Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
Anazingua SanaHuyu Raisi ni dhsifu sana kama alivyokuwa Kikwete,akibanwa na issues,Anakimbilia kujificha nyuma ya jinsia na uanamke wake,
Yaani ataki apingwe kwa sababu tu ni mwanamke!! So sad!!!badala ya kujibu hoja kuhusu wizi,ubadhirifu wa pesa ya umma,hazina,msd,tamisemi,yeye anauliza kwanini tunataka mapambano!!