cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Kwanini kila jambo lake mnalaumu washauri wake?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wavaa kobazi hawana haki ya kuwekwa huko walipowekwa??
Wanayo haki, lakini hatutakiwi kuteua kwa hicho kigezo, weledi katika kazi uzingatiwe kwenye kuteuaWavaa kobazi hawana haki ya kuwekwa huko walipowekwa??
Pole sana ndugu au ndo wewe tumepishana pale heart research department pale? Ndio maisha ndugu ukitaka mtu au watu wafanye the way una think utazidi kujiumiza moyo wako! NB; Teuzi ziendane na sifa na uwezo wa mtu kulingana na nafasi husika!! Hii biashara ya usawa wa kidini wakati dini zenyew tumezikuta tu.Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.
Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
wanayo haki, lakini hatutakiwi kuteua kwa hicho kigezo,weledi katika kazi uzingatiwe kwenye kuteua
Enewei yeye ndiye mwamuzi wa mwishoAnaona wa dini yake ndo wanaelewana na watafanya kazi vizuri pamoja🙏isitoshe ndo wamesoma sana 😅😅😅
Chawa huuawa kwa vidole viwili😂😂😂😂😂😂Chawa mfikishieni salam
Wewe umejuaje kama wameteuliwa Kwa kigezo hiko?ulishiriki teuzi?ulichambua majina ukaona hawana vigezo vingine??
Utendaji kazi si tunauonaWewe umejuaje kama wameteuliwa Kwa kigezo hiko?ulishiriki teuzi?ulichambua majina ukaona hawana vigezo vingine??
Nsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.
Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona. Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini bila sababu za msingi. Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajuia kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Unaweza usiwe mla rushwa lakini usiwe na faida yoyote...good for nothingWavaa kobazi ndio waaminifu tofauti na wala nguruwe ni wezi balaa ndio walio ifikisha nchi pabaya kwa wizi wao wala nguruwe hawana khofu ya MUNGU
Walipokuwa wakristo Wengi utendaji ulikuwa Bora zaidi??utendaji kazi si tunauona
ukijiziba masikio yako
macho yako yataona boss
Hana msimamo😂😂😂😂Unawasilisha Ni mkuu : kwamba Rais anashauriwa na sukuma gang kuwatoa sukuma Gang au ? Kwanini unaondoa uwajibikaji wake? Acha kutetea watu kwa kuwa Tu hutaki kuonekana unapinga.
Nakumbuka sheikh wa Dar alikuwa kimyaaaaaUnajua hakuna kitu kinakera kama wakristo wa nchi hii
kujiona kama wao ndio wenye haki ya kila kitu,
Yan wanavyotaka wao mkeka ukitoka wawe wao tuu
Magufuli kafanya udini kupindukia + ukabila na Ukanda, teuzi zake alijaza wakristo, ila waislamu walikuwa kimyaaàa.
Hii nchi ni ya wote sio yenu peke yenu, kwanza walioumia na nchi hii ni waislamu, nyié hata kudai uhuru mliambiwa makanisani ni dhambi.
Bado tunasubiri utoe idadi kulitia andiko lako umuhimu wa kujadiliwaNsingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha ndugu zangu wanaJF.
Naungana na ndugu Charles Kitwanga kuhitimisha kwamba mama Samia ni rais mzuri mwenye uwezo wa kuivusha nchi salama lakini amezungukwa na GENGE la watu (possibly SUKUMA GANG) wanaomshauri vibaya. Tangu Rais Samia aanze uteuzi wa viongozi, kwa kuondoa timu aliyoirithi kutoka kwa hayati Magufuli, nimekuwa nikifuatilia teuzi zake nimegundua ziko biased kwa misingi ya udini na ujinsia.
Mara nyingi kila anapofanya teuzi mpya, kuwahamisha wizara au kuwafuta kazi baadhi ya viongozi, anarudia tatizo lile lile. Nadhani huu ni mwendelezo mbaya kutoka kwa genge la watu wanaomshauri. Mfano, mzuri ni huu uteuezi aliofanya jana. Yaani uteuzi wake umejaa udini na ujinsia kila kona.
Ifike mahali Rais Samia aache kusikiliza ushauri wa hili genge ili asijiingize kwenye tatizo la kuigawa nchi kidini na kijinsia bila sababu za msingi.
Nashauri anapofanya uteuzi ajaribu kubalance kwa sababu watanzania wote wanamtazama na bahati mbaya wengine hawajui
kama anashauriwa bibaya. Wanadhani anafanya makusudi.
Nawasilisha.
Ndio, anza kurejea kuanzia awamu ya kwanzaWalipokuwa wakristo Wengi utendaji ulikuwa Bora zaidi??
Hakuna haja ya kulumbana, mara nyingi familia yenye njaa ndio kuna lawama kama hizi. Mama akifanikiwa kuleta maendeleo na chakula kikapatikana malalamiko yote haya kwisha. Mumuombee yasitokee majanga kama ukame, watu watapiga kelele kama hizMtoa post unadhani Rais Samia anapendelea dini gani na kwa ushahidi upi. Tuletee hapa hizo teusi tuzione ufafanue hoja zako kwa ushahidi.