njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Kuna kipindi kinana aliliongelea la trafiki kutotakiwa kusimama barabarani,mbona maisha yalienda tu,halafu mdogo mdogo wakaanza kurudi roadAliyerecord na kusambaza hajafanya poa, hao jamaa wanapiga sana kazi tena kwenye mazingira magumu sana, jua,mvua zao hao..mpaka unawaonea huruma.
Na hawana sehemu ya nyongeza zaidi ya humo barabarani...watu wanapiga mabilioni kila siku na allowances za kutosha...
Wawaache bana..
Wenye magari wiki wakae mguu sawa 😄 ni mwendo wa cheti tuWamiliki wa magari mabovu wiki hii ngumu sana,jamaa watakua na hasira vibaya mno
Rushwa inaanzia juu huko kwa vigogoSiwapendi polisi mbaya mbaya lakini daah Nchi hii wanaokula mabilioni to matrion kisha wanatufokea huwezi kuwakuta hao majamaa maslahi madogo sana hizo buku buku ndio ziwaponze hivyo?
Siku nikisikia kuna fisadi limepigwa mawe mpaka kufa ndio nitajua ukombozi uko karibu hiko kilichotokea ni roho ya umasikini na ufukara imefanya kazi yake
ukitaka hivi gari nyingi zitapakiwa maana nyingi zina makosa kibaoKama kweli wanataka kupunguza rushwa kwa hawa traffic basi iwe ni lazima mazingumzo ya kondakta na askari yawe mlangoni mwa daladala na abiria wakiona na kusikia mazungumzo. Siyo gari inakwenda kusimama mbele halafu konda anarudi nyuma kwa askari kumshikisha kitu kidogo.
Haiwezi kuota nyasi.ataonywa na akiendelea anaonywa Hadi mara tatu na akizidi kuendelea ndiyo kibarua kitaota nyasi.zaidi atapelekwa tu kwingineDuh ajira ishaota nyasi
Ova
Pesa Ya Brush Imeharibu KaziKwa hapa Dar polisi wanapokea rushwa bila ya kificho wala hofu..Nashangaa takukuru wanafanya nini
Kuchukua picha inategemea na sehemu ulipo.maana huwezi kumpinga picha Huku anakuona anaweza kukutafutia kosa ili kukukomoa.Ni uzalendo ukiwapiga picha au kuchukua video,kuliko kukaa kimya,ulinzi wa raia na nchi,si wa askari tu,unaanza na wewe mwananchi.
HaaMajina yao please...
Wapambanaji kazini...kwani zakubrashi ziliisha na Magu au ?Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Trafiki wote wanakula rushwa. Kama watafukkuzwa hawa wawili tu, nitashangaa ssna.Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amesema askari wawili wa Kikosi cha Usalama Barabarani walioonekana kwenye video wakifanya vitendo ambavyo ni kinyume cha maadili ya Jeshi la Polisi kwa maana ya kupokea rushwa, tayari wamekamatwa na wako mahabusu na hatua za kisheria zitafuata dhidi yao.
Pia, Soma: Hapa ni wapi? Trafiki wadakwa kwenye video wakichukua Rushwa mara kadhaa
Kwahiyo unashauri waachwe wake rushwa kwa raha zao?Kabisa mkuu....badala wahangaike na mapapa wanahangaika na dagaa wadogo wadogo
Yaani hata likifumuliwa hakuna kitu maana ndio mfumo waliojiwekea huo wa kukusanya hela kila siku kwa tamaa zaoHili ninjeshi la aibu ya kitaifa . Huwezi kupanda daladala ukakaliza trip bila kukutana na hizo episode . Hili jeshi silipendi kutoka kwenye uvungu wa moyo wangu
Nchi yetu kosa sio kuiba, kosa ni kukamatwa ukiiba.Kama kweli wanazuia na kupambana na rushwa wakawakamate na wanaokula mabilioni kwenye ripoti ya CAG