Trafiki aliyekataza mabasi ya Dar kuingia Same kabla ya saa bado yupo ofisini? Kwanini kizuizi kiwe Same na sehemu nyingine?

Trafiki aliyekataza mabasi ya Dar kuingia Same kabla ya saa bado yupo ofisini? Kwanini kizuizi kiwe Same na sehemu nyingine?

Mtoa mada ratiba za mabasi wanapanga latra, hiyo timetable ya saa saba same ipo muda sana, sema traffic walikua hawafuatilii sasa wameamua kuifuatilia. Ukitaka kubadilisha hiyo timetable inabidi ukaanzie latra, hao traffic wanatekeleza tuu.
 
Tatizo sio speed,tatizo ni barabara ni mbovu,Dar to Arusha no kama 650kms huu ni mwendo wa saa 8tu kwa bus!watanzania tusiwe tunaangalia tulipoangukia!barabara zetu bado sana!!
Masaa 7 gari ilitakiwa iwe ishapaki Arusha.

Huwezi tumia masaa 11 umbali mdogo huo.

Kwanza wanachosha abiria.
 
BM za Moro Arusha zinatembea Sauli akasome,yaani saa nne asubuhi eti unakuta wanaitafuta Hedaru kuelekea chuga, sasa unajiuliza Moro imetoka saa ngapi.

Wakati mwingine tuache Mamlaka zifanye kazi zake,kuna mabasi yana miendo hatarishi sana.
Moro ni pafupi sana kuliko Dar.

Wakiondoka muda sawa, gari ya Moro inafika kabla ya Dar.
 
Moro ni pafupi sana kuliko Dar.

Wakiondoka muda sawa, gari ya Moro inafika kabla ya Dar.
Tofauti ni ndogo sana,sidhani kama inazidi hata km40,

J3 nilikuwa natoka huko nilipanda BM,mitaa ya Mkata kwa mbelembele basi letu lilikuwa linaovertake kichanja, kumbe gari ndogo nayo ilikuwa inapishana na hiko kichanja,kilichotokea hizo brake zake,ni kudra za ALLAH,tulisave ila sio poa
 
Tanzania upumbavu umetawala..wakati wenzetu wakipambana kupunguza masaa ya kusafiri ili kuwafanya watu waendelee na shughuli zao sisi ndo tunalazimisha watu wasafiri safari ya masaa 6 kwa siku nzima.
 
Ndo mana gari ina timetable suoni kama anakosa lolote hapo hiyo iko sehemu nyingi tembea ujifunze au kabla yakuanza kutoa lawama uliza kwanza
Siku moja nenda babati pale uangalie timetable inaziruhusu kufika pale mbl na dk 20 ns huwa zinanyatia huo mda ufike
 
Kuna taarifa zinasambaa Kwenye mitandao ya kijamii Kwamba Trafic wa Wilayani Same wamekataza mabasi yanayotoka Dar kuwahi kufika Same kabla ya saa Saba. Matokeo yake mabasi yakikaribia same yanapaki barabarani yakisubiri ifike saa Saba yaingie mjini.

Wakati huyu trafic anafanya haya naamini viongozi wa Wilaya na Mkoa wapo wamekaa kimya, tujiulize kutoka Dar Hadi Same Kuna vituo vingapi vya ukaguzi inavyosimamiwa na trafic?

Kama huko kote wameruhusiwa kupita means speed Yao inakubalika, unajiuliza hawa trafic wa Same Wana utaalamu Gani wa ziada? Unajiuliza Same ipo Tanzania au ipo nchi nyingine? Wana Sheria yao ya usalama barabarani?

Ningekuwa Mhe. RAIS watu kama hawa ningewarudisha nyumbani wakajifunze kutumia akili kutenda kazi. Kumsimamisha abiria Same akumwepushi na ajali kwa sababu wapo watu wanatoka Same Wanapata ajali mita chache. Lakini lazima Polisi iwe na unifomity iache generalization, mtu Mmoja awezi kujitungia sheria zake Ndani ya nchi.

