covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hivi,
1. Kama bandari inabinafsishwa gati na 5 hadi 8 na kuachwa gati namba 9 hadi 11 kwanini kelele ziwe nyingi kiasi kwamba ni bandari yote inauzwa?
2. Kama huyo anayekuja anakuja kuboresha miundominu na utoaji huduma sasa mbona wafanyabiashara ndio wanapiga kelele hawataki kabisa kwani si ndio hawa waligoma kabisa juzi kati sababu ya loopholes za tra kuanzia hapo bandarini na kwingineko?
Cha mwisho kila siku tunalalamika utendaji kazi wa watumishi wetu una loopholes za kutosha sasa iweje leo tubadilike na kuona kana kwamba watu wetu wanatosha kabisa ili hali tunaelewa kabisa uwezo wao autoshei kuhudumu hapo?
Mimi naona hapa kuna maslahi ya watu yanaguswa na wanatumia nguvu kubwa sana kupotosha umma kwa makusudi kuhusu uwekezaji huu na watz tusivyo na akili tunadaka kama yalivyo na kukimbiza kwenye mitandao bila ku reasoning.
1. Kama bandari inabinafsishwa gati na 5 hadi 8 na kuachwa gati namba 9 hadi 11 kwanini kelele ziwe nyingi kiasi kwamba ni bandari yote inauzwa?
2. Kama huyo anayekuja anakuja kuboresha miundominu na utoaji huduma sasa mbona wafanyabiashara ndio wanapiga kelele hawataki kabisa kwani si ndio hawa waligoma kabisa juzi kati sababu ya loopholes za tra kuanzia hapo bandarini na kwingineko?
Cha mwisho kila siku tunalalamika utendaji kazi wa watumishi wetu una loopholes za kutosha sasa iweje leo tubadilike na kuona kana kwamba watu wetu wanatosha kabisa ili hali tunaelewa kabisa uwezo wao autoshei kuhudumu hapo?
Mimi naona hapa kuna maslahi ya watu yanaguswa na wanatumia nguvu kubwa sana kupotosha umma kwa makusudi kuhusu uwekezaji huu na watz tusivyo na akili tunadaka kama yalivyo na kukimbiza kwenye mitandao bila ku reasoning.