Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,984
Kuna taarifa zinasambaa Kwenye mitandao ya kijamii Kwamba Trafic wa Wilayani Same wamekataza mabasi yanayotoka Dar kuwahi kufika Same kabla ya saa Saba. Matokeo yake mabasi yakikaribia same yanapaki barabarani yakisubiri ifike saa Saba yaingie mjini.
Wakati huyu trafic anafanya haya naamini viongozi wa Wilaya na Mkoa wapo wamekaa kimya, tujiulize kutoka Dar Hadi Same Kuna vituo vingapi vya ukaguzi inavyosimamiwa na trafic?
Kama huko kote wameruhusiwa kupita means speed Yao inakubalika, unajiuliza hawa trafic wa Same Wana utaalamu Gani wa ziada? Unajiuliza Same ipo Tanzania au ipo nchi nyingine? Wana Sheria yao ya usalama barabarani?
Ningekuwa Mhe. RAIS watu kama hawa ningewarudisha nyumbani wakajifunze kutumia akili kutenda kazi. Kumsimamisha abiria Same akumwepushi na ajali kwa sababu wapo watu wanatoka Same Wanapata ajali mita chache. Lakini lazima Polisi iwe na unifomity iache generalization, mtu Mmoja awezi kujitungia sheria zake Ndani ya nchi.
Wafuatilie wanaovunja sheria then wawachukulie hatua wawache madreva wafanye kazi Yao Kwa mujibu wa sheria na taratibu.
Wakati huyu trafic anafanya haya naamini viongozi wa Wilaya na Mkoa wapo wamekaa kimya, tujiulize kutoka Dar Hadi Same Kuna vituo vingapi vya ukaguzi inavyosimamiwa na trafic?
Kama huko kote wameruhusiwa kupita means speed Yao inakubalika, unajiuliza hawa trafic wa Same Wana utaalamu Gani wa ziada? Unajiuliza Same ipo Tanzania au ipo nchi nyingine? Wana Sheria yao ya usalama barabarani?
Ningekuwa Mhe. RAIS watu kama hawa ningewarudisha nyumbani wakajifunze kutumia akili kutenda kazi. Kumsimamisha abiria Same akumwepushi na ajali kwa sababu wapo watu wanatoka Same Wanapata ajali mita chache. Lakini lazima Polisi iwe na unifomity iache generalization, mtu Mmoja awezi kujitungia sheria zake Ndani ya nchi.
Wafuatilie wanaovunja sheria then wawachukulie hatua wawache madreva wafanye kazi Yao Kwa mujibu wa sheria na taratibu.