Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Tukio la Bwana Hamza kuwapiga polisi risasi ni matokeo ya mfumo wa utoaji haki kuoza

Acha tu ndugu, me mwwnyewe nmeamua kuacha tu. Ila hawa askari wetu me hua nawaona kama majambazi tu ambao wapo authorized ndo maana Mimi asa ivi hata nivamiwe na majambazi siendi police kulipoti ni kupoteza muda tu
Bora iwe muda tu, unaweza poteza pesa na zengwe likakuanguakia kua wewe ndo umeiba mtihani hasa
 
Stori kwamba huyu jamaa alidhulumiwa ni stupid kabisa.

Kama alizulumiwa, kaua polisi 2 pale mataa, si angerudi tu nyuma kidogo kuna kituo cha polisi Salenda angeenda kuwakuta wengi tu, alikua anafuata nini ubalozi wa ufaransa?

Kama alikua anataka polisi walikuwepo pale stanbic bank, nyuma kidogo ubalozi wa urusi wamejaa, nyuma yake kisogo salenda polisi post, ubalozini alikua anafuata nini?

Ni watu kutaka ku twist hii habari ila ukweli ni kwamba huyu jamaa ni gaidi, ni mfia dini na sasa hivi yuko na mabikra 72 wanamzunguma wanamshika shida anawapiga mashine non stop kama dini inavyosema.
Hapo ndio upeo wako umefikia mwisho hauwezi elewa zaidi ya hapo
 
Njaa za Polisi was kibongo mishahara midogo alafu na wao wanatamani kua na pisi kali kama sisi au kutembelea matako ndio zinasababaisha wawabambikie au kuwadhulumu watu haki zao
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
Kwan amekufa
 
Bastola moja unaua askari wawili halafu unakuwa na ujasiri wa kwenda kuchukua bunduki zao.
Huyu mtu atakuwa na utaalamu mkubwa kwa kutumia silaha na mafunzo ya kiaskari - alijua hata wapi ajibanze kukwepa mashambulizi! (Hijaalishi sababu za kufanya hivyo)
 
Bastola moja unaua askari wawili halafu unakuwa na ujasiri wa kwenda kuchukua bunduki zao.
Huyu mtu atakuwa na utaalamu mkubwa kwa kutumia silaha na mafunzo ya kiaskari - alijua hata wapi ajibanze kukwepa mashambulizi! (Hijaalishi sababu za kufanya hivyo)
Kwani mtu kuwa na mafunzo na utaalam mkubwa wa kutumia slaha ni kosa au ni maajabu?
 
Ndugu zangu Mataga mmetukana Sana Humu Lkn ukweli Mchungu Hayati ameacha mfumo was uonevu alioumwagilia maji Usiku na mchana ,,Sasa mfumo was haki umeota Mbawa.
Tuendelee kusali tu.
 
Any way Allah amsamehe ndugu yetu....katka mafundisho ya dini ya kiislamu tunafundushwa ya kwamba...

''...yeyote muislamu atakae kufa akipigania Mali yake/haki basi amekufa shahidi..."

Na katika kulipiza kisasi ni kitu ambacho kinaruhusiwa Ila kusamehe ni bora zaidi...

Ndugu Hamza alikuwa anajaribu kutetea Mali/haki yake na bila shaka alikuwa tayari kufa uku akihakikusha kuna watu anaondoka nao hasa hao polisi...

Wengi huwaita waislamu ni magaidi Ila ukweli ni kwamba waislamu hawapendi dhulma wapo tayari wafe wakitetea haki/Mali yao.....na ni watu wa visasi ni kama wa wakurya (vita ni vita mura) omba sana usiingie Kwenye anga zao.

Polisi uku mtaani wapigaji wa Dili vibaya...
Hicho kisasi unamlipiza nani hata asiyehusika au mhusika mwenyewe

kwa mfano mtoto wa imamu kakudhulumu unaenda kuua imamu baba yake ? au mama yake?
 
Hamza Hassan Mohammed ni mwanachama wa CCM kutoka Upanga Magharibi na ni mjumbe wa mkutano mkuu wa CCM wilaya ya Ilala, ambaye ameshiriki hadi kampeni za kumuombea kura JPM mikoa kadhaa mwaka 2020.

Tetesi zilizopo ni kwamba Bwana Hamza amelipiza kisasi baada ya kudhulumiwa madini yake na Polisi kwani ni mfanyabiashara wa madini.

Tukio la leo linahitaji tume huru ya uchunguzi.Jeshi la polisi linalijua tukio hili nje ndani na halitaweza kujichunguza.

Inasemekana kuwa taarifa zilizotolewa na family member ni kuwa tukio limesababishwa na kisasi. Dhuluma ndiyo sababu ya kisasi.

Bwana Hamza amechukua sheria mikononi kwa kuwa misingi ya haki katika nchi kwa sasa imefikia kileleni katika kuoza.Polisi wako busy katika kudhulumu watu,kupora mali za uma na kuitumikia CCM badala ya kuwatumikia wananchi.

Nategemea kuona matukio mengi ya watu kuchukua Sheria mikononi yakiongezeka kwa kuwa mamlaka za haki zimegeuka kuwa mamlaka za kukandamiza haki.

R.I.P HAMZA. Dhahabu zako wamechukua na Uhai wako Pia.
View attachment 1908628View attachment 1908629View attachment 1908630View attachment 1908631View attachment 1908632

View attachment 1908644
Tukio hili linafanana na tukio la kamanda Zombe kama mtakumbuka.
 
Nimeangalia, nimefuatilia sana tukio. Nimesoma mawazo ya watu nikagundua watu wengi wanaumia na wanalaumu Hamza kuuawa. Hamza had a CONCERN alitakiwa akamatwe akiwa hai. DHULUMA, UONEVU ni mkubwa sana unaofanywa na wanausalama Tanzania. Wana waonea na kuwadhulumu watu sana.

Nimeumia Hamza kupigwa risasi na kufa. Pole kwa familia za askari lakini vipi kuhusu familia ya Hamza?

Note

Hamza amedhulumiwa mali na nafsi yake.Mungu amsaidie.
 
Back
Top Bottom