Tuache kumuita Rais Samia Suluhu Hassan 'Mama'

Tuache kumuita Rais Samia Suluhu Hassan 'Mama'

msimzeeshe ndio kwanza Raisi wetu kichinchiri ,anapendeza mwenyewe saa ingine anatisha hasa anapovaa zinazofanana na mavazi ya dracula au vampire red & black nikimuangalia saaaaana naona kama anatokeza yale meno mawili ya kutobolea ili apate damu.
 
Rais Mama Samia Suluhu Hassan,
Madam President,
Kama una nyongo itapike.
 
Tumempata Rais mpya, anaitwa Samia Suluhu Hassan. Sidhani kama ni sahihi kumtambulisha kama Mama Samia Suluhu Hassan maana hata Magufuli alikuwa ni Baba kwa maana ya mzazi lakini kamwe hatukuwahi kuwaita Baba Jakaya, Baba Mkapa nk...
Neno mama ni heshima kubwa sana!!

Ukiwa kwenye mtafaruku wowote ule unataja lina gani kwanza? Sioni ubaya wowote wa kumwita Mama!!
 
Mwinyi tu na miaka yake 95 anamuita mama tena mbele ya hadhara Mimi na miaka yangu 20s naachaje kumuita mama...
Acheni kucomplicate mambo....kiutamaduni kumuita Rais mama Samia it's honourable kuliko hata Rais Samia
Sawa kabisa ni heshima kumuita mama na inawafanya kina mama wote kuona wameheshimiwa.
Mleta uzi anasema kuitwa mama ni kutweza kweli kwaiyo kuita mzazi wako mama unamtweza.
 
Tumempata Rais mpya, anaitwa Samia Suluhu Hassan. Sidhani kama ni sahihi kumtambulisha kama Mama Samia Suluhu Hassan maana hata Magufuli alikuwa ni Baba kwa maana ya mzazi lakini kamwe hatukuwahi kuwaita Baba Jakaya, Baba Mkapa nk...
Mama ni special for her just as it was Mwalimu for Nyerere. Connotatively haya maneno yana uzito mkubwa. Ni heshima
 
Huyo atakuwa timu chato!! Tuachane naye sisi tuendelee kumwita "Madam Predidaaa..." hataki akafukue kaburi.
Hatuwezi kumuita rais wetu kwa lugha za mabeberu. Ni "MAMA"
 
Nyerere alikuwa ni Mwalimu kitaaluma si sifa.
Samia ni mama kijamii.

Maneno mama na mwalimu yanabeba maana ya ziada.
Wakatoliki wanamwita Maria mama.
Tukimwita Samia mama hatumshushi hadhi ni kama tumempa jukumu maalumu na ziada.
Tulimwita mwalimu kwa maana zaidi ya profesion yake. Tulimvika jukumu la ziada
 
"Ni lazima tuanze kumzoesha Rais kujua yeye ni Rais tukiendelea kumuita mama anajua sisi wote ni watoto wake kwa hiyo mtoto kwa mama huna sauti." - John Heche

Sauti imesikika vyema brother!!

Aitwe Rais, na sio Mama? au vyote?
 
Back
Top Bottom