Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikupenda kukuchoka si rahis, unless umetaka weweNa Hata akupende akikuchoka tu umekwisha
Kwanini mkuuAkikupenda kukuchoka si rahis, unless umetaka wewe
Hapana,ni maoni yake tu na ndiyo maana nimemkumbusha kuwa na wanaume vivyohivyokuna watu wanachekesha sana sasa mke akiwa na pesa unaona nini nongwa naona ni akili za kimasikini ndio shida hapo
That how mwanamke alivyo, huwa anaingia miguu yote regardless status yakeKwanini mkuu
Vipi mkuu leo amekupa chupi zake umfulie.......... Dah anyway haya mambo ya kuoa wanawake wenye pesa haya magumu sana.
Wanawake hawajui kuyaishi mafanikio!Mwanaume anayeogopa mwanamke mwenye pesa ni masikini, mwanaume mwenye pesa anapenda akiona mwanamke wake naye akiwa na pesa.
Wanawake wakipata pesa wanachanganyikiwa isivyo kawaida........ Dah anyway haya mambo ya kuoa wanawake wenye pesa haya magumu sana.
LohSisi tunastahili
Mke wa mo ama gsm,Rostam unaweza kutuambia utajiri wao?Mwanaume anayeogopa mwanamke mwenye pesa ni masikini, mwanaume mwenye pesa anapenda akiona mwanamke wake naye akiwa na pesa.
Tena anayoitafuta mwenyewe kwa juhudi zake..aah, kwanini nisijidai? Kwanini nijipunguze ili 'me asijisikie kupwaya. Hapana, asante ndugu mdau wacha tujidai........ Dah anyway haya mambo ya kuoa wanawake wenye pesa haya magumu sana.
Mwanamke akikupenda hawezi kukuchoka labda umpige matukioKwanini mkuu
Hii ni kasumba tu ya mwanaume but mwanamke ukijua kuishi nae hawezi kukusumbua mimi mbona me manzi yangu kanizidi hela na aniheshimu vibaya mno wala aniletei hizo dharauWanawake wakipata pesa wanachanganyikiwa isivyo kawaida