mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Umwachie na baba D muda wa kupumzika
Tunapumzika wote🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umwachie na baba D muda wa kupumzika
Ikiwa gereji kumwaga oil mapumziko😂😂😂😂
😮😮😮😮Kama mwanaume anauwezo wa kufanya bila ku-ejaculate, afanye tu kwa kadri awezavyo, lakini kama hana uwezo huo basi kwa mwaka mara 12 tu.
Kweli kabisaMungu fundi buana
Kweli kabisa
Kwani mke mmoja anakutosha mkuu?Sasa izo mara nyingine utachepuka au vipi mkuu
Kwaio Biashara ikienda vizuri unampa yoote au vipi😃
Wewe unafaa kabisa
Ule wastani wa mara 54 kwa mwaka unapitiliza kwa speed
HuyohuyoHuyo huyo baba D au kuna mchepuo😄
🤣🤣🤣Sawa Sawa Ndugu Wananchi Mkakae Na Viongozi Wenu Mkalitazame Vizuri