Tuache kumuita Rais Samia Suluhu Hassan 'Mama'

Tuache kumuita Rais Samia Suluhu Hassan 'Mama'

Huna mume au mchumba?daily Mama Samia Mama Samia unafaidika na lipi?huna uwezo wa kushindana na Mkuu wa nchi endelea na vibarua vyako maisha yaende or if you don't have mchumba mtafute muendeleze maisha life is too short
Mchumba wangu mmeo
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Rais kaongea vizuri kabisa kwamba Nchi ijengwe kwa pamoja sasa swala la kushindana na Serikali linatoka wapi? Na lengo lake ni lipi?

Pili amewataka hao wanaojiita jukwaa la haki za binadamu kuacha dabo standards na wawe wanaweka wasi vyanzo vyao vya pesa na shughuli wanazofanya Ili serikali iweze kutambua mchango wao na kuwa account for..

Eti vyako unaficha na hutaki monitoring ila wewe unataka ufanye monitoring ya serikali 😄😄😄😄,hii haipo kawachana live bila chenga..

Huyu hapa Samia anaunguruma 👇

Screenshot_20220514-075012.png


Screenshot_20220514-075041.png
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Huyu Raisi ni kama alivyokuwa Kikwete, akibanwa na issues, Anakimbilia kujificha nyuma ya jinsia na uanamke wake,
Yaani ataki apingwe kwa sababu tu ni mwanamke!! So sad! badala ya kujibu hoja kuhusu wizi, ubadhirifu wa pesa ya umma, hazina, msd, tamisemi, yeye anauliza kwanini tunataka mapambano!!
 
Rais kaongea vizuri kabisa kwamba Nchi ijengwe kwa pamoja sasa swala la kushindana na Serikali linatoka wapi? Na lengo lake ni lipi?

Pili amewataka hao wanaojiita jukwaa la haki za binadamu kuacha dabo standards na wawe wanaweka wasi vyanzo vyao vya pesa na shughuli wanazofanya Ili serikali iweze kutambua mchango wao na kuwa account for..

Eti vyako unaficha na hutaki monitoring ila wewe unataka ufanye monitoring ya serikali 😄😄😄😄,hii haipo kawachana live bila chenga..

Huyu hapa Samia anaunguruma 👇

View attachment 2223972

View attachment 2223973
hapo kwenye vyanzo vyao vya pesa kama kwel yy ndio Kasema hvyo ametumia ujinga wenu kuwapoteza.
Kwa kanuni zilizopo za uendeshwaji wa wa hizo civil society ni lazima zifanyiwe financial audition, ambayo itaeleza vyanzo vyao vya mapato na matumiz yao. Na hio unaikuta tena kwenye sheria na kanuni za utakatishaji fedha ni lazma hizo NGOs zote zikaguliwe ili kuepuka utakatishaji fedha.

Usipende kubeba kila kitu wanasiasa wanacho sema, wao utumia ujinga wetu kama mtaji.

Yeye asimame kama kiongozi sio kutafta sympathy kwa kigezo cha umama. Nchi inaongozwa na rais sio mama wala baba. Na hizo NGO's zifanye kaz zao
 
Nadhani sasa mtaelewa kwanini ngoma ya watoto huwa haifiki asubuhi...

Mkuu wa nchi bado anajitafuta..
 
Nilishakataa kumwita mama, na ninaona wendawazimu wote wanaomwita mama kama title kiofisi…. mama ibakie kwa familia yake tu.
 
Nampenda Raisi wangu, moyo wangu una amani, ata akiitumbukiza nchi shimoni potelea mbali
 
I Ifike wakati viongozi wawajibike na kujiuzulu pale inapoomekana nafasi walizo nazo haziwatoshi.Nadhani ni muda muafaka Mama ajiuzuli
 
hapo kwenye vyanzo vyao vya pesa kama kwel yy ndio Kasema hvyo ametumia ujinga wenu kuwapoteza.
Kwa kanuni zilizopo za uendeshwaji wa wa hizo civil society ni lazima zifanyiwe financial audition, ambayo itaeleza vyanzo vyao vya mapato na matumiz yao. Na hio unaikuta tena kwenye sheria na kanuni za utakatishaji fedha ni lazma hizo NGOs zote zikaguliwe ili kuepuka utakatishaji fedha.

Usipende kubeba kila kitu wanasiasa wanacho sema, wao utumia ujinga wetu kama mtaji.

