Trump asitisha misaada ya ARV na dawa za Malaria kwa muda

Ni kitu kibaya sana hiki kinaenda kuleta maafa makubwa mno
 
Tutazika viongozi wengi sana
 

Attachments

  • IMG-20250128-WA0054.jpg
    142.5 KB · Views: 4
Watanzania hawatafuti ukweli kwakuwa serikali yao huwa haijisumbui kuweka taarifa bayana. Na hii inatengeneza ombwe la misinformation kama iliyopo kwenye hili suala
 
Safi sana, humu jukwaani si kila siku mnazinasibu China na Urusi kwa kuziita Superpowerz mbele ya US?? Naona mshaanza kutoa milio kabla hata mwamba hajatia gia
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Duuh
 
Na badooo,
Mlimshangilia humu na kuna waswahili wengine walidiriki hadi kumtungia wimbo na kumuita mkombozi aliyetumwa na Mungu, dawa inazidi kuingia sasa
Una ukimwi!! Au kisa anawazingua ma lesbian 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…