Tony Blair kaja kumwona Mama Samia? Nina Masikitiko!

Pandora papers imeleta mtikisiko mkubwa kila kona ya dunia.
Vladimir Putin, Uhuru Kenyatta, Mama Ngina Kenyatta, Tony Blair, ... the list goes on.
 
Pandora papers imeleta mtikisiko mkubwa kila kona ya dunia.
Vladimir Putin, Uhuru Kenyatta, Mama Ngina Kenyatta, Tony Blair, ... the list goes on.
CC: MK254 weka neno lako brother.
Hali ipoje huko Nairobi?
 
Hii kitu inaitwa Pandora papers inaanza kuonesha ni watu wa aina gani tunaodhani wanastahili kutushauri. Blair na mkewe Cherie wametajwa kushiriki ujinga wa kukwepa kodi kwa kununua property offshore...
Kwao amehudumu kama waziri mkuu kwa vipindi vyake vyote, pia baada ya kuustafu hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa kumfikisha mahakamani na kuhukumiwa kwa kosa la kutolipa kodi.

Sasa sisi tutamzuiaje mtu ambae si serikali wala mahakama yao ishathibitisha ukwepaji kodi wake?

Japo wengi wenu mmekabizi akili zenu kwa viongozi wenu, lkn muda mungine muwe mnatumia hata akili za kuazima kuandika kitu chochote kizito kama hiki
 
Nakumbuka kama si 2002 au 2003 kuna mkaguzi wa silaha za maangamizi alienda kukagua Iraq akaambulia patupu. Mwishowe tukasikia amejinyonga, sasa sijui alijinyonga kweli au walimfanyizia sijui.
Hans Bricks
 
Huyu ni mmoja wa washauri wa rais Samia, Vipi anafahamu kwamba Samia analeta DP world?
 
Uzi wa 2021 kumbe.
Nilishituka nilifikiri huyu dalali wa ubeberu kaja kumuona tena samia. Unaona ukwasi wa samia umekua inadaiwa ni rais wa saba afrika kwa utaji. 2025 ifike haraka kabla hajaliangamiza taifa kwa mikataba ya ovyo.
 
wanajua kabisa africa kuna ulaji mzito na wanaelewa viongozi wetu wanawanyenyekea watu weupe eti uwekezaji ,uwekezaji upi huyo makinikia kwenda ulaya... je tusingekuwa na dhahabu, maziwa ,bahali na bunga za wanayama wazungu wasinge jikomba kwetu hata kidogo...
 
Huyu ni mmoja wa washauri wa rais Samia, Vipi anafahamu kwamba Samia analeta DP world?
Blair ndio alimshauri maana Blair ni dalali na pia ana hisa kwenye makampuni makubwa duniani

Ukiwa maarufu basi makampuni yote yanakuomba uingie kama mshauri au mwana hisa ili hata ukiona wamo viongozi wakubwa unakuwa na amani na hiyo kampuni

Kwa hiyo usishangae akawa ni mbia pia Dubai
 
Tony Blair sasa anafanya kazi ya kuwashauri (au kuwapotosha) watawala wa Afrika

He has been the executive chairman of the Tony Blair Institute for Global Change since 2016 and has made occasional "political interventions." .
 
Raia wote wanaotoka nchi za jumuia ya Madola wanaoishi UK wanaruhusiwa kupiga kura.
SI KWELI MKUU
May 25, 2023 — For UK Parliamentary elections you must be over the age of 18 to vote to vote. Obviously, British citizens in the UK can vote, ...
 
Tony Blair sasa anafanya kazi ya kuwashauri (au kuwapotosha) watawala wa Afrika

He has been the executive chairman of the Tony Blair Institute for Global Change since 2016 and has made occasional "political interventions." .
Tony Blair lazima ndiye mshauri wa haya madudu kama DP World!
Huyu jamaa hajalipwa kuleta machafuko nchini, ilimradi kaletewa cha kwake!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…