Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

Nchi gani hapa duniani wana hiyo huduma ya unlimited internet bundle? Zitaje 3 nione
Umelala usingizi wa pono. Nilipo natumia 1000 mbps ninavyotaka. Hakuna cha kupimiana. Fiber ya kisasa kabisa.
 
Yaani hio elfu 55 kwangu haina maana maana nikijitaidi sana kufuja mb natumia za elfu 20 kwa mwezi mzima
 
Ningekuwa wakwanza kuisubilia...
 
Wamefelije mbona bei elekezi kabisa😅 unataka ushinde instagram kwa bei gani mzee?
Kwangu mi ni nafuu kuliko utapeli wa kuuziana MB gizani
Mimi huwa nacheza na MB 22 kwa 30,000TShs kwa mwezi mzima sijui nitakwenda vp TTCL kulipa 55,000 kwa kitu ambacho ni fixed ukutani.
 
10mbps kwa 55,000 mbona nitaachana na haya mapaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…