Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uvumilivu una lipa yupo kapata uteuziMtoto wa mjini Peter lijualikali vipi mazee
Tano yumo kapekekwa wilayanza katavi hukoo mkuuAsante mama samia,sijamuona mkuu wangu wa wilaya ya busega,Tano S. Mwera,huyu mama alikuwa Hana staha mdomoni kwake ,barikiwa sana
Yule dc katusumbua sanaMwingine atakayefurahi ni Shabiby baada ya "mtesi" wake, DC wa Gairo kutupwa nje😀
Usisiome kwa hisia, bali soma kwa makini tu. Jerry Muro ni mkuu wa wilaya ya Ikungi huko Singida. Unamchukia sana jerry Muro?Kwa kusikia hiyo listi, Naona waliotupwa nje, mmojawapo ni Jerry Muro 😀
Itabidi familia ifanye kazi ya ziada ya kumlinda asije jitoa uhaiYani Paskali kasahauliwa jumla
Muulize Mshana JrKwani Pascal Mayalla kawakosea nini CCM?
Kwani mtu akiwa DAKTARI ndiyo anastahili kupata cheo kikubwa zaidi ya UDC?!!!namkumbuka polepole alipokua DC ubungo chini ya makonda hakua na raha,alijiona kama yupo chini ya mtu asiestaili kua chini yake.
sasa mashinji yeye naona kama anazidi kutelemka.
HATA KUSUSA ANASHINDWA...!
haiwezekani Dr. mzima ujumlishwe na kayumba muapishwe pamoja, hii ni dhalau kabisa.
Amekosea sana kumrudisha Dar Joket, kwani sisi wa Nkasi, Mlele, au Kakonko hatuna haki ya kuongozwa na mchapakazi Joket??????!!!!!??????????!??!?!!??????😡! Mama Samia naomba ujitathmini😜! Umeniuzi mno...yaani😠!Rais Samia Suluhu Hassan leo ameachia mkeka wa Wakuu wa Wilaya mbalimbali uliosheheni vijana. Baadhi ya Wakuu wa Wilaya wapya ni pamoja na aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dkt. Vincent Mashinji, pia yupo Joshua Nassari na Wakili Albert Msando. Wengine ni Mwenyekiti wa UVCCM Kherry James, mtangazaji Hassan Ngoma kutaja kwa uchache.
SawaMuulize Mshana Jr
Anafaa ukurugenziItabidi familia ifanye kazi ya ziada ya kumlinda asije jitoa uhai
Mi mwenyewe nimetamani sana angekuja ilala.. au sijui nihamie Temeke 😁Amekosea sana kumrudisha Dar Joket, kwani sisi wa Nkasi, Mlele, au Kakonko hatuna haki ya kuongozwa na mchapakazi Joket??????!!!!!??????????!??!?!!??????😡! Mama Samia naomba ujitathmini😜! Umeniuzi mno...yaani😠!
🤣🤣🤣Msando ndani
Lijuakali ndani
Nasari ndani
Niki wa pili ndani
Kheri james ndani
Bavicha wanataambia nini watu?