaajili ya watu sasa kama watu wanaumizwa halitoi tamko niujingaWw mshamba kweli. Hao ndio raia wa kutetemesha kanisa!!? Kwanza kanisa halipo kwenye matukio madogo kama hayo
Huyo lazima atakuwa ni "Mhashamu" Dr Slaa, aliyeweza kulikwepa Kanisa hadi kidogo awe Askofu kumbe ni fusika likubwa. Si unamuona anavyotoa mapovu leo kuomba tumehuru baada ya kuwahadaa Sweden? Ni pressure ya familia bubu watakula nini? Kanisa Katoliki ndiyo kikwazo kikubwa kwa Wasaliti tangu enzi za Tume ya Wairoba. Jiulize: Rais alipoenda Moshi juzi kwa BAWATA kwa nini hukuona Askofu RC badala yake alikuwepo Askofu wa CHADEMA wa siku zote?Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Wangapi wanaumizwa kila siku!!??Ficha upumbafu ndugu kanisa lipo kwaajili ya watu sasa kama watu wanaumizwa halitoi tamko niujinga
Nafikiri ni haki ya kikatiba kutoa maoni yao.Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Vatican run DuniaHili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
hautambulikiNa msikiti ukikubali je?
Bring it On💪🏿Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Unadhani kila linaloamliwa na serikali limetokana na katiba?Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Kha! Wapumbavu sana hao, wanadhani Serikali ipo kwa ajili ya kufurahisha wao.Duru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
KUNAKUCHADuru ndani ya TEC zinaarifu kwamba Viongozi wa Kanisa Katoliki hawafurahishwi na namna Serikali ilivyokubaliana na DP Word kuhusu usimamizi wa bandari yetu/zetu.
"....Wahashamu wengi hawaungi mkono sintofahamu hiyo na huenda Katibu akaelekezwa aandae Waraka mahsusi kulisemea hilo hivi karibu."
"....nadhani baadhi ya vipengere ndani ya makubaliano yake hata wao yamewaogofya kama ilivyo kwa Watanzania wengi! Na ndiyo maana wao kulitolea tamko hilo jambo ni suala la wakati tu."
"....Mhashamu Rais nadhani bado anapitia madodoso ya safari iliyopita kule Vatican lakini kwa mjibu wa Mkurugenzi wa Miito Padre ( jina kapuni) amealikwa kesho yaani leo kwenye mkutano uhusuo mkataba ule. Nimeongea na Padre ..... hata Baba Askofu wake ameshangazwa na makubaliano yale tena akiyaita ya AJABU NA YANAYOWEZA KUKUBALIKA KWA WATU WAJINGA!"
Kimesema chanzo chetu ndani ya Kanisa Katoliki.
Ila na wao kama taasisi ya kitanganyika wanaweza kutoa maoni wanapooana Kuna jambo ndani ya Tanganyika halipo sawaHili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba