Anaweza kwenda kwa speed inayotakiwa na bado akawai kufika.Sasa si ujinga kwanini dareva asiendeshe kwa speed inayotakiwa
Unaonekana umri wako mdogo, Scandinavia Express alikuwa na basi linaenda Dar na kurudi Dodoma time was 0630hrs Dar 1130hrs na 1300hrs linaondoka na mnaingia Dom 1900hrs.Duh chai hii
Kutoka dsm hadi same ni KM 349.. kama unatakiwa ufika Same saa 7 that means unatakiwa utembee speed ya 43 km per hrKwa ushauri ungepaswa kuomba kuwa waongeze Wasimamizi wengine kwenye kila kituo watakao simamia muda wakufika sehemu husika .
Mfano Segera, korogwe nao wasimamie kama anavyosimamia huyo.
Huyu unae mtaja niwakusifia anasimamia kazi yake ipasvyo. Sasa kwa vile wengine hawatimizi wajibu wao ndo unataka nae asitimize?
Au kama utaratibu ni muda upi gari lifike same , yaezekana ndo sehemu walotenga, Japo kweli inapaswa vizidishwe vituo vya usimamizi huo ili kuzuiya mwendo kasi kila hatua.
Jambo ni moja MWENDO KASI UNAUWA. Hasa hizi nchi zetu ambazo miundo mbinu ndo hivyo bado magari yenyewe haya tea tea
Hata kama sinaga imani na mapolisi ila huyu kwa hili yuko sawa
Tusije rudi ile miaka ya "Ajali ya Uwa watu 30+ na majeruhi 20+.
Huu in ujuha tu, fikiria rated speed ya mabus in km 80 kwa SAA, Same na dar ni km 425, chukua 425 / 80 = Massa 5 na dk 20, hivyo kama umeyoka dar SAA 12 unatakiwa upite Same SAA angalau SAA 6, baada ya kujumlisha vizuizi na muda wa mapumziko, iweje hawa polisi hawana mahesabu hayo!?Kwa ushauri ungepaswa kuomba kuwa waongeze Wasimamizi wengine kwenye kila kituo watakao simamia muda wakufika sehemu husika .
Mfano Segera, korogwe nao wasimamie kama anavyosimamia huyo.
Huyu unae mtaja niwakusifia anasimamia kazi yake ipasvyo. Sasa kwa vile wengine hawatimizi wajibu wao ndo unataka nae asitimize?
Au kama utaratibu ni muda upi gari lifike same , yaezekana ndo sehemu walotenga, Japo kweli inapaswa vizidishwe vituo vya usimamizi huo ili kuzuiya mwendo kasi kila hatua.
Jambo ni moja MWENDO KASI UNAUWA. Hasa hizi nchi zetu ambazo miundo mbinu ndo hivyo bado magari yenyewe haya tea tea
Hata kama sinaga imani na mapolisi ila huyu kwa hili yuko sawa
Tusije rudi ile miaka ya "Ajali ya Uwa watu 30+ na majeruhi 20+.
Dodoma dar sio safari ya masaa tisa ni tochi tu mkuu,moro dar ilikuwa masaa mawili na nusu zamaniDuh chai hii
Umenena facts hapa,tatizo sio speed bali ni barabara mbovu tulizokua nazo,Livingstone to Lusaka (Zambia)ni sawa na Dar to Arusha ,wenzetu wanasafiri umbali huu kwa saa 7 tu na ukitaka uharaka unachukua zile sprinters (4-5 hrs),uchawi hapa ni barabara safi iliyopo !!Masaa 7 gari ilitakiwa iwe ishapaki Arusha.
Huwezi tumia masaa 11 umbali mdogo huo.
Kwanza wanachosha abiria.
