Haziexpai?Na stock ya pipa 2 ya ARV wacha azipige stop
Hivi ni suala la kuumia Tena?Sawa kama unaona ni sawa v8 inakuuma sana ee
Yupo sahihi, Trump kapiga Marufuku pia Harakati zote za LGBTQ+Na badooo,
Mlimshangilia humu na kuna waswahili wengine walidiriki hadi kumtungia wimbo na kumuita mkombozi aliyetumwa na Mungu, dawa inazidi kuingia sasa
SawaHivi ni suala la kunitumia Tena?
Huo netoa mfano yapoengi ya afanyika na kupoteza pesa badala ya kufanya mambo ya maana sbb walikua Kuna misaada
Akili zitarudi watanunua uzuri dawa sipo sio kwamba hazipo ila ni za kununu
Ni kitu kibaya sana hiki kinaenda kuleta maafa makubwa mnoHii kitu sio ya kushangilia, wakati tunasema ni bora ili Serikali ijitegemea ila tuelewe sio Tanzania peke yake inayotegemea hiyo misaada, zipo Nchi zilizoathiiriwa sana na zinauhitaji mkubwa sana wa hizo dawa, so tutarajie vifo vingi vya watoto wachanga, watoto njiti na watu wenye maambukizi ya ukimwi maana imekuwa ghafla. Naamini hakuna Nchi ilitarajia hili
Tutazika viongozi wengi sanaUtawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).
Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
Hapo unamaanisha nni,unaandika kama unajiandikia mwenyeweNasikia USA cha mtoto baba lao ni Urusi.
Haya sasa
Na imechangamka kweli,watu wanahahaDuniani palipoa sana, Tunashukuru Trump Kwa kuichangamsha Duniaπ
Jmn hizo dawa zipo ni suala la serikali kuzinunua ,waache kufuja Kodi wanunueNi kitu kibaya sana hiki kinaenda kuleta maafa makubwa mno
Watanzania hawatafuti ukweli kwakuwa serikali yao huwa haijisumbui kuweka taarifa bayana. Na hii inatengeneza ombwe la misinformation kama iliyopo kwenye hili sualaNi utaratibu wa kawaida kwa US Gov kama Kuna executive orders ambapo hudumu siku 90 tu raisi ana hiyo power isipopotishwa na mamlaka zao basi hiyo order inakufa.Ametoa stop order ila sio kwa kila kitu ,ARVs zipo na hajasema zisimame wapendwa watu wana interpretation zisizo na ukweli Kuna waiver zimetolewa kwenye issue za kibinadamu WAtanzania huwa hawatafuti ukweli.Halafu Serikali ya Tz hawajasema lolote kwa kuwa hii ni stop order sio closure of USAID funds
π π π πSafi sana, humu jukwaani si kila siku mnazinasibu China na Urusi kwa kuziita Superpowerz mbele ya US?? Naona mshaanza kutoa milio kabla hata mwamba hajatia gia
Safi kabisa...kwanza tumezaliana sana inabidi wath wapungueMpaka waje kuruhusu tena tutakuwa tumezika wengi.
Vipi mrembo uko poa??π π π π
DuuhUtawala wa Rais Donald Trump umeamua kusitisha usambazaji wa dawa muhimu za kuokoa maisha kwa magonjwa ya VVU, malaria, na kifua kikuu, pamoja na vifaa vya matibabu kwa watoto wachanga, katika nchi zinazosaidiwa na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID).
Hatua hiyo ni sehemu ya kusimamisha kwa muda msaada wa Marekani duniani kote ili kupitia upya programu hizo. Taarifa hiyo imetolewa kwa wakandarasi na washirika wanaofanya kazi na USAID, ikiwa ni pamoja na kampuni ya Chemonics, ambayo inashirikiana na USAID kusambaza dawa hizo muhimu duniani kote.
HahahaMpaka waje kuruhusu tena tutakuwa tumezika wengi.
Una ukimwi nn!!Sasa mbona kama anakomoa yule mwamba simkubali kwanza sura yake ipo tofauti na binadamu wengine yule ni katuni
Una ukimwi!! Au kisa anawazingua ma lesbian π€£Na badooo,
Mlimshangilia humu na kuna waswahili wengine walidiriki hadi kumtungia wimbo na kumuita mkombozi aliyetumwa na Mungu, dawa inazidi kuingia sasa
HahahaKondommu moja elfu 20
Nyani zitakufa kama nzi