Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

Uzuri mwenyezi Mungu mwenyewe alishatutengea siku za kupumzika

Zile zinazobaki tunazitendea haki na tunafanya kadri tunavyojiskia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji1316][emoji1316][emoji28]
 
[mention]Kelsea [/mention]
Si kama tulivyokubaliana
Kua ni kila siku
 
Kila faragha ipatikanapo
 
Sisi wanaume tulio wengi tunaubinafsi wa kujiangalia sisi tu ili kutimiza haja zetu! hatuna utamaduni wa kumzingatia mwenzetu nae kama amefika ktk peak!

Mimi ratiba yangu tendo ni kila siku ila ni 1 tu ambalo nabalance na kumfikisha mwenzangu nae ktk peak. (7x7) mapumziko ni siku za hedhi tu.
 
Sie bodaboda kugegeda wake za watu ndio hobby yetu mzeya.
Wanaume wamekuwa maboya eti huyo bodaboda wangu jina lake mzabzab🤣🤣🤣🤣
Aaf wapo umu wanaona unawatolea siri zao🤣🤣
Ukiendelea kufunguka atakubania
 
Legends watupe uzoefu kidogo maana vijana walio single tunamihemko sana tunawaza (attitude) kumwaga moto tu, all the time. Waliooa atleast 5yrs watuambie. Maana unaweza taka show ukakumbushwa ada ya dogo anadaiwa 500k mood ikakata ghafla ohooo!
Unadaiwa ada ya mtoto
Wife ana deni kikoba
Ushakopa kwa jamaa zako
Kamoja tu kwa wiki😃
 
Alaf umeongea point kinoma.
Kuna danger days. Kuna watu kutumia ndom hawaezi yan kwaio show inapunguzwa mzuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…