MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,455
- 1,473
Mbona Hakuna Uhusianokwakweli mchunguze sana huyo mwanamke, lazma analiwa ndogo, kama hakuwai kukupa jicho, wee jua tuu huko nje kuna mtu anamkula jicho.
Duniani hakuna mwanamke mwenye tattoo asie toa jicho.
Tattoo na kikuku kwa mwanamke vinamaanisha, analiwa kotekote. Afadhali kikuku kidogo, ila kwa Tattoo 100% analiwa ndogo na kama bado asilimia 100% lazma ataliwa jicho tuu.
siku ukirushiwa video zake akiliwa tigo live na siku umfume live akitatuliwa rinda au siku akupitishe kwa mpalange live ndo utajua uhusiano wake.Mbona Hakuna Uhusiano
siku ukirushiwa video zake akiliwa tigo live na siku umfume live akitatuliwa rinda au siku akupitishe kwa mpalange live ndo utajua uhusiano wake.
wanawake wachora tattoo kwa mambo hayo ni moto wa kuotea mbali, ni kina mama mpalange.
ukiona mwanamke kachora tattoo, ni mama mpalange huyo, usiulize mara mbili.
Usoni!!??!!!!!Kwa kweli ni upumbavu wa kiwango cha lami. Juzi nimeona li kijana limejichora kwenye paji la uso eti sura ya Saa-Mia (angalia kwenye kiambatanisho hapo) si ujuha huo? Mavi-jana mengi ya TZ ni majuha, yanaiga mambo ya kizungu!
View attachment 2082186
Mmmmh kumbe? AiseeeKufuta tattoo ni gharama kuliko kuichora na sio salama sana maana unajiweka kwenye hatari ya kipata madhara pia
Huzeeki tu bado kisu kina makali kiasi hicho?Angepoteza muda tu. Nilikuwa nna mpango wa kumdonoa mara moja afu nisepe
Eti! Yaani aibu sana aisee!Usoni!!??!!!!!
[emoji134][emoji1751]
Hahahaha Malaika wako alikuepushaSiku niliyotaka kujichora Tattoo,
Nilienda mpaka kwa mchoraji, alikuwa na mtu anamchora, ilibidi nisubiri amalizwe ili zamu yangu ifike. Na ilipofika zamu yangu nikiwa tayari kuanza kuchorwa umeme ulikatika, Nilisubiri sana na haukurudi na ndio ilikuwa mwisho wa maamuzi yangu ya kujichora tattoo.
AtiUsifananishe hennaa na vitu vya kijinga pls
hivi wale wamakonde jamii ya msumbiji na kwetu hapawanaweka nini ili michoro yao idumu?ile "permanency" ndio tatizo kwenye Tattoo vinginevyo haina tofauti na hina, Vile vile kuchora Kitu cha kipumbavu (Mfano 26 number, 2pac nk ) inafanya Tattoo kuonekana tatizo zaidi
Duuh wakati mimi naona tattoo bora awe nazo mwanaume kuliko mwanamke akiwa nazo mwanamke huwa namuona malaya tu no matter how sexy she looks! Halafu wewe si ndiyo umetoka kuongelea habari za unyago kwenye ule uzi kwahiyo kuchora tattoo nayo inafundishwa kwenye unyago na inafaa siyo?Napenda kuwa clean mi hata makovu tu siyapendi
Mambo ya kuweka mamichoro mwili utadhani wewe ni gazeti siyataki
But i like women with tattoos ,they look sexy[emoji2][emoji3577]
Men with tattoos huwa nawaona majambazi ,manunda tu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leviticus 19:28Tattoo zimeharamishwa kwenye Biblia, nilishangaa sana yule mchungaji wa Kenya, mwanamke alipojichora tattoo.
Mambo ya Walawi 19:28Nenda na vifungu vya biblia mkuu, kifungu gani kilichoharamisha tatoo na jee aina hiyo ya urembo ilikuwepo enzi na enzi na ilijulikana kwa jina hilo?
Siungi mkono hayo makitu, isipokuwa tuunge mkono hoja kwa vifungu.
Nimefuatilia kuanzia mtoa mada anavyolaani, lakini sijaona mtu akasema kiufasaha madhara yatokanayo na hiyo michoro ya ngozi.