Tsh. Bilioni 3 kutumika kusaidia Samia Scholarship

Tsh. Bilioni 3 kutumika kusaidia Samia Scholarship

Jaribu kuwa na akili japo ya kuvukia barabara bila kugongwa na baiskeli. Unamkamua mama ntilie kumsomesha mtoto wa Mbunge anayesoma FEZA na asiyelipa kodi. Wakati unafanya hayo Bodi ya mikopo iko hoi haipati hata hela za kutosha, akili za wapi hizi?

Mama Mkapa foundation, Mama Kikwete Foundation na sasa Mama Samia Foundation! Kweli! Nchi inajengwa na wenye mioyo, inaliwa na wenye meno. Nilidhani mtaji wa awali wa Foundation yoyote ile ni hela binafsi na si za umma kutoka kwa akina mama ntilie.
Mwambie mwanao asome na atapewa mkopo na si kutaka kuyumbisha wadau wa elimu hapa ,mama kaja na idea ya kuchochea masomo ya science haswa kwa watoto wa kike nyie mnaleta siasa hapa.
 
Hizo pesa badala kupelekwa HESLB MNATUMIA kukuza jina la mtu?? Au hiyo ni HESLB nyingine??
 
Ni suala zuri sana la kutoa "scholarship" kwa wanafunzi wenye ufaulu mzuri, bali isiishie kwa serikalini tu iwe hata kwa makampuni yanayotengeneza faida.

Kama sehemu ya "Corporate Social Responsibility" makampuni yarudishe kwa jamii fedha ili zitumike katika kuwafadhili wanafunzi wengi zaidi.

Corporate Social Investment, makampuni yakumbushwe kuwekeza kwenye jamii, kutia ndani kusomesha watoto wenye vipawa, kutoka familia masikini.
 
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.

Ufadhili huo ambao unaanza mwaka 2022/2023 unafanyika chini ya mpango unaojulikana kama Samia Scholarship.

Akizungumza hayo leo Jumapili Septemba 25,2022, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Septemba 27,2022 wanafungua rasmi tangazo la ufadhili huo ambao utawahusisha wanafunzi waliofaulu kwa kiwango cha juu na kudahiliwa kusoma masomo ya sayansi katika vyuo mbalimbali.

“Baada ya hapo majina yao yatatanangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari kwa wamefanya vizuri sana katika masomo ambao wanastahili kupewa Mama Samia Scholarship,”amesema.

Amesema kuwa wanafunzi 640 ndio waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi, kwa hiyo watafahamu na endapo watadahiliwa katika masomo ya sayansi watakuwa wanufaika wa ufadhili huu.

Aidha, Profesa Mkenda amesema kesho kutakuwa na mkutano wa wadau wa elimu nchini ambapo lengo likiwa ni kupitia sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 pamoja na mabadiliko ya mtaala wa elimu.

“Majadiliano yatatokana na hatua iliyofikiwa kutokana na mapitio ya sera na mitaala baada ya kukusanya maoni mengi ya wadau ambayo tuliyakusanya kupitia mikutano mbalimbali na wengine wamekuwa wakituletea kimaandishi,”amesema.

Amewataja wadau watakaokutana ni wahadhiri, waajiri na wadau wa maendeleo, taasisi zinazohusihanisha na lugha, wabunge, wajumbe wa kutoka Zanzibar, jumuiya za kielimu, taasisi za tafiti za kisayansi, taasisi za umma, binafsi na dini.

Pia Profesa Mkenda amewataka Watanzania kuwasilisha rasimu za maandiko yao za riwaya na mashahiri katika kuwania tuzo za waandishi bunifu ambazo zinajulikana kama tuzo za Mwalimu Nyerere.
Kama ni pesa zake binafsi au ni NGO yake kama ilivyokuwa WAMA sawa iitwe hivyo.Kama pesa inatokana na Kodi na tozo zetu basi iitwe Presidential Scholarship!
 
Unaumwa saana ,yaani huoni hiyo ni motishwa wa dada zetu wa kike ? Nchi hii ina wajinga aisee, na wewe myahudi upo kwenye kundi la wajinga waliopitiliza aisee

Wewe ndio mjinga kwasababu huwajui watanzania vema, tena nakusikitikia sana,

Kwa akili zako unaamini kabisa kuwa hizo pesa wanapewa watoto wa kike, hizo ni kiwa ni mtaji wa kusomesha watoto wa viongozi na mradi wa upigaji tu.

Amka ndotoni, wajue watazania

Polepole alisema anasikitika hawakumaliza wahuni unadhani alikua anatania
 
Wewe ndio mjinga kwasababu huwajui watanzania vema, tena nakusikitikia sana,

Kwa akili zako unaamini kabisa kuwa hizo pesa wanapewa watoto wa kike, hizo ni kiwa ni mtaji wa kusomesha watoto wa viongozi na mradi wa upigaji tu.

Amka ndotoni, wajue watazania

Polepole alisema anasikitika hawakumaliza wahuni unadhani alikua anatania
Kweli kabisa,Mzee Mbowe kawaharibu akili aisee
 
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.

Ufadhili huo ambao unaanza mwaka 2022/2023 unafanyika chini ya mpango unaojulikana kama Samia Scholarship.

Akizungumza hayo leo Jumapili Septemba 25,2022, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Septemba 27,2022 wanafungua rasmi tangazo la ufadhili huo ambao utawahusisha wanafunzi waliofaulu kwa kiwango cha juu na kudahiliwa kusoma masomo ya sayansi katika vyuo mbalimbali.

“Baada ya hapo majina yao yatatanangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari kwa wamefanya vizuri sana katika masomo ambao wanastahili kupewa Mama Samia Scholarship,”amesema.

