Chabruma
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 5,660
- 1,780
Kwa taarifa yako ghorofa tatu za juu yaani 15-18 zimechukuliwa na Tiss .....kuna kitu kinaendelea .......tu ute subra kuna jambo kubwa ndani yake ......kwanza kuijua jinsi Kiwanja kilivyodhulumiwa toka kwa yule Prof.wa Mwalimu utatumika sana .
naona wewe umeandika kwa hisia tu au unakumbuka mjadala wa wakati ule kuhusu jengo hili. kuna wadau walishauri kuwa TISS wachukue ghorofa zilizoongezeka kwa sababu za kiusalama. Nadhani wewe unachanganya pia hoja hii. Hapa tunajadili hawa jamaa wa TBA kupewa mlungula ili ghorofa ziongezeka kutoka 15 hadi 18