Bora iwe muda tu, unaweza poteza pesa na zengwe likakuanguakia kua wewe ndo umeiba mtihani hasaAcha tu ndugu, me mwwnyewe nmeamua kuacha tu. Ila hawa askari wetu me hua nawaona kama majambazi tu ambao wapo authorized ndo maana Mimi asa ivi hata nivamiwe na majambazi siendi police kulipoti ni kupoteza muda tu
Hapo ndio upeo wako umefikia mwisho hauwezi elewa zaidi ya hapoStori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.
Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?
Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?
Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Kada hamzaSema gaidi Hamza siyo bwana hamza tafadhali
Kwan amekufaHamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.
Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.
Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.
Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.
Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.
Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.
R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632
View attachment 1908644
Kwamba umejivamia na kujiibia mwwnyewe[emoji23][emoji23][emoji23]Bora iwe muda tu, unaweza poteza pesa na zengwe likakuanguakia kua wewe ndo umeiba mtihani hasa
Ndo utajua hujui yakikufikaKwamba umejivamia na kujiibia mwwnyewe[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] kazi sanaNdo utajua hujui yakikufika
Yeah I know the guy though c kiundan saana,tumepiga nae hizi mbanga za dhahabu pande za makongorosi Chunya,
Amekufa.Walimpiga risasi nyingi sana.Kwan amekufa
Na raia hapaswi kuwa msafi?Polisi ni mtu anaepaswa kuwa msafi asiye na doa. Ni ngumu sana polisi mwenye mawaa kutenda haki kwa raia.
Kwani mtu kuwa na mafunzo na utaalam mkubwa wa kutumia slaha ni kosa au ni maajabu?Bastola moja unaua askari wawili halafu unakuwa na ujasiri wa kwenda kuchukua bunduki zao.
Huyu mtu atakuwa na utaalamu mkubwa kwa kutumia silaha na mafunzo ya kiaskari - alijua hata wapi ajibanze kukwepa mashambulizi! (Hijaalishi sababu za kufanya hivyo)
Hicho kisasi unamlipiza nani hata asiyehusika au mhusika mwenyeweAny way Allah amsamehe ndugu yetu....katka mafundisho ya dini ya kiislamu tunafundushwa ya kwamba...
''...yeyote muislamu atakae kufa akipigania Mali yake/haki basi amekufa shahidi..."
Na katika kulipiza kisasi ni kitu ambacho kinaruhusiwa Ila kusamehe ni bora zaidi...
Ndugu Hamza alikuwa anajaribu kutetea Mali/haki yake na bila shaka alikuwa tayari kufa uku akihakikusha kuna watu anaondoka nao hasa hao polisi...
Wengi huwaita waislamu ni magaidi Ila ukweli ni kwamba waislamu hawapendi dhulma wapo tayari wafe wakitetea haki/Mali yao.....na ni watu wa visasi ni kama wa wakurya (vita ni vita mura) omba sana usiingie Kwenye anga zao.
Polisi uku mtaani wapigaji wa Dili vibaya...
Tukio hili linafanana na tukio la kamanda Zombe kama mtakumbuka.Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.
Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.
Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.
Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.
Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.
Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.
R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632
View attachment 1908644