Wafuatilie wanaovunja sheria then wawachukulie hatua wawache madreva wafanye kazi Yao Kwa mujibu wa sheria na taratibu.
Same Ni upareni Kaka.
Mji pekee ambao hotelini unakuta wali nusu, ugali nusu au hata chai nusu.
 
Kuna taarifa zinasambaa Kwenye mitandao ya kijamii Kwamba Trafic wa Wilayani Same wamekataza mabasi yanayotoka Dar kuwahi kufika Same kabla ya saa Saba. Matokeo yake mabasi yakikaribia same yanapaki barabarani yakisubiri ifike saa Saba yaingie mjini.

Wakati huyu trafic anafanya haya naamini viongozi wa Wilaya na Mkoa wapo wamekaa kimya, tujiulize kutoka Dar Hadi Same Kuna vituo vingapi vya ukaguzi inavyosimamiwa na trafic?

Kama huko kote wameruhusiwa kupita means speed Yao inakubalika, unajiuliza hawa trafic wa Same Wana utaalamu Gani wa ziada? Unajiuliza Same ipo Tanzania au ipo nchi nyingine? Wana Sheria yao ya usalama barabarani?

Ningekuwa Mhe. RAIS watu kama hawa ningewarudisha nyumbani wakajifunze kutumia akili kutenda kazi. Kumsimamisha abiria Same akumwepushi na ajali kwa sababu wapo watu wanatoka Same Wanapata ajali mita chache. Lakini lazima Polisi iwe na unifomity iache generalization, mtu Mmoja awezi kujitungia sheria zake Ndani ya nchi.

Wafuatilie wanaovunja sheria then wawachukulie hatua wawache madreva wafanye kazi Yao Kwa mujibu wa sheria na taratibu.
Tatizo kalileta Polepole, kusingekuwa na polepole udhibiti mwendo usingekuwepo, CCM muondoeni Polepole tubaki na kasi.
 
Kuna taarifa zinasambaa Kwenye mitandao ya kijamii Kwamba Trafic wa Wilayani Same wamekataza mabasi yanayotoka Dar kuwahi kufika Same kabla ya saa Saba. Matokeo yake mabasi yakikaribia same yanapaki barabarani yakisubiri ifike saa Saba yaingie mjini.

Wakati huyu trafic anafanya haya naamini viongozi wa Wilaya na Mkoa wapo wamekaa kimya, tujiulize kutoka Dar Hadi Same Kuna vituo vingapi vya ukaguzi inavyosimamiwa na trafic?

Kama huko kote wameruhusiwa kupita means speed Yao inakubalika, unajiuliza hawa trafic wa Same Wana utaalamu Gani wa ziada? Unajiuliza Same ipo Tanzania au ipo nchi nyingine? Wana Sheria yao ya usalama barabarani?

Ningekuwa Mhe. RAIS watu kama hawa ningewarudisha nyumbani wakajifunze kutumia akili kutenda kazi. Kumsimamisha abiria Same akumwepushi na ajali kwa sababu wapo watu wanatoka Same Wanapata ajali mita chache. Lakini lazima Polisi iwe na unifomity iache generalization, mtu Mmoja awezi kujitungia sheria zake Ndani ya nchi.

Wafuatilie wanaovunja sheria then wawachukulie hatua wawache madreva wafanye kazi Yao Kwa mujibu wa sheria na taratibu.
..'Tengeneza tatizo halafu litatue kwa gharama!"....
...."Kuingia polisi ni bure, kutoka ni pesa"...

Hivi vimisemo vina maana inayorandana katika mantiki ya uzi wako huu.

