Mpaka sasa kuna wangapi wameuawa!!Vipi hapo wanapo sifiwa kuupiga mwingi ni wanainchi wanaowajibika kwa serikali au Ni serikali inayo wajibika kwa wanainchi?
BTW, Ufaransa watu wanaandama kutokana na hali ngumu ya maisha, wakimtaka Macron ajiuzulu, na zaidi watu wametiwa nguvuni. Vipi huko Ni serikali inawajibika kwa wanainchi au ni vice versa?
Mzungu ni Dhalimu. Mzungu hana utu. Mzungu original...Neanderthral hakuwa na Utu.Kuhusu utu mzungu original ndo ana utu
Unazungumzia vita??Hakuna sehemu yenye historia ya mauaji na unyama wa kutisha kama bara la ulaya. Hata karne moja haijapita Ulaya ilikuwa na watu aina ya Adolf Hitler, Benito Mussolini, Fransisco Franco, Joseph Stalin, Josip Broz Tito, Slobodan Milošević na Nicolae Ceaușescu. Kiufupi ufashisti na udikteta ulianza ulaya kabla ya asia, afrika na america kusini.
Tatizo unajumuisha ndio Maana nikakuuliza kitu specific,Hiyoo arab spring si ndiyo inasemwa kuwa Marekani kawachochea waarabu dhidi ya serikali zao kwa maslahi ya Marekani?? Leo Marekani wanashambuliwa Syria kwa kuwa wao ndiyo walengwa na adui namba moja wa Waarabu kwa kuwa wanaonekana wapo Syria kwa maslahi ya Israel...
Ni kweli kabisa. Na hivi karibuni Raisi mstaafu wa Ufaransa Sarkozy ameafiki hayo. Afrika au Amerika kusini hakukuwa na Udikteta. Udikteta uko ulaya na proxy wao. Halafu wao ndio wanasema sie ndio tuna Uchawi kuwazidi.Hakuna sehemu yenye historia ya mauaji na unyama wa kutisha kama bara la ulaya. Hata karne moja haijapita Ulaya ilikuwa na watu aina ya Adolf Hitler, Benito Mussolini, Fransisco Franco, Joseph Stalin, Josip Broz Tito, Slobodan Milošević na Nicolae Ceaușescu. Kiufupi ufashisti na udikteta ulianza ulaya kabla ya asia, afrika na america kusini.
Sio vita mauaji ya Halaiki.Unazungumzia vita??
Nazungumzia mifumo ya utawala iliyokuwepo ulaya ndani ya karne mbili zilizopita, ambayo kimsingi ilisababisha mauaji na maumivu makubwa kwa mamilioni ya watu. Ubeberu, ufashisti, ukomunisti na mifumo mingine ya kimabavu ilizaliwa barani ulaya kwanza na kuigwa asia, amerika kusini na afrika. Huo utu unaouzungumza wewe ni upi ?Unazungumzia vita??
Na hivyo ulivyotaja ndo chanzo cha wao kuendelea na kuamua kutafuta makoloni kupitia imperialismNazungumzia mifumo ya utawala iliyokuwepo ulaya ndani ya karne mbili zilizopita. Ubeberu, Ufashisti, Ukomunisti na mifumo mingine ya kimabavu ilizaliwa barani ulaya kwanza na kuigwa asia, amerika kusini na afrika. Huo utu unaouzungumza wewe ni upi ?
Hatahivyo dhoruba wanazopata watu wasio wazungu ni dhahiriMarekani na Ulaya inawezekana wananchi kuandamana kwa maelfu kupinga kinachofanywa na serikali na wasiuawe kwa kukukusudia.
Kwa nini iwe ni kukusudia ila yakitokea Marekani na Ulaya sio ya kukusudia?Lakini kwenye nchi nyingi za Kiarabu na Urusi, wananchi wakiandamana ni lazima kwa kukusudia watauawa
Kwa tafsiri nyingine, Watanzania wana haki ya kuandamana kupinga Akwilina R.I.P kutumiwa na Wapinzani kama maandamano ni vita!Marekani na ulaya watu wao wakiuawa vitani, wananchi wanataka kujua ni kwa nini ndugu zao wamepelekwa vitani.
wananchi wa ulaya wasiozipenda vita hizo, huandamana kuonesha hisia zao.
😌Mzee wewe ni miongoni mwa waafrika wajinga.na walikuwepo kama wewe miaka yote....
Kwamba Crimea hakukaliki Tena ?Nje kidogo na mada.. tetesi zilizopo ni kwamba maafisa wa Urusi na watu binafsi walio na Mari nyingi pale cremia wanaziuza kwa kasi sana Mari zao na kuhamisha familia zao nje ya cremia.. Kuna kitu kinakuja hapo mbele.
Kwahio ulitegemea urusi liwe koloni la ujerumani? 🤣Na shida hiyo Urusi utafahamu kwanini alikubali kupoteza watu zaidi ya Milioni 27 kwenye WW 2
Kuna jamii zimekomaa sana kwenye demokrasia,ukiacha wazungu(america na UK),Jamii zingine ukizipa demokrasia,nchi hazitatawalika,Angalia Kenya kinachotokea,demokrasia inatumika vibaya kualibu uchumi wa nchi,wanasiasa wote,wa serikalini na upinzani,wote wezi tu,wanatumia mifumo ya demokrasia kuhujumiana na kutafuta maslahi binafsi.Ulaya na Marekani, Serikali inawajibika kwa wananchi ila Uarabuni na Urusi wananchi ndiyo wanawajibika kwa serikali. Matokeo yake Marekani na Ulaya inawezekana wananchi kuandamana kwa maelfu kupinga kinachofanywa na serikali na wasiuawe kwa kukukusudia.
Lakini kwenye nchi nyingi za Kiarabu na Urusi, wananchi wakiandamana ni lazima kwa kukusudia watauawa, kuteswa na kufungwa jela bila wakati mwingine kanuni za kisheria kufuatwa.
Marekani na ulaya watu wao wakiuawa vitani, wananchi wanataka kujua ni kwa nini ndugu zao wamepelekwa vitani. Kuanzia vita ya Vietnam, Operesheni ya Somalia, vita ya Ghuba na hata sasa ya Ukraine, wananchi wa ulaya wasiozipenda vita hizo, huandamana kuonesha hisia zao.
Fikiria kama Wanajeshi wa Urusi waliouawa zaidi ya 20,0000 ingekuwa wanajeshi hao ni Wamarekani ama wametoka kwenye nchi mojawapo wa ulaya. Unadhani wananchi wa nchi hizo wangekaa kimya?
NI KWA NINI??Kuna watu hawajui ni kwa nini maelfu ya watu wamekufa lakini Putin haoneshi kuguswa (Remorse) na kitendo chake cha kihuni kinachosababisha maelfu hayo ya watu kuawa!
Kwa kwel kdogo wazungu wana kautu.... vp wajapan? japo ni nje ya mada!Kuhusu utu mzungu original ndo ana utu