Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Teuzi za Rais Samia zina upendeleo?

Sukuma Gang tumefanyaje tena!!?

Muacheni mama afanye kazi. Kila mtu ana dini na jinsia, muhimu wateuliwa wana vigezo na uwezo.

Acheni kuona dini na jinsia kwenye kila kitu!
 
Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.

Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.
Pole sana ndugu au ndo wewe tumepishana pale heart research department pale? Ndio maisha ndugu ukitaka mtu au watu wafanye the way una think utazidi kujiumiza moyo wako! NB; Teuzi ziendane na sifa na uwezo wa mtu kulingana na nafasi husika!! Hii biashara ya usawa wa kidini wakati dini zenyew tumezikuta tu.
 
Kwanini kila jambo lake mnalaumu washauri wake?!!!
Sasa tumlaumu nani na wao ndio wanamletea majina mezani? Wewe unadhani Rais anafanya kazi peke yake? Ni jeshi la mtu mmoja?
 
Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.

Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.

Unawasilisha Ni mkuu: kwamba Rais anashauriwa na sukuma gang kuwatoa sukuma Gang au? Kwanini unaondoa uwajibikaji wake? Acha kutetea watu kwa kuwa Tu hutaki kuonekana unapinga.
 
Unawasilisha Ni mkuu : kwamba Rais anashauriwa na sukuma gang kuwatoa sukuma Gang au ? Kwanini unaondoa uwajibikaji wake? Acha kutetea watu kwa kuwa Tu hutaki kuonekana unapinga.
Hana msimamo😂😂😂😂
 
Unajua hakuna kitu kinakera kama wakristo wa nchi hii
kujiona kama wao ndio wenye haki ya kila kitu,

Yan wanavyotaka wao mkeka ukitoka wawe wao tuu

Magufuli kafanya udini kupindukia + ukabila na Ukanda, teuzi zake alijaza wakristo, ila waislamu walikuwa kimyaaàa.

Hii nchi ni ya wote sio yenu peke yenu, kwanza walioumia na nchi hii ni waislamu, nyié hata kudai uhuru mliambiwa makanisani ni dhambi.
Nakumbuka sheikh wa Dar alikuwa kimyaaaaa
 
Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.

Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.

Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona.

Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini na kijinsia bila sababu za msingi.

Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajui

kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.

Nawasilisha.
Bado tunasubiri utoe idadi kulitia andiko lako umuhimu wa kujadiliwa
 
Ukiona mtu anaweza kusimama akazungumza jambo ambalo hata yeye mwenyewe hawezi kulizungumza hadharani na kwa mifano halisi, basi mpuuze au yeye ndio mwenye hizo sifa kwa upande anaojifanya anautetea.
Hujazungumza udini wa Rais ila unazunguka tu, tuambie nani kapendelewa na yupi kaonewa kwenye hizo dini.
 
Mtoa post unadhani Rais Samia anapendelea dini gani na kwa ushahidi upi. Tuletee hapa hizo teusi tuzione ufafanue hoja zako kwa ushahidi.
Hakuna haja ya kulumbana, mara nyingi familia yenye njaa ndio kuna lawama kama hizi. Mama akifanikiwa kuleta maendeleo na chakula kikapatikana malalamiko yote haya kwisha. Mumuombee yasitokee majanga kama ukame, watu watapiga kelele kama hiz
 
Back
Top Bottom