Hapo kuna mtu anaitwa Rto au Dto kiwadhifa, ndiyo michongo yao hiyo, yupo ofisini anaagiza tu na hao nyange nyange wa barabarani wanamtii yeye, ni kama zimwi linalotenda miujiza na kuathiri lakini lenyewe halionekani na wala halijulikani.

Wa kuwawajibisha hapo ni hao niliowataja mmojawapo, ama Rpc, ama Ocd kama ni ngazi ya Wilaya.

Na kama ukiona kero zisababishwazo na Polisi na hazipati kukemewa, elewa kabisa ni baraka toka kwa "kanindo" mwenyewe(Igp)!

Kwa muktadha wa jambo hili, ufuatwe mnyororo wa uongozi wa jeshi la Polisi katika kuchukua hatua.

Polisi hawastahili kuleta kero bali kuziondoa kwa mujibu wa sheria.

Michongo "kabila" hii huwa ni vyanzo vikubwa sana vya milungura, yaani wanaanzisha kero, kisha wanaweka mazingira ya "kuyamaliza".

Kwa issue kubwa kama hii, ambayo wao wanaiona ni ndogo, kwa nini viongozi wa Polisi wa eneo husika wasiwajibishwe, siyo kwa uhamisho bali kwa kufukuzwa mazima?
 
Basi liende taratibu halafu ataeshabieha ajali ya Basi hilo Ni dereva wa gari nyingine.
 
Ally's wana balaa kuna siku nilipanda toka Mwanza, nikafika Dar saa 2 usiku.. hiyo saa 2 yenyewe ndo naingia home, kila mtu akawa ananishangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
hawa jamaa walikuwa nyoko nishawahi toka Dar to Mwanza 12 jioni nipo nyegezi..vilikuwa vile vifuso flani wanamodify vinakuwa bus ila wakafungiwaga,kwenye bus walisema kama una roho nyepesi shuka
 
Sijui kama nimeelewa tofauti hii mada.... kinachotakiwa ni vituo vingine vyote visimamie kuhakikisha kuwa mabasi yanafika kila kituo kwa muda sahihi uliopangwa.....hao wa Same ni wa kupongezwa.
Ila tatizo kubwa ninaloona ni jamii zetu kuridhika na vitu duni mno! Barabara zetu ni za hovyo mno.....Dar-Same katika karne hii kuchukulia watu masaa saba na zaidi ni uzembe uliopindukia, na hii inasababishwa na barabara feki tunazojenga.
nashauri huyo trafiki apandishwe cheo.nchi hii ina wajinga sana hujui mwendo kasi huua.huyu anajitambua .
 
Nakumbuka juzi kati naenda kisiwa cha Pemba kutokea Unguja... Kila hatua ya 1km Kuna traffic anasimamisha dala dala basi wale abiria wakiona polisi tu wanaanza kutoa maneno kwamba wanacheleweshwa wanataka wawahi majumbani kwao. Sasa mimi nikawaambia ni vema mfurahie hili linalotokea kuliko hilo mnaloliwaza nyinyi maana bila traffic na bara bara ile ilivo na mabonde ambayo huoni mwisho na ilivo nyembamba nawaambia Kila siku utasikia ajali zikitokea maana magari yanapelekwa mwendo mkubwa mno. Basi wakaanza kutulia wakaona hili linaweza likawa la maana. Mwisho nawaasa abiria wenzangu tunaosafiri usimchikie traffic kamwe... Kama unataka mwendo kasi panda ndege utawahi kufika.
 
BM za Moro Arusha zinatembea Sauli akasome,yaani saa nne asubuhi eti unakuta wanaitafuta Hedaru kuelekea chuga, sasa unajiuliza Moro imetoka saa ngapi.

Wakati mwingine tuache Mamlaka zifanye kazi zake,kuna mabasi yana miendo hatarishi sana.

Zinatuokoa sana sisi wafanyabiashara tofauti na malayman wanajali muda na hawakimbii hivyo unavyosema
 
Back
Top Bottom