Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump amsifia Putin kuwa ni 'Genius' kwa namna alivyoingia Ukraine

Trump kamsifia Putin kuwa 'namna alivyojiingiza Ukraine' katumia akili kubwa mno na katamani pia US wangetumia njia hiyo ktk kudili na sehemu za nchi inayopakana nayo upande wa kusini.

Kusifia huko kumeambatana na tukio zito na tete ambalo macho ya dunia nzima yalikuwa yakilifikiria na mataifa makubwa yalikuwa yakipiga mikwara.

Sasa wewe mjuvi weka link ya sifa alizotoa Putin kumsifu rais yeyote wa Marekani kwamba katumia akili kubwa ktk kudili na changamoto fulani nzito na tete. Sio ulete stori za marais wanatembeleana nchini mwao kisha wapiga stori za mtu na mgeni wake huku wakisifiana kinafiki.
Huyohuyo Trump anasema katika hiyo interview kuwa aliibiwa uchaguzi mwaka 2020, na kwamba kama angekuwa bado yuko madarakani, Putin asingethubutu kuivamia Ukraine. Ametumia maneno ya kumsifia Putin kama silaha dhidi ya mpinzani wake wa kisiasa, Joe Biden.

Jitahidi kuzifahamu siasa za Marekani jinsi zilivyo!
 
Huyohuyo Trump anasema katika hiyo interview kuwa aliibiwa uchaguzi mwaka 2020, na kwamba kama angekuwa bado yuko madarakani, Putin asingethubutu kuivamia Ukraine. Ametumia maneno ya kumsifia Putin kama silaha dhidi ya mpinzani wake wa kisiasa, Joe Biden.

Jitahidi kuzifahamu siasa za Marekani jinsi zilivyo!
Text yako haina majibu ya ulichoulizwa/kuombwa. Uliombwa hili:

"Sasa wewe mjuvi weka link ya sifa alizotoa Putin kumsifu rais yeyote wa Marekani kwamba katumia akili kubwa ktk kudili na changamoto fulani nzito na tete. Sio ulete stori za marais wanatembeleana nchini mwao kisha wapiga stori za mtu na mgeni wake huku wakisifiana kinafiki".
 
Halafu jifunze nidhamu ya namna ya kujadiliana na mtu usiyemfahamu ktk mitandao ya kijamii.

Kutumia lugha ya ukakasi pekee hakuwezi ipa nguvu hoja yako (kama ni dhaifu), wala kutumia lugha ya staha hakuwezi idogesha hoja yako (kama ni madhubuti).

Na kwa kukupa faida tu ni kuwa ukitumia lugha ya staha ktk kujadiliana na mtu inakupa bonus ya kudhaniwa kuwa umestaarabika.
Lugha ya ukakasi iko wapi hapo? Kwamba neno "ushamba" lina ukakasi?

Ushamba ni hali ya kushangazwa na jambo fulani ambalo kwa wengine jambo hilo ni la kawaida sana! Hakuna ukakasi wowote hapo.
 
Text yako haina majibu ya ulichoulizwa/kuombwa. Uliombwa hili:

"Sasa wewe mjuvi weka link ya sifa alizotoa Putin kumsifu rais yeyote wa Marekani kwamba katumia akili kubwa ktk kudili na changamoto fulani nzito na tete. Sio ulete stori za marais wanatembeleana nchini mwao kisha wapiga stori za mtu na mgeni wake huku wakisifiana kinafiki".
Soma kwanza kile nilichosema kabla haujanijibu!

Kwani kusifiana kinafiki ni mpaka marais watembeleane katika nchi zao? Kwani wakati Putin anamsifia Biden, Putin alikuwa ziarani nchini Marekani? Biden alikuwa Moscow?

Nimesema, Trump amemsifia Putin kisiasa dhidi ya Biden ambaye ni mpinzani wake wa kisiasa nchini Marekani. Na ameendelea kwa kusisitiza kuwa, kama yeye angekuwa bado yupo madarakani, Putin asingethubutu kufanya hilo alilolifanya.
 
Kwa kweli Trump sio mnafiki, ameamua kutoa ya moyoni kwa jinsi alivyokoshwa mnoo na hatua ambazo zimechukuliwa na Putin ambazo zimetumia akili isiyo ya kawaida.

