Midimay
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 3,036
- 5,039
Kuna mida ikifika, intervention inahitajika kutoka popote, kundi lolote, mtu yeyote.Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mida ikifika, intervention inahitajika kutoka popote, kundi lolote, mtu yeyote.Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Kaka ukiacha shekhe ponda na yule padri wa ngara wengine wote waliufyata kipindi kile tuwe wakweli na makanisani akienda kusali wanampa na nafasi atoe hotuba, hawakuwahi kuhoji wala hata hii mikataba haikuwa wazi, yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho na wote tulibakia kisifia au kukaa kimyaSi kweli ,kipindi kike haukusikia waraka wa pasaka?
MisipoKuna mida ikifika, intervention inahitajika kutoka popote, kundi lolote, mtu yeyote.
Wasilamu walimkana shekhe ponda mchana kweupe hewa kabisaKaka ukiacha shekhe ponda na yule padri wa ngara wengine wote waliufyata kipindi kile tuwe wakweli na makanisani akienda kusali wanampa na nafasi atoe hotuba, hawakuwahi kuhoji wala hata hii mikataba haikuwa wazi, yeye ndio alikuwa muamuzi wa mwisho na wote tulibakia kisifia au kukaa kimya
HeheheheHili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Kusilimu shingapi maana kama sio Mzenji basi japo uwe Muislamu kupata kazi hapo kwa WAALABU wa dabo penetresheni dubwaaai😂😂wewe wasema
Kuna katiba inayotamka kuwa wazanzibari wataingia mikataba ya kuuza rasilimali za Tanganyika?. Nipe hicho kifungu cha katiba.Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
900 itapendezaKusilimu shingapi maana kama sio Mzenji basi japo uwe Muislamu kupata kazi hapo kwa WAALABU wa dabo penetr dubwaaai[emoji23][emoji23]
Tatizo ni udini jamaa uwa hawapendi kuona muislamu akiongoza nchi hii ila ndio hivyo hawawezi kusema wazi bali wanamsakama kipindi chake chote cha uongozi ili mradi tu hakose raha.Mi nachokaga hapo tu, sikuwahi kuwasikia awamu ile ila sasahivi hadi pini ikidondoka watatoa waraka hawa jamaa ni wanafki sijapata kuona
Hivi ulikuwa wapi huko ambako habari hazikuwa zinafika? Ule waraka wa TEC wa kwaresmi uliowakasirisha sana watawala wakati wa awamu ya 5, hukuusikia?Naona sasa ni muda wa nyoka kutoka shimoni....
Awamu ile watu walipokuwa wanapotezwa walikuwa wako kimya kweli.
Wengine walifunga hadi safari kwenda magogoni kupeleka zawadi za sanamu ya bikira Maria.
Rais yupo juu ya katiba na katiba imempa mamlaka wewe nani wakupinga acha uchonganishi bro ooho!Kuna katiba inayotamka kuwa wazanzibari wataingia mikataba ya kuuza rasilimali za Tanganyika?. Nipe hicho kifungu cha katiba.
Labda wangonjera namapambio lakini waraka Mbwii!Hivi ulikuwa wapi huko ambako habari hazikuwa zinafika? Ule waraka wa TEC wa kwaresmi uliowakasirisha sana watawala wakati wa awamu ya 5, hukuusikia?
Kuna katiba inayotamka kuwa wazanzibari wataingia mikataba ya kuuza rasilimali za Tanganyika?. Nipe hicho kifungu cha katiba.
Kuo sahihi !! But hilo halizuii watu kutoa MAONI !!Hili taifa haliendeshwi kikatoliki linaendeshwa kikatiba
Kwahiyo ndani ya miaka 5 yote, wao walitoa waraka mmoja tu wa kwaresma ?Hivi ulikuwa wapi huko ambako habari hazikuwa zinafika? Ule waraka wa TEC wa kwaresmi uliowakasirisha sana watawala wakati wa awamu ya 5, hukuusikia?
Ww mshamba kweli. Hao ndio raia wa kutetemesha kanisa!!? Kwanza kanisa halipo kwenye matukio madogo kama hayoWakati wa tundulissu kupigwa risasi ben saanane kupotea na azory gwanda kanisa lilikuwa wapi?
Nadhani umekosa kitu Fulani kwenye uelewa wako.Kwanza mleta mada hajataja source ya habari.Hivyo ni mambo ya hisia au tetesi.Iweje utukane?.Pili hata wakisema si watakua wameungana na watanzania wengine wanaopinga au kuunga mkono huu mchakatoSikia hoja ndio udadisi hoja yenyewe.Vinginenyo turudi enzi za JPM ambapo kuhoji ilikuwa kosa.Hao ni wapumbavu na wajinga kenge hao wanataka vatican na yule kiongozi wao supporter wa ushoga ndio waje kuichukua bandari?