Ndo useme kosa Lake sasaaa..tuendelee kunenepa hapaKuna mwanamke nilimpoteza kwa hasira zangu tu japokuwa alinikosea Ila nilipaswa kumsamehe Ila nikaamua kumuacha. Nikapata mwingine kama mke Ila hadi leo namkumbuka wa mwanzo na najuta kwa nini sikumsahehe.
Tulipendana sana, alikuwa ni true definition ya mke. Ni mzuri, hana maringo, hana tamaa, anajua maisha nini, anaishi maisha yote, hata kulala njaa anaweza, ana heshima.
Namba yake nilifuta, sijui Kama ya kwangu bado anayo maana baada ya kumuacha alinitafuta karibu mwaka mzima akiniomba msamaha Ila nilikuwa namchunia, naona alichoka akaamua kuendelea maisha yake.
Popote ulipo, ninakuombea mema. Nina imani Mungu atanikutanisha tena na wewe. Nimeshindwa kukusahau, kila mara nimekua nikikuota, kila mara nimekuwa nikikuwaza.
Kuna kitu kilikupiga marufuku kumtafuta na kumuangukia ili mrudiane?Yule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Huyu Yolanda ndo huyu ameenda kusoma Chuo Cha misitu olmotonyi!?....mrefu Ana meno flan HV!!?...Ni bonge la demu Sana.. pole chiefYule mwanamke basi tu nahisi kaniachia laana
Yolanda wangu toto la kichaga mpole hunaga makuu sina kitu unanipa unaninunulia nguo siku ya kuzaliwa Kwangu unanifanyia sherehe kwetu wote walikuwa wanakupenda
Dahh kiherehere changu cha kukuacha najutia niliangukia kwa toto la singida na urefu wake kama mnara wa voda mapenzi hakajui dahh yolanda nitakukumbuka[emoji7][emoji7]
Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
AiseeMimi sina la kujutia kabisa ila mkosi wangu ni kupendwa na matom boy, sijui nina nini mimi! Wanawake wenye muonekano wa kike ninawapata sana ila huwa hawashoboki nami ila sasa matom boy ndio balaa.
1. Wakati niko jkt miaka ya nyuma nilipendwa na tom boy mpaka ananililia nikasema balaa gani hili.
2. Miaka ya kati hapo nilikuwa natoa semina kwenye group la whatsapp, nusu saa mbele naona meseji imeingia, nani kumbe kuna mshiriki wa semina kanielewa na sound juu akanipiga.
3. Wakati niko bongo miaka kadhaa nyuma pale Mbezi Louis stand Dsm nilipanda daladala kuelekea Segerea, konda alikuwa mwanamke tomboy flani hivi, akaanza mazoea na mimi nikawa nampigisha story fresh si unajua watu wa Moro sie hatuna baya. Wakati wa kulipa nauli nampa pesa kakataa nikaona afadhali,Nafika Segerea nashuka nashangaa binti ananiomba namba,nikampa. Usiku ananipigia anataka nikaonane nae, ninamwabia njoo wewe tukutane, kaja anajiumauma anataka niwe bwana ake.
4. Hii sasa ndio balaa
Baada ya miaka kadhaa ya kuishi abroad, kila nikipata likizo narudi Moro nyumbani, nikachagua kuwa niwe nasaidia timu ya mpira wa miguu ya wasichana mtaani, nawanunulia vifaa vya michezo nawapelekeaga. Sasa katika hao wasichana kuna binti mdogo tu age 17 au 18 ana muonekano wa utom boy flani si unajua tena wasichana wanaocheza football. Kila nikienda mazoezini kananiangalia then nikimuangalia anachekacheka kama anataka mazoea hivi. Najua nikimzoea nini kitatokea maana nina experience nao.
Muonekano wangu ni kijana wa kawaida tu navaa kiheshima sina mambo mengi ila tatizo ni kupendwa na matomboy sijui tatizo nini.
Umeongea kwa hisia sana bro, mwanamke mzuri ana thamani yake kwenye maisha.mimi sijui nijutie ama vip
alikuwa ni msikivu na alinipa papuchi hata seblen tofaut na hili,kwnza hil la sasa ukiliomba mzigo mnagombana!
yule tulifurahia uumbaj mpaka basi,mbaya zaidi nilimtundika mimba mbili na zote kwa ujinga wangu nilimwambia poromosha(ee Mungu nisamehe) na alikubali.tatizo kubwa ye alikuwa single mother na mim nilshajiapiza kutokumuo mtu mwenye mtoto,hivyo tuliachana kwa kukbaliana kabisa japo yeye n ile kinyonge!