Kisha kuna wamarekani wachache wa huko 'Nanyamba' na 'Tandahimba' wanaona ati Putin ni wa kawaida kawaida ktk Ulimwengu huu
Hivi hiyo akili kubwa ni ipi hasa? Yaani itokee Somalia kaanzisha zogo na Somaliland afu Ethiopia akaingia Somaliland akidai anaenda kulinda Amani,hapo kuna u genius upi? Nisaidieni.
 
Hivi vikwazo alivyoekewa Cuba vilimuathiri kwa kiwango gani?
Libya kwenye ile issue ya kuangusha ndege kule scotland baada ya sheikh Ghadaffi kukataa kuwatoa kina Abelbezat Allmagray Libya wakalimwa vikwazo vilivyodumu kwa miaka minane. Waliathirika kwa kiwango gani.?

Iran inatwangwa vikwazo miaka nenda rudi, bado wanaonekana stable na miradi mikubwa kama ya nyuklia inaendea. Nani ali/ana nunua mafuta na gesi ya iran?

Nani alikuwa akinunua mafuta ya walibya?
Korea ya kaskazini tangu naanza kupata akili hawa jamaa wapo kwenye vikwazo. Hawauzi nje? Hawanunui nje? Cha ajabu wanaolalamika kuwa wananchi wa korea ya kaskazini wanalia njaa ni CNN, BBC, BLOOMBERGER, na vyombo vingine mumiani vya hawa makaburu. Full propaganda.

Mwisho. Kwenye hili looser ni ukraine. Mpaka sasa kashapigwa 2-0. Asipokuwa makini atapoteza yote kama palestina.
 
Lugha ya ukakasi iko wapi hapo? Kwamba neno "ushamba" lina ukakasi?

Ushamba ni hali ya kushangazwa na jambo fulani ambalo kwa wengine jambo hilo ni la kawaida sana! Hakuna ukakasi wowote hapo.
Sio kila kitu lazima ujibu, vingine wajipa muda wa kutafakari
Soma kwanza kile nilichosema kabla haujanijibu!

Kwani kusifiana kinafiki ni mpaka marais watembeleane katika nchi zao? Kwani wakati Putin anamsifia Biden, Putin alikuwa ziarani nchini Marekani? Biden alikuwa Moscow?

Nimesema, Trump amemsifia Putin kisiasa dhidi ya Biden ambaye ni mpinzani wake wa kisiasa nchini Marekani. Na ameendelea kwa kusisitiza kuwa, kama yeye angekuwa bado yupo madarakani, Putin asingethubutu kufanya hilo alilolifanya.
Sikukujibu kwa kuwa niliona ulichokoti (ulichoulizwa) na maelezo uliyoleta havina uhusiano.

Btw: hapa huyu rais G.W. Bush wa US ktk mahojiano amsifia Putin, naye alikuwa akifanya siasa gani?
 
Trump anasema kuwa namna Rais Putin alivyotangaza majimbo mawili makubwa ya Ukraine kuwa huru, hayapo ndani ya Ukraine, ni namna ya kipekee iliyotumia akili kubwa mno (Genius).

Trump akaendelea kusema kuwa Putin anaenda ingia ndani ya Ukraine na kuwa mlinda amani..."hilo ni jeshi imara zaidi la kutunza amani...tungeweza kulitumia jeshi hilo kwenye mpaka wetu (Marekani) wa kusini".

Trump akaendelea kuongea "Nimeona vifaru vingi (vya Russia) kwa idadi ambayo sijapata kuona kabla. Kwa kweli wanaenda kutunza amani kiukamilifu kabisa".

Ikumbukwe kuwa hata Rais Bill Clinton wa Marekani alishawahi kumsifia na kumkubali Putin, akasema kuwa Rais putin ni mtu mwerevu mnooo, a.k.a. Genius (video yake tumeiambatanisha hapo chini)

Pia Rais George W. Bush aliwahi kumsifia Putin kuwa ni mtu smart sana (video yake pia ipo hapo chini)

======



“I said, ‘This is genius,'” Trump said on a right-wing podcast. “Putin declared a big portion of … Ukraine … as independent. Oh, that’s wonderful. … I said, ‘How smart is that?’ And he’s going to go in and be a peacekeeper. That’s strongest peace force. … We could use that on our southern border. That’s the strongest peace force I’ve ever seen. There were more army tanks than I’ve ever seen. They’re going to keep the peace all right. Here’s a guy who’s very savvy … I know him very well. Very, very well.”

