Tukio gani la kuchepuka lilikufanya upoteze imani kwenye taasisi ya ndoa?

JF ya sasa ni hovyo sana kwa sababu imevamiwa na watu wanaokuja na story za kutunga hasa kwa vitu mabavyo wanajua vina wachangiaji. Halafu watu wa aiana hii wakishatunga thread nzima unakuta wanajaribu ku-jibizana kwa kila post. Hli aliloandika kama unatumia akili utaona kabisa kuwa ni tukio la kutunga. Sijui huwa wanapata faida gani kutunga mambo na ku post kila siku. Kweli kila mtu na kipaji chake.
 
Ikawaje Sasa mkuu?
Aaah tulivyo maliza chuo akawa yupo kwao Tabata, mm nipo sinza nikaja kuhangaika kutafuta mishe nikawa busy,

Akaja kusafiri karudi mwaka jana, still tunaongea na kukumbuka a good memories we shared,

Hata Jana nime m dedicate a good memo and she accepted it, and next days to come we will share another memory and having a good enjoyment!

Ila binti yule ni binadamu ana mapungufu yake lakini kalelewa vyema anajua kuongea na mwanaume, hafoki, anaringa juu ya haiba ya kike na shepu aliyonayo hasa anavyo cat walk, lkn Hana makuu !
 
Na wewe uliamini? Umeshasikia ule usemi maarufu hotelini wa ''bwege kaja pakua wali wa jana'' ambapo mshamba akiingilia hotelini anauziwa wali wa jana? Basi chunga sana mwanamke akitaka kula fedha zako. Atakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa ili ujione ni wewe tu mwenye uwezo wa kumfurahisha. Wewe utaambiwa hivyo kumbe akienda kwa mwingine anakuponda hivyo hivyo. Mwanamke anajua ili kumteka mwanaume vizuri ni kujifanya ana enjoy sana ku sex naye.
 
Sawa japo sikumpa kitu...tulikutana kwenye mambo ya safari, mambo yakaisha hivyo.
 
Nipo nae hapa tunasoma comment yako tunacheka sana
 
Wewe oa tu hujakatazwa, tutakusaidia majukumu ya kiroho ukiishiwa nguvu za kiume.
 
Naomba unitajie ni dhambi ipi niliyotenda ama kufanya? Unadanganya kwa kusema Mungu katuambia tusidhini, ni lini Mungu alisema hivyo? Usipende kuamini vitabu vya dini vile si vitabu vya Mungu, vimetungwa na binadamu kama vile wewe na mimi, usipotoke. Hizi dini ufanya watu kuwa wajinga tu, never believe in them. Mfano angalia uliyoandika hapo juu as dhambi, hivi unajuwa mitume wote walikuwa wauaji na wazinzi? Kwanini walikuwa hivyo wakati Mungu aliwakataza?
 
Dogo janja jaman ana dyudyu imeshiba tamu balaa, sitaki maswali mengi nalala asbh kazn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…