MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Nyerere sote tulimwita "mwalimu", sijui nae alituona sisi ni wanafunzi wake tena wale vilaza kabisa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo mnafata mambo ya mwambao? Hakika Taifa la Tanzania limevamiwa Mungu tusaidieJohn Heche ni mkurya mtu wa bara huko, asitupangie namna ya kukitumia Kiswahili kwa sababu yeye hajui kwa nini tunamuita Samia mama.
Samia ni mwanamke na kwa heshima hasa ya watu wa mwambao huita mama mwanamke yeyote hata akiwa mtoto mdogo kwa sababu ya jinsi yake...
Vyema aitwe Rais, hii "mama" wengine tunageuzwa watoto wa kambo.Mama ana huruma, Rais hana huruma. Tuchague vizuri kati ya hizo sifa mbili.
Kifungu kipi cha katiba kuhusu Rais na hurumaMama ana huruma, Rais hana huruma. Tuchague vizuri kati ya hizo sifa mbili.
New member tulia ujifunze, kumuita Samia mama sio tatizo nyie wakuja hamuwezi kuyajua haya.kwa hiyo mnafata mambo ya mwambao????hakika Taifa la Tanzania limevamiwa Mungu tusaidie
habari za mwambao pelekeni unguja na pemba huko msituletee Bara HATUZITAKINew member tulia ujifunze, kumuita Samia mama sio tatizo nyie wakuja hamuwezi kuyajua haya.
Nikumbushe ni nchi gani bara la africa iliwahi kumchagua mama kupitia box. Nimeuliza tu."Ni lazima tuanze kumzoesha Raisi kujua yeye ni Raisi tukiendelea kumuita mama anajua sisi wote ni watoto wake kwa hiyo mtoto kwa mama huna sauti." - John Heche
Sauti imesikika vyema brother!!
Aitwe Rais, na sio Mama? au vyote?
🤣🤣🤣🤣 mkuu usipanic nchi iko kwenye mikono salama ya mama Samia.habari za mwambao pelekeni unguja na pemba huko msituletee Bara HATUZITAKI
Mwambie aache u mama!Mbona kama unateseka sana
Daily Mama Samia Mama Samia unafaidika na lipi?huna uwezo wa kushindana na Mkuu wa nchi endelea na vibarua vyako maisha yaendeSamia ni Rais wa nchi ya Tanzania na lazima awajibike kulingana na nafasi yake ki katiba.
Suala la kuwatisha wakosoaji wake huku akiwatabiria laana ya kupambana na mwanamke si jambo la kuvumilika hata kidogo!
Urais haufungamani na u-mama wake ni kwa watoto wake pekee; ndiyo na hii ni kwa sababu si kila awaye hapa Tanzania ni mwanaye kama anavyotaka kutuaminisha.
Rais Samia asilete u-mama kwenye wajibu.