Huyu hapa ni Raisi Bill Clinton akizungumza na Pierrs Morgan akisema kwamba Vladmir Putin ni mtu mwerevu. Anzia Sekunde ya 30....


Huyu hapa ni Raisi George W. Bush akimuelezea Vladmir Putin ni mtu mwerevu na mjanja mno. Anzia Sekunde ya 30....


Ukiona unasifiwa sana lakini jitafakari
 
Ni kisiasa zaidi Marekani ya sasa narudia tena na tena vita ya kukandamiza kiuchumi wao wameona ndio njia pekee endelevu itakayowasulubu kina Putini, uzuri wa Putini kisilaha haimaanishi kwamba Marekani hawezi kumshughulikia Russia chini ya dakika 5 kama Marekani itaamua.
Chini ya dakika tano? Sema marekani bajeti yao ya ulinzi daaa, Ni Uk,France, Russia,China na German combined
 
Chini ya dakika tano? Sema marekani bajeti yao ya ulinzi daaa, Ni Uk,France, Russia,China na German combined
Mkuu ingekuwa kutumia bajeti kubwa tu kwenye maswala ya silaha na ulinzi ndio kigezo cha kushinda vita basi kitambo sana Saudi ingekuwa imeshawaangamiza na kuwashinda waasi wa kihudhi nchini Yemen.
 
Hivi huyu Biden anatokea chama gani na yule Obama alitkua chama gani? Mana wakati wa Obama Cremia ikaenda na maji, leo Biden majimbo mawili, Trump hakupoteza jimbo hata moja na alijua anadeal na mtu wa aina gani, kwenda kwake Moscow kuzungumza hakuwa mjinga, sasa wajanja wanawatia wenzao matatizoni kila siku.

Inawezekana siku akija mtu mwingine wa icho chama basi nae atasababisha majimbo mengine kumegwa tena kwa kujifanya wababe

Trump alikuwa hana hatari kwa Russia
 
Hivi vikwazo alivyoekewa Cuba vilimuathiri kwa kiwango gani?
Libya kwenye ile issue ya kuangusha ndege kule scotland baada ya sheikh Ghadaffi kukataa kuwatoa kina Abelbezat Allmagray Libya wakalimwa vikwazo vilivyodumu kwa miaka minane. Waliathirika kwa kiwango gani.?

Iran inatwangwa vikwazo miaka nenda rudi, bado wanaonekana stable na miradi mikubwa kama ya nyuklia inaendea. Nani ali/ana nunua mafuta na gesi ya iran?

Nani alikuwa akinunua mafuta ya walibya?
Korea ya kaskazini tangu naanza kupata akili hawa jamaa wapo kwenye vikwazo. Hawauzi nje? Hawanunui nje? Cha ajabu wanaolalamika kuwa wananchi wa korea ya kaskazini wanalia njaa ni CNN, BBC, BLOOMBERGER, na vyombo vingine mumiani vya hawa makaburu. Full propaganda.

Mwisho. Kwenye hili looser ni ukraine. Mpaka sasa kashapigwa 2-0. Asipokuwa makini atapoteza yote kama palestina.
Wewe uwelewa wako ulivyo mdogo katu hawezi kujua athari za vikwazo, hujiulizi ni kwa nini hayo mataifa kila siku yanalia na hivyo vikwazo kwamba viondolewe.

Unafikiri bila ya hivyo vikwazo hizo nchi zingekuwa wapi kimaendeleo. Haya ni mambo ambayo yako nje ya uwezo wenu kuelewa.
 
Trump kamsifia Putin kuwa 'namna alivyojiingiza Ukraine' katumia akili kubwa mno na katamani pia US wangetumia njia hiyo ktk kudili na sehemu za nchi inayopakana nayo upande wa kusini.

Kusifia huko kumeambatana na tukio zito na tete ambalo macho ya dunia nzima yalikuwa yakilifikiria na mataifa makubwa yalikuwa yakipiga mikwara.

Sasa wewe mjuvi weka link ya sifa alizotoa Putin kumsifu rais yeyote wa Marekani kwamba katumia akili kubwa ktk kudili na changamoto fulani nzito na tete. Sio ulete stori za marais wanatembeleana nchini mwao kisha wapiga stori za mtu na mgeni wake huku wakisifiana kinafiki.
[emoji16][emoji16]jamaa anahasira mpaka sasa, hawezi kuelewa kilichoandikwa analeta mambo mengine kabisa[emoji16]
 
Back
Top Bottom