To be honest, pesa zinawapa kiburi sana wanawake

To be honest, pesa zinawapa kiburi sana wanawake

Hapana,ni maoni yake tu na ndiyo maana nimemkumbusha kuwa na wanaume vivyohivyo
unajua kwenye haya maisha unapaswa utizame wewe una malengo gani na usipagawe na mitikasi ya mwengine mke akiwa na pesa wewe kuza za kwako shida iko wapi amini nakwambia wala hutoona hiyo dosari ya dharau ndani yake
 
unajua kwenye haya maisha unapaswa utizame wewe una malengo gani na usipagawe na mitikasi ya mwengine mke akiwa na pesa wewe kuza za kwako shida iko wapi amini nakwambia wala hutoona hiyo dosari ya dharau ndani yake
Ogopa hao viumbe mpaka vitabu vya dini vinatambua urafiki wao na shetani, kwa hio sishangai nikiambiwa wakiwa na pesa wanageuka kua asili yao
 
Back
Top Bottom