Sukuma gang watabisha ,hapa mama anaupiga mwngi na hanyanganyi wafanyabiashara pesa===
Tangu Uhuru wa Taifa hili hakuna kipindi chochote katika historia ya ukusanyaji kodi tulikusanya TZS 2.51Trilioni kwa mwezi mmoja,
Pamoja na kwamba ukusanyaji kodi wa awamu hii ya sita ni rafiki na hakuna kukimbiza wafanyabiashara wala zile presumptive accessment hazipo tena, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan,
View attachment 2065695
View attachment 2065697
Mbaya sana kwako,kuna watu hii ni habari mbaya kwao
Mpwa, nalazimika kuamini kuwa akili zako hazina akili! Let's close this chapter! Una argue ujinga, kama hakuna time limit ya kufanya hivyo basi Wacha tuendelee kuamini dollar bilion 6 Hadi hapo watakapopata huo muda unaosema.....
Huoni kwamba hadi mwisho wa mwaka yaani Juni mapato hayatazidi bil.500? .Makato ya miamala ya simu kwa ajili ya tozo ya kizalendo kwa mwezi wa 7 kwenda wa 8 Mwigulu alitangaza tumekusanya around 50 billion shillings, achilia mbali 80billion kwa wastani zinazokusanywa kwa mwezi kama makato na kodi ya kawaida ya kwenye simu, jumla jin130bn, hivyo kwa wastani ni 100bn. Bishana na data.
Good, cheers, heri ya mwaka mpyani kweli akili zangu hazina akili hizo ulizonazo..
Tusheherekee mwaka mpya....
Rais mbumbumbu😁😁😁
View attachment 2065720
Inflation ya 3.5% utaipata wapi kama sio Tanzania pekee kwa sasa?
sababu za kupika hizo data ni zipi?
Mwenye akili, mwenye nguvu na aliye juu wapishe.Halafu hizo kodi zinaenda kulipa mikopo ya chanjo dozi milioni 2 ambazo hakuna mtu mwenye mpango wa kuzichoma, unadhani hayo ni matumizi sahihi ya akili?!
Ni kweli tunalipa hiyo riba kwa madeni ya serikali zilizopita yaliyoiva.Mwambie Ndugai kwamba anabuni, maana yeye hiyo mikataba kaiona, na anakwambia “tunalipa trillion 10 kwa mwaka, mariba matupu”.
Kwani pesa za TRA ni za kwao au zinaenda hazina na kupangiwa matumizi, ikiwemo madarasa na madawati kama wanavyodai wanakopea?Huoni kwamba hadi mwisho wa mwaka yaani Juni mapato hayatazidi bil.500? .
Pili hayo mengine ni VAT inaenda TRA moja kwa moja,kwa hiyo hoja yako ni ya ukakasi..
Ndio tunakopeshwa pesa zile zile tulizolipa, na riba wanaweka siri, maana ni kubwa na za kishenzy, halafu tunatakiwa tuilipe mikopo pamoja na riba kubwa mno, mwisho wa siku ni kama hatulipi madeni, deni la taifa linabaki pale pale kama si kukua, ila tunacholipa kila mwaka ni “Mariba matupu” , ni kama bodi ya mikopo ilivyotaka kuweka 6% retention fee, yaani mtu unalipa deni lakini badala yake linakua badala ya kupungua. Rais atambue juu ya uhuni huu na achukue hatua.Ni kweli tunalipa hiyo riba kwa madeni ya serikali zilizopita yaliyoiva.
Sasa ukisema usikope utapata wapi pesa za kukamilisha miradi kwa haraka na wakati kama utataka kudunduliza kwenye makusanyo?..
Hiyo Dom anayoiona ndugaye ikiwemo soko la jina lake ni mikopo tupu ,bila mikopo angeondoka madarakani halijakamilika.
Inaonyesha kuwa wewe ni samurai wa ujinga.Demokrasia siyo kudra ya mtu wala mapenzi ya mtu bali ni haki yangu ya kikatiba.Hongera wewe usiye mbumbumbu...
Unaenjoy matunda ya demokrasia tu..
Sio kweli mkuu deni linapungua sema shida kubwa ni mikopo yenye masharti ya kibiashara ambayo ni 40% ya deni lote.Ndio tunakopeshwa pesa zile zile tulizolipa, na riba wanaweka siri, maana ni kubwa na za kishenzy, halafu tunatakiwa tuilipe mikopo pamoja na riba kubwa mno, mwisho wa siku ni kama hatulipi madeni, deni la taifa linabaki pale pale kama si kukua, ila tunacholipa kila mwaka ni “Mariba matupu” , na kama bodi ya mikopo ilivyotala kuweka 6% retention fee, yaani mtu unalipa deni lakini badala yake linakua badala ya kupungua. Rais atambue juu ya uhuni huu na achukue hatua.
uporaji wa uchaguzi una mikono ya dip state maana magenge ya wahuni yanayojifanya vyama vya siasa yasipate nafasi ya kujiona yananguvu...
fanyeni transition kutoka magenge ya wahuni na kwenda vyama vya siasa...vyama vya siasa vilivyo well organized na vyenye watu makini + mipango imara....jamii itawaamini na hata dip state itawalinda....