Tsh. Bilioni 3 kutumika kusaidia Samia Scholarship

Hamna akili apo. Angesaidia watoto kutoka familia maskini wasiojiweza.



Unaenda kutoa schorship Kwa wanafunzi kutoka st Mary's na feza schools crazy


Ningemuona ana akili angelenga watoto kutoka shule za Kata wenye ufaulu mzuri.


This is cheap politics
 
Jambo zuri ila mchakato wa kuwapata uwekwe wazi tujue kama wanastahili .Maana hii nchi kuna majizi,mapigaji na kubebana bebana tu.
 
Jambo zuri ila mchakato wa kuwapata uwekwe wazi tujue kama wanastahili .Maana hii nchi kuna majizi,mapigaji na kubebana bebana tu.
Naamini mama atahakikisha usimamizi mzuri unakuwepo
 
Reactions: EEX
Kwa hiyo wewe ulitakaje?
 
Ujinga mtupu, Profesa unakuja kutangaza upumbavu wa namna hii kwa sifa Samia Scholarship wakati Bodi ya mikopo inachechemea

Hivi waafrica akili zetu zipo makalioni?? Wasomi wa Nyumbani wana njaa kuliko mfagia mall wa Canada.

Mungj turehemu watu weusi, Tulikoseaga wapi sisi
 
Ni scholarship ya wazee wa makobasi zaidi
 
Unaumwa saana ,yaani huoni hiyo ni motishwa wa dada zetu wa kike ? Nchi hii ina wajinga aisee, na wewe myahudi upo kwenye kundi la wajinga waliopitiliza aisee
 
Kwa hiyo wanaofaulu wasipate haki yao ya msingi kisa tu CHADEMA hawajahusishwa?
Jaribu kuwa na akili japo ya kuvukia barabara bila kugongwa na baiskeli. Unamkamua mama ntilie kumsomesha mtoto wa Mbunge anayesoma FEZA na asiyelipa kodi. Wakati unafanya hayo Bodi ya mikopo iko hoi haipati hata hela za kutosha, akili za wapi hizi?

Mama Mkapa foundation, Mama Kikwete Foundation na sasa Mama Samia Foundation! Kweli! Nchi inajengwa na wenye mioyo, inaliwa na wenye meno. Nilidhani mtaji wa awali wa Foundation yoyote ile ni hela binafsi na si za umma kutoka kwa akina mama ntilie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…