Yeye asimame kama kiongozi sio kutafta sympathy kwa kigezo cha umama. Nchi inaongozwa na rais sio mama wala baba. Na hizo NGO's zifanye kaz zao
Wewe ndio mjinga,hao NGS hawataki pesa zao ziwe audited naMamlaka na wanaficha vyanzo vyao kiasi kwamba imekuwa ngumu kwa mamlaka ku trace ,wataonyesha vyanzo A wanaficha vyanzo B,kana kwamba haitoshi wanakuwa wagumu kuleta mpango Kazi.
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Thats true.
Na hii italeta mtazamo mbaya kwa taifa kuwa na kiongozi mwanamke; anayetumia jinsi kama defence mechanism. Hii si sawa!
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Ni Kweli Rais Si mama Yangu, Pia CCM Si mama yangu. Bt ukisikiza Kwa umakini kauli za Aliekalia kiti Kwa sasa ana DHAMIRA kuhusu kuondoa misuguano kisiasa ndo maana amediriki kulitamka neno HAKI Zaid ya mara moja.


Ni Rahisi SANA kutamka neno AMANI kuliko kutamka neno HAKI. Awamu nyingi zilizopita viongozi hawakuweza kulitamka neno hilo.CCM pia hawamwelewi Kwa DHAMIRA hiyo anayoonesha. Penye UKWELI tuseme na kwenye UOVU tukemee. Amen.
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Kweli aache u mama wake kila mtu ana mama yake ye ni mama akina January sio akina flani huku mlo tu wa siku shida harafu anidanganye eti ni mama wapi afanye kazi kama rais tu
 
Hatutarudia tena huu ujinga wa kuongozwa na mwanamke, hii itoshe kuwa fundisho.
 
Ni Kweli Rais Si mama Yangu, Pia CCM Si mama yangu. Bt ukisikiza Kwa umakini kauli za Aliekalia kiti Kwa sasa ana DHAMIRA kuhusu kuondoa misuguano kisiasa ndo maana amediriki kulitamka neno HAKI Zaid ya mara moja.


Ni Rahisi SANA kutamka neno AMANI kuliko kutamka neno HAKI. Awamu nyingi zilizopita viongozi hawakuweza kulitamka neno hilo.CCM pia hawamwelewi Kwa DHAMIRA hiyo anayoonesha. Penye UKWELI tuseme na kwenye UOVU tukemee. Amen.
Kila mwananchi ana haki ya kuzungumza na kutoa maoni yake kwa uhuru.
Suala la kutokukubaliana au kukosoa, haimaanishi kupambana.

Na kwa kauli hiyo, basi hata na mawaziri wa kike, wabunge na watendaji wengine hawapaswi kukosolewa kwasababu ni akina mama!

Angezungumzia suala la huko kupambana, kwa kuhusisha viongozi wote kwa ujumla badala ya kuupa kipaumbele umama.
Binafsi sikubaliani na suala la jinsi ktk masuala ya uongozi na utendaji; isipokuwa tu kwa zile tofauti za kibailojia.
Binadamu wote ni sawa!
 
Kila mwananchi ana haki ya kuzungumza na kutoa maoni yake kwa uhuru.
Suala la kutokukubaliana au kukosoa, haimaanishi kupambana.

Na kwa kauli hiyo, basi hata na mawaziri wa kike, wabunge na watendaji wengine hawapaswi kukosolewa kwasababu ni akina mama!

Angezungumzia suala la huko kupambana, kwa kuhusisha viongozi wote kwa ujumla badala ya kuupa kipaumbele umama.
Binafsi sikubaliani na suala la jinsi ktk masuala ya uongozi na utendaji; isipokuwa tu kwa zile tofauti za kibailojia.
Binadamu wote ni sawa!
Ni muhimu pia kiongozi kuongea kimamlaka Kwa maana RAIS ktk level ya authority HANA JINSIA. Akumbushwe Hilo.
 
Samia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.

Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!

Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.

Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.
Unateseka Sana na Urais wa Samia!

Huyo humuwezi, endeleeni Tu na kampeni yenu ya kufanya kisukuma kuwa lugha ya Taifa maana ndo upeo wenu wa kipuuzi ulipoishia. Ukimaliza rudi kwenu Rwanda
 
Ni muhimu pia kiongozi kuongea kimamlaka Kwa maana RAIS ktk level ya authority HANA JINSIA. Akumbushwe Hilo.
Ni kweli.
Na kwa kauli yake hiyo, kusemaukweli inakuwa hana tofauti na hayati JP.
Kwasababu yeye anatumia nguvu ya maneno na jinsi yake kuzuia watu wasikosoe.

Wanasiasa wengi hawapendi kukosolewa. Wanapenda kusifiwa.
Kwenye hili la umama, hapana! Litasababisha taifa kukosa muelekeo.
Kigezo cha umama kisitumike kama kichaka. Hapana kwakweli! Sijapenda!
 
Back
Top Bottom