Kumbe Pemba na unguja unaweza kwenda na bus!Nakumbuka juzi kati naenda kisiwa cha Pemba kutokea Unguja... Kila hatua ya 1km Kuna traffic anasimamisha dala dala basi wale abiria wakiona polisi tu wanaanza kutoa maneno kwamba wanacheleweshwa wanataka wawahi majumbani kwao. Sasa mimi nikawaambia ni vema mfurahie hili linalotokea kuliko hilo mnaloliwaza nyinyi maana bila traffic na bara bara ile ilivo na mabonde ambayo huoni mwisho na ilivo nyembamba nawaambia Kila siku utasikia ajali zikitokea maana magari yanapelekwa mwendo mkubwa mno. Basi wakaanza kutulia wakaona hili linaweza likawa la maana. Mwisho nawaasa abiria wenzangu tunaosafiri usimchikie traffic kamwe... Kama unataka mwendo kasi panda ndege utawahi kufika.
Typing arror mkuu ni baada ya kushuka meli...Kumbe Pemba na unguja unaweza kwenda na bus!
Haaahaaa. Huyo Traffic akiisoma hii Post yako ataona unamzibia asipande cheoAkipandishwa cheo atakaa ofisini, labda apewe motisha aendelee kukomaa hapo stand
Umechulia hesabu siyo.Kutoka dsm hadi same ni KM 349.. kama unatakiwa ufika Same saa 7 that means unatakiwa utembee speed ya 43 km per hr
Sheria ya wapi ya kipuuz hivyo? S mwendo wa Baiskel huu??
Kipindi yanaondoka dsm saa 12 Asubuh yanafika moshi saa sita/saba hivyo vituo na mizan hazikuwepo?Umechulia hesabu siyo.
Kumbuka hilo ni gari , lina sehem za kusimama mama Mizani tena ziko mbili , Stendi kama Kibaha na Korogwe, Folen ya sehem huruhusiwi kulivuka gari kama mto wami hapa ukikutana na magar ya mizigo speed yaeza fika hata 10 na ni sehem zaidi ya mita miatano.
Kuna vituo vidogo kupandisha abiria na kupandisha kama chalinze au bagamoyo kama njia ni tofauti, kuna Msata, mkata, segera, n.k
Bado sehemu ya kula muda wake
Haya turudi kwenye speed ya kila gari liingiapo kijiji au mji ambayo maximum ni 50km/hr.
Jee kuna vijiji vingapi na miji mingapi njia nzima .
Bado kuna tuta ambazo gari linashusha speed hadi 15km/hr.
Ukweli barabara zetu hazikidhi vigezo magari hasa yenye roho nyingi za watu kuzidisha mwendo..
We chukulia mfano mwendo kasi kwa wakazi wa dar ambazl ziko Express japo zinasimama vituo vichache zinachukua 30min kutoka Kimara to Kariakoo ila dadalada za kawaida za moja kwa moja zknachukua 50min+ kwa vile njia zinafolen na matuta ya hapa na pale.
80km/hr ni maximum speed kumbuka.Huu in ujuha tu, fikiria rated speed ya mabus in km 80 kwa SAA, Same na dar ni km 425, chukua 425 / 80 = Massa 5 na dk 20, hivyo kama umeyoka dar SAA 12 unatakiwa upite Same SAA angalau SAA 6, baada ya kujumlisha vizuizi na muda wa mapumziko, iweje hawa polisi hawana mahesabu hayo!?
Familia ikiikosa huduma ya uwepo wako ndipo utakapopunguza haraka zisizo na tija,kukimbia tunapenda,issue ni unakimbiaje?Zinatuokoa sana sisi wafanyabiashara tofauti na malayman wanajali muda na hawakimbii hivyo unavyosema
Kwa io unatka unataka ziende spidi zipate ajali mfe si ndio?Kwasasa gar za kutoka dar zinaingia igunga saa moja yaan ni ungese na kjpotezeana muda,, hii nchi ndiomana maskin yaan hatujali muda kabisa
gari ndogo yupo 170kph lakini badojamani basi zamani zulikua zinakimbia sio poa