Trafiki aliyekataza mabasi ya Dar kuingia Same kabla ya saa bado yupo ofisini? Kwanini kizuizi kiwe Same na sehemu nyingine?

Trafiki aliyekataza mabasi ya Dar kuingia Same kabla ya saa bado yupo ofisini? Kwanini kizuizi kiwe Same na sehemu nyingine?

BM za Moro Arusha zinatembea Sauli akasome,yaani saa nne asubuhi eti unakuta wanaitafuta Hedaru kuelekea chuga, sasa unajiuliza Moro imetoka saa ngapi.

Wakati mwingine tuache Mamlaka zifanye kazi zake,kuna mabasi yana miendo hatarishi sana.
 
Kabla ya kumlaumu huyo traffic ilikuwa vyema ukauliza kama kuna wengine wameona situation hiyo?nadhani huyo traffic anatekeleza maagizo huu utaratibu nimeuona pia njia ya mwanza- arusha,mfano gari ikifika stendi ya singida kabla ya mda walopangà inabidi isubiri mpaka huo mda ufike,the same to babati gari ikifika babati kabla ya mda mfani inabidi ikae isubiri mda huo
Nadhani lengo ni kumonitor speed ya hao madereva japo naona kama itafeli kwa sababu madereva walozoea kukimbiza mwendo wao ni uleule,kwa hiyo madereva wanakimbizana wafike singida wakae zao wawasubirie wengine kiufupi spidi ni zilezile za mwanzo
 
Hao Ally's bus kipindi hicho ilikuwa hatari tupu, nshawahi ingia Shinya ga stand saa 11.00 jioni from DSM.
Ally's wana balaa kuna siku nilipanda toka Mwanza, nikafika Dar saa 2 usiku.. hiyo saa 2 yenyewe ndo naingia home, kila mtu akawa ananishangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkumbuke ndiyo askali hao hao wanaoweza kukunyonga akigundua una deal so muwe waangalifu nao.

Kuna basi za kampuni ya tofauti kama BM nk, haya yanakuwa na huduma tofauti ikiwepo na choo cha ndani kile choo kinasaidia sana kupunguza simama simama njiani, so basi linaokoa muda mwingi sana kuchimba mizizi nk, tofauti na zile basi zetu kina saibaba na harambee.

So ndugu trafiki hebu muingie darasani kugundua why mabasi yanawahi na mengine yanachelewa.

Muweke vituo vingi vya ukaguzi ila siyo kuzuia basi kutembea kisa muda, wenzetu huko duniani cha kwanza ni usalama siyo kwa nini umewahi.

Mombasa to Nairobi au Narobi to Kisii wengi wanasafiri usiku, na ndinga zinakata upepo kwelikweli si lelemama, tena unakuta davoo anatafuna mirungi pembeni ana bazoka na chupa ya maji, macho mekunduuu, mara paaap saa 11:43asbh mpo Tom mboya street dantown mnashuka.
 
Kwasasa gar za kutoka dar zinaingia igunga saa moja yaan ni ungese na kjpotezeana muda,, hii nchi ndiomana maskin yaan hatujali muda kabisa
Bora turudi enzi za Giriki, dar -mbeya saa saba na nusu.
 
Ilikuwa balaa sana,ila bus za kutoka Dar-Kahama hazipiti shinyanga mjini!
DAR to Kahama haupiti Shinyanga, ukifika Tinde u turn left via Osaka to Kahama. Ukinyoosha from Tinde unaelekea Shinyanga and Mwz mkuu.
 
DAR to Kahama haupiti Shinyanga, ukifika Tinde u turn left via Osaka to Kahama. Ukinyoosha from Tinde unaelekea Shinyanga and Mwz mkuu.
Ndio nilikuwa narekebisha aliyesema walifika Shinyanga!
 
Ebwana eeh niko na kondakta wa tilisho hapa nyumbani kwangu amedhitisha hili kuwa siyo trafic anyefanya hvyo Ni latra ndio wanafanya hvyo na kupelekea kuficha mabasi vichakani wakisubiria ifike saa Saba dkk 35 HV
Sasa si ujinga kwanini dareva asiendeshe kwa speed inayotakiwa
 
Ndio nilikuwa narekebisha aliyesema walifika Shinyanga!
Hao Ally's bus kipindi hicho ilikuwa hatari tupu, nshawahi ingia Shinya ga stand saa 11.00 jioni from DSM. Ni wapi Kahama imetajwa hapo mkuu?
 
Hao Ally's bus kipindi hicho ilikuwa hatari tupu, nshawahi ingia Shinya ga stand saa 11.00 jioni from DSM. Ni wapi Kahama imetajwa hapo mkuu?
Ok,my bad!Itakuwa route ya Dar-Mwanza,maana hakukuwa na Ally's ya Dar-Shinyanga!
 
Back
Top Bottom