Tengeneza Njia
Senior Member
- Jul 29, 2022
- 121
- 205
Wewe unasumbuliwa na udini ndiyo maana kutwa kazi yenu kuwasema viongozi Waislam humu mitandaoni. Enzi za Mwendazake hatukuwahi kusikia hoja za udini kwenye teuzi. Chuki, hasadi na roho mbaya dhidi ya Waislam ndivyo vinavyowatafuna. Mmezoea nyie tu ndiyo mpate akipata Muislam kosa. Hii nchi ni yetu sote kaa kwa kutulia.Tatizo mnaishi kwa hao wanaoteuliwa na hamjui madhara ya uteuzi tunaoupigia kelele....Kila kitu unaletewa tu nyumbani kama umeolewa vile hujui mtaani kugumu kiaje.
Matusi ya nini? kuna mahali nimetukana? Mjnga mama yako basi.wajinga wakubwa nyinyi .
wewe ni executive kumbe?Serikali ni sisi.
Mama Maridhiano!Kila akiingia Rais kutoka Unguja na Pwani swala Udini katika teuzi huwa linajitokeza. Sasa limeongezeka jinsia na Uzanzibari. Angalia wabunge wote kutoka mkoa wa Pwani ni mawaziri!
Wataje...hao watatuMuache Rais afanye kazi wewée, Mbona Magufuli baraza lake loote waislamu walikuwa watatu tu Uliongea kitu
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.
Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.
Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Wewe ulijuaje kama anashauriwa na si utashi wakeNaingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.
Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.
Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Vikaratasi nchi hii havimfanyi mtu kuwa raisUchaguzi 2025 hatoboi mtaniambia
Thubutu.Hataleta takwimu kamwe.Anaendeshwa na ubaguzi na chuki .Ukiwa na chuki unakuwa na matatizo ya akili hivyo asamehewe.Salama mkuu? Weka hivi hapa chini halafu uje na hitimisho la Udini;
Makatibu wa Wizara
Mabalozi w nchi mbalimbali
Mawaziri & Manaibu Mawaziri
Makatibu Tawala wa Mikoa & Wilaya
Wakuu wa Mikoa & Wilaya
Wakurugenzi wa Halmashauri
Wakurugenzi wa Mashirika ya Umma na Wenyeviti wao wa Bodi
Ili tuone UDINI wa Rais Samia kwenye hayo maeneo
Asante sana[emoji1488][emoji1488]
Teuzi za Tausi zitufikishe kwenye khamsa khamsa ifikapo 2030 inshaalah.udini
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni Rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya.
Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia. Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya wasaidizi wake, anarudia tatizo lile lile.
Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuzi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa vibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Jina halina uhusiano na dini. Wacheni ujinga. TupambaneWeka majina hapa tuchambuee
Yes ni wale waliofanyia USAILI ZANZIBAR au hujasoma tangazo vizuri? Umekurupuka bure.Kuna mkeka wa kazi TRA, wote by 100% ni wa dini moja.!
TrueKuna mkeka wa kazi TRA, wote by 100% ni wa dini moja.!