Amesema kuwa wanafunzi 640 ndio waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi, kwa hiyo watafahamu na endapo watadahiliwa katika masomo ya sayansi watakuwa wanufaika wa ufadhili huu.

Aidha, Profesa Mkenda amesema kesho kutakuwa na mkutano wa wadau wa elimu nchini ambapo lengo likiwa ni kupitia sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 pamoja na mabadiliko ya mtaala wa elimu.

“Majadiliano yatatokana na hatua iliyofikiwa kutokana na mapitio ya sera na mitaala baada ya kukusanya maoni mengi ya wadau ambayo tuliyakusanya kupitia mikutano mbalimbali na wengine wamekuwa wakituletea kimaandishi,”amesema.

Amewataja wadau watakaokutana ni wahadhiri, waajiri na wadau wa maendeleo, taasisi zinazohusihanisha na lugha, wabunge, wajumbe wa kutoka Zanzibar, jumuiya za kielimu, taasisi za tafiti za kisayansi, taasisi za umma, binafsi na dini.

Pia Profesa Mkenda amewataka Watanzania kuwasilisha rasimu za maandiko yao za riwaya na mashahiri katika kuwania tuzo za waandishi bunifu ambazo zinajulikana kama tuzo za Mwalimu Nyerere.
Rais Samia Suluhu anahakikisha anaendelea kuimarisha sekta ya elimu hasa katika masomo ya sayansi hii itachochea wanafunzi kuweka juhudi zaidi katika masomo ya sayansi
 
Hii nchi ina mamuma aisee ,wewe ni mmoja wao
Mtu ni rais wa nchi halafu anaanzisha mfuko wenye jina lake!!? This is absolutely nonsense! And all those who support this nonsensical thing are hypocrites.

Kwann asiziweke hizi fedha kwenye bodi ya mikopo? Kwann jina lake liwe attached kwenye hicho kitu mnachokiita program. I rebuke this move.

Kw
 
Jambo zuri ila mchakato wa kuwapata uwekwe wazi tujue kama wanastahili .Maana hii nchi kuna majizi,mapigaji na kubebana bebana tu.

Mimi sifiki hata huko kwenye transparency ya mchakato. Swali linalohitaji kujibiwa kwanza ni: je, hiyo pesa ni ya Samia au ya Watanzania? Kama ni ya Watanzania, basi huo mpango unapaswa kuitwa jina linaloakisi wenye pesa. Kuuita Presidential Scholarship ni afadhali mara elfu kuliko kuuita Samia Scholarship!
 
  • Thanks
Reactions: EEX
Ujinga mtupu, Profesa unakuja kutangaza upumbavu wa namna hii kwa sifa Samia Scholarship wakati Bodi ya mikopo inachechemea

Hivi waafrica akili zetu zipo makalioni?? Wasomi wa Nyumbani wana njaa kuliko mfagia mall wa Canada.

Mungj turehemu watu weusi, Tulikoseaga wapi sisi

Uchawa ndio unaolimaliza taifa hili. Chawa ni wengi mno!
 
Jumla ya Sh3 bilioni zimetengwa kwa ajili ya kuwasomesha wanafunzi waliopata ufaulu wa juu katika masomo ya sayansi katika mitihani yao ya kidato cha sita.

Ufadhili huo ambao unaanza mwaka 2022/2023 unafanyika chini ya mpango unaojulikana kama Samia Scholarship.

Akizungumza hayo leo Jumapili Septemba 25,2022, Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema Septemba 27,2022 wanafungua rasmi tangazo la ufadhili huo ambao utawahusisha wanafunzi waliofaulu kwa kiwango cha juu na kudahiliwa kusoma masomo ya sayansi katika vyuo mbalimbali.

“Baada ya hapo majina yao yatatanangazwa katika vyombo mbalimbali vya habari kwa wamefanya vizuri sana katika masomo ambao wanastahili kupewa Mama Samia Scholarship,”amesema.

Amesema kuwa wanafunzi 640 ndio waliofaulu kwa kiwango cha juu katika masomo ya sayansi, kwa hiyo watafahamu na endapo watadahiliwa katika masomo ya sayansi watakuwa wanufaika wa ufadhili huu.

Aidha, Profesa Mkenda amesema kesho kutakuwa na mkutano wa wadau wa elimu nchini ambapo lengo likiwa ni kupitia sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 pamoja na mabadiliko ya mtaala wa elimu.

“Majadiliano yatatokana na hatua iliyofikiwa kutokana na mapitio ya sera na mitaala baada ya kukusanya maoni mengi ya wadau ambayo tuliyakusanya kupitia mikutano mbalimbali na wengine wamekuwa wakituletea kimaandishi,”amesema.

Amewataja wadau watakaokutana ni wahadhiri, waajiri na wadau wa maendeleo, taasisi zinazohusihanisha na lugha, wabunge, wajumbe wa kutoka Zanzibar, jumuiya za kielimu, taasisi za tafiti za kisayansi, taasisi za umma, binafsi na dini.

Pia Profesa Mkenda amewataka Watanzania kuwasilisha rasimu za maandiko yao za riwaya na mashahiri katika kuwania tuzo za waandishi bunifu ambazo zinajulikana kama tuzo za Mwalimu Nyerere.
Mnatumia pesa za walipa Kodi kuwasomesha halafu wakimaliza masomo hamuwaajiri mnaanza kuwatolea lugha za kipuuz kwamba wajiajiri bila mitaji wawe wabeba zege na mamachinga mara wanakula ugali WA bure nyumbani kwao .

Hii nchi hii
 
Back
Top Bottom