Uzuri mwenyezi Mungu mwenyewe alishatutengea siku za kupumzika
Zile zinazobaki tunazitendea haki na tunafanya kadri tunavyojiskia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii dozi imekaa poa 😃1×1 kwa siku saba
Kila faragha ipatikanapoKulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia.
Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza kuishi pamoja kuna uwezekano mkubwa wa kufanya kila siku. Wanandoa wapya pia ni hivyo pia.
Lakini pia wake zetu hawa huchoka na majukumu ya kazi au malezi ya watoto nyumbani na huathiri hamu nzima ya tendo la ndoa. Je, ili tendo la ndoa wote wafurahie linapaswa kufanywa kila siku? Mara ngapi kwa wiki?
Wewe una uzoefu gani kwenye hili jambo?
Nawasilisha.
YapKwa mwezi mara moja mkuu?
Umwachie na baba D muda wa kupumzikaUzuri mwenyezi Mungu mwenyewe alishatutengea siku za kupumzika
Zile zinazobaki tunazitendea haki na tunafanya kadri tunavyojiskia🤣🤣🤣🤣
Makatibu tuwekewe ulinziIle ni kila siku ondoa siku za angani.
Ukisikia ooo nimechoka, jua katibu keshafanya yake
mamdeny katika ubora wakoIle ni kila siku ondoa siku za angani.
Ukisikia ooo nimechoka, jua katibu keshafanya yake
Unadaiwa ada ya mtotoLegends watupe uzoefu kidogo maana vijana walio single tunamihemko sana tunawaza (attitude) kumwaga moto tu, all the time. Waliooa atleast 5yrs watuambie. Maana unaweza taka show ukakumbushwa ada ya dogo anadaiwa 500k mood ikakata ghafla ohooo!
Alaf umeongea point kinoma.Huwa hatutumii uzazi wa mpango, tunafuata Kalenda.
So sisi tunachakachuliana sana wakati wa danger...bila kuuaza mechi...yaani kila siku hadi joto likishuka (danger zone ikiisha) tunabaki tu hamna hata kitu....
Wakati wa danger ni hatari nyie....ukigusa twa na bibie mnara ushasoma...