SureUnasema hivyo kwa kuwa inadaiwa kuwa eti wewe ndiyo ulimchomea Erick Kabendera kwa Mwendazake. Naanaza kukubaliana na tuhuma hii
Hii ni kitu ya uzushi kwa 💯, kwa jinsi Dkt Magufuli alivyokuwa anamheshimu na kumpenda Dkt Kikwete asingeweza kupanga vitu vibaya juu yake. Sema tu mabeberu ndiyo wangeweza fanya hivyo ili kumchonganisha Dkt Kikwete na Dkt Magufuli na kupitia hilo unaweza kukuta wote hawajui hiyo mipango na ndiyo maana kabendera nadhani anaweza kuondolewa maana huo ni uchonganishi ambao unaweza kuleta mpasuko mkubwa ndani ya mfumo. Sijui ana ushahidi gani huyu kabenderaKuna mfanyabiashara maarufu alipitia mateso makali kwa kipindi cha miaka minne, ikiwemo kubinywa korodani, akilazimishwa aseme uongo kuwa alitoa dola milioni 100 kwa Rais Kikwete. Mwendazake alitaka kutumia ushahidi huo kumkamata Kikwete. Ni lazima atendewe haki.
Kwa mkongo auMagufuli kwa roho ya ushetani alikuwa analigawa taifa...
Nyerere, mkapa, mwinyi, jk kwa nin hawasemwi kama huyu magufuli?
JK hakujaribu kijisafisha Wala hatukumsafisha ila TIME (time travel)zimemsafisha, matendo yake yameambatana naye.
Magufuli akiwa madarakani alijisafisha...ila TIME zinamwanika na kumchafua.
Huyu magufuli alikuwa anatomba mpaka ndugu wa mkewe...uchafu sana
Haya maneno Ni kweli na wote tulijuwa ila Sasa ukiingia mtaani kbsa kwa wanyonge jamaa kaacha legaz kwa watu wengi mtaani magu anakubalika vibaya mno mno Ni mweruv tu ndio amkubali ila wengine uwaambia kitu haitakuja kutokea rais akapendwa Kama maguWatanzania walio wengi wenye akili waliujua ubaya wa Magufuli tangu akiwa hai, hawahitaji kuambiwa na mtu.
Wanancji wa Nyanda za Juu Kusini wanajua jinsi mbao zao na mahindi yalivyokosa soko mpaka kufikia gunia la mahindi la kilo 100 kuuzwa kwa sh 20,000 utokana na Magufuli kuharibu mahusiano mazuri ya kibiashara yaliyokuwepo kati ya Kenya na Tanzania.
Kanda ya Kaskazini wanaujua ubaya wa Magufuli kwa jinsi walivyoshuhudia namna biashara ya utalii ilivyokuwa imeanguka na TRA walivyoweza kuwababikizia kesi wafanyabiashara na kufunga biashara zao.
Kanda ya Kusini wanaujua sana ubaya wa Magufuli jinsi alivyoua biashara ya korosho.
Tanzania nzima wafanyabiashara na wawekezaji kwenye sekta ya mahoteli wanajua Magufuli alivyoua biashara zao.
Wanasiasa wanajua jinsi ambavyo Magufuli alivyowanyima uhuru, na kuua kabisa demokrasia.
Watanzania wote wenye akili timamu na waeio wanafiki wanajua namna marehemu alivyoporomosha ukuaji wa uwekezaji toka 28% mpaka 4%; ukuaji wa sekta ya utalii alivyouporomosha toka 15% mpaka 3.6%. Wanajua namna alivyoua utawala wa sheria, wanajua alivyoua demokrasia.
WanaCCM wanajua namna Magufuli alivyoua demokrasia ndani ya chama kwa kupachika majina ya wagombea aliowataka bila ya kujali wala kuongozwa na kura za maoni.
Watanzania wanamfahamu Magufuli namna alivyokuwa dikteta, alivyokuwa mpenda sifa, na asiyekubali kukosolewa kwa lolote.
Unataka kusema katika historia ya watu waovu hapa duniani Magufuli anavunja record kwa mambo yake gani ndio hufanya Shetani kuogopa ukilinganisha na waovu wengine?Mwendazake hata Shetani bado amemuweka pending kule jehanam. Kila akiangalia CV yake anamuogopa kuwa anaweza kumgeuzia kibao hata yeye mwenyewe.
Shetani anaogopa kuuliwa na Magufuli
We Marytina , heshima ni kitu cha bure!, Kafrika marehemu hasemwi vibaya!. Naomba tuheshimu the right to privacy za watu!. Hao ndugu wa mkewe kwani aliwabaka au walikuwa ni minors?. Tuheshimu privacy za watu na haswa za marehemu ndio zaidi!.Huyu magufuli alikuwa ana ... mpaka ndugu wa mkewe...uchafu sana
Kwa mtazamo wangu binafsi nadhani Kikwete alipendwa na alikuwa na mvuto ila uongozi wake ndio ulikuwa shida, ila Magufuli watu walikubali uongozi wake kwa maana waliona alikuwa mtu sahihi kutokana na hali aliyoiacha Kikwete na ndio maana sasa hivi Samia anakosa kukubalika kwa sababu watu huona anaturudisha tulipotoka alipoishia Kikwete.Haya maneno Ni kweli na wote tulijuwa ila Sasa ukiingia mtaani kbsa kwa wanyonge jamaa kaacha legaz kwa watu wengi mtaani magu anakubalika vibaya mno mno Ni mweruv tu ndio amkubali ila wengine uwaambia kitu haitakuja kutokea rais akapendwa Kama magu
Nani anaweza kumnyima Rais aliyeko madarakani kufanya kitu? Tuna akili kweli sisi?Yeye na Mkapa walimyima asibadilishe katiba. Mkapa akaenda zake akabaki na JK sasa!
Hizi tuhuma kuwa wewe ndie uliemchoma Kabendera, zina ukweli wowote bwana mkubwa?Nawahurumia sana wamsingiziao mtu wa Mungu aliyeletwa na Mungu kuitawala Tanzania kwa kusudi maalum, lilipokamilisha, Mungu akamuita kwake ili kumpangia majukumu mengine, na hivi tunavyozunguza ni siku nyingi yuko kwa Baba Yake!!. Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani
P
Kwa hiyo tumsifie tuongee yale mazuri tu, yale mabaya ambayo ni funzo kwa umma tuyafiche.We Marytina , heshima ni kitu cha bure!, Kafrika marehemu hasemwi vibaya!. Naomba tuheshimu the right to privacy za watu!. Hao ndugu wa mkewe kwani aliwabaka au walikuwa ni minors?. Tuheshimu privacy za watu na haswa za marehemu ndio zaidi!.
P
Ilikuwaje sasa huyo mfanyabiashara aligoma pamoja na kubanwa hizo sehemu?Yani ilifika hatua busnessman anakamatwa anabinywa gololi ili kum’bambikia rais mstaafu kesi ya uhujumu uchumi.
Hili swali muulize huyo kwenye avatar yako maana alikua anatazama tukio live kwenye CameraIlikuwaje sasa huyo mfanyabiashara aligoma pamoja na kubanwa hizo sehemu?
Nimeuliza kawaida tu mkuu ila kama hukupenda kuulizwa hili swali au mie kuweka hiyo picha ya Magufuli basi sawa, amani tu mkuu.Hili swali muulize huyo kwenye avatar yako maana alikua anatazama tukio live kwenye Camera
Hivi huyo mfanyabiashara aliweza kuvumilia maumivu ya kubinywa korodani na kugoma kufanya alichotakiwa kufanya?Katiba iko wazi kuhusu haki za Raisi mstaafu mojawapo ni kutokamatwa wala kushtakiwa
Kikwete ajibu nini wakati katiba iko wazi inamlinda.Kabendera na uzushi wake aende akasome katiba.Siyo kazi ya Kikwete kujibu .Katiba ndio ina majibu
Iamini katiba sio huyo Kabendera
SijuiHivi huyo mfanyabiashara aliweza kuvumilia maumivu ya kubinywa korodani na kugoma kufanya alichotakiwa kufanya?
Ila nimejibu kawaida tu kama ulivyouliza mkuu.Nimeuliza kawaida tu mkuu ila kama hukupenda kuulizwa hili swali au mie kuweka hiyo picha ya Magufuli basi sawa, amani tu mkuu.
Kumpenda mtu mno au kumchukia mtu mno wakati mwengine huleta shida kama hizo, hakuliwaza hilo la kwamba Rais mstaafu hashtakiwi.Sijui
Lakini Raisi mstaafu analindwa na katiba hata angesema ndio bado hakuna mamlaka ingemkamata Kikwete.Someni katiba ku judge alichoandika kabendera.Hata wangeibuka wafanyabiashara maelfu wakasema tulimhonga pesa Kikwete wakatoa na ushahidi wa wazi hakuna mamlaka ingemkamata Kikwete
Kabendera kaandika ujinga tu