Hatuzungumzii malaya hapaUkiwa na hela utapata tu wife material maana hao viumbe kama hauna maisha huwa hawawezi kukuvumilia so mchongo ni kusaka dough
Hii ni bonge la changamotoDah Acha tu Kaka unapata bonge la demu ana upendo wa dhati kabisa na umemkuta bado anakupenda anakujali anakufanyia mengi mazuri lakini mnajikuta dini tofauti yani dah unakosa ata la kufanya
Mbuyi jikague Mana hao wanapenda wahuni na watu flani Makauzu.Mimi sina la kujutia kabisa ila mkosi wangu ni kupendwa na matom boy, sijui nina nini mimi! Wanawake wenye muonekano wa kike ninawapata sana ila huwa hawashoboki nami ila sasa matom boy ndio balaa.
1. Wakati niko jkt miaka ya nyuma nilipendwa na tom boy mpaka ananililia nikasema balaa gani hili.
2. Miaka ya kati hapo nilikuwa natoa semina kwenye group la whatsapp, nusu saa mbele naona meseji imeingia, nani kumbe kuna mshiriki wa semina kanielewa na sound juu akanipiga.
3. Wakati niko bongo miaka kadhaa nyuma pale Mbezi Louis stand Dsm nilipanda daladala kuelekea Segerea, konda alikuwa mwanamke tomboy flani hivi, akaanza mazoea na mimi nikawa nampigisha story fresh si unajua watu wa Moro sie hatuna baya. Wakati wa kulipa nauli nampa pesa kakataa nikaona afadhali,Nafika Segerea nashuka nashangaa binti ananiomba namba,nikampa. Usiku ananipigia anataka nikaonane nae, ninamwabia njoo wewe tukutane, kaja anajiumauma anataka niwe bwana ake.
4. Hii sasa ndio balaa
Baada ya miaka kadhaa ya kuishi abroad, kila nikipata likizo narudi Moro nyumbani, nikachagua kuwa niwe nasaidia timu ya mpira wa miguu ya wasichana mtaani, nawanunulia vifaa vya michezo nawapelekeaga. Sasa katika hao wasichana kuna binti mdogo tu age 17 au 18 ana muonekano wa utom boy flani si unajua tena wasichana wanaocheza football. Kila nikienda mazoezini kananiangalia then nikimuangalia anachekacheka kama anataka mazoea hivi. Najua nikimzoea nini kitatokea maana nina experience nao.
Muonekano wangu ni kijana wa kawaida tu navaa kiheshima sina mambo mengi ila tatizo ni kupendwa na matomboy sijui tatizo nini.
Mimi huwa siwaamini wanawake ngozi nyeupe.Wazungu wanasema " you will never miss your water untill your well gets/become dry, yaani umuhimu wa maji huja baada ya kisima kukauka.
Nakumbuka nikiwa mwaka wa wakwanza wa masomo yangu katika moja ya chuo kikuu hapa nchini niliwahi bahatika kupata " a well raised woman '' unfortunately, sikutambua thamani yake mpaka nilipopata vibaka wakunipuna na kunivunja moyo wangu.
Siwezi kusahau, upole, utu, upendo, heshima na tabia ya kujali kwa yule dada. Vijana wenzengu wife material huja mara moja kumpata tena nimajaliwa.
Kama uliwahi pata wife material kisha ukaleta usela leo unalia kwa uchungu kupoteza bahati dondosha coment yako hapo chini.
Jitafakari kwanza,Kwa Msaada zaid jaribu kuwaeleza watu unao waamini kuwa unaonekanaje kimwonekano na kitabia,Mimi sina la kujutia kabisa ila mkosi wangu ni kupendwa na matom boy, sijui nina nini mimi! Wanawake wenye muonekano wa kike ninawapata sana ila huwa hawashoboki nami ila sasa matom boy ndio balaa.
1. Wakati niko jkt miaka ya nyuma nilipendwa na tom boy mpaka ananililia nikasema balaa gani hili.
2. Miaka ya kati hapo nilikuwa natoa semina kwenye group la whatsapp, nusu saa mbele naona meseji imeingia, nani kumbe kuna mshiriki wa semina kanielewa na sound juu akanipiga.
3. Wakati niko bongo miaka kadhaa nyuma pale Mbezi Louis stand Dsm nilipanda daladala kuelekea Segerea, konda alikuwa mwanamke tomboy flani hivi, akaanza mazoea na mimi nikawa nampigisha story fresh si unajua watu wa Moro sie hatuna baya. Wakati wa kulipa nauli nampa pesa kakataa nikaona afadhali,Nafika Segerea nashuka nashangaa binti ananiomba namba,nikampa. Usiku ananipigia anataka nikaonane nae, ninamwabia njoo wewe tukutane, kaja anajiumauma anataka niwe bwana ake.
4. Hii sasa ndio balaa
Baada ya miaka kadhaa ya kuishi abroad, kila nikipata likizo narudi Moro nyumbani, nikachagua kuwa niwe nasaidia timu ya mpira wa miguu ya wasichana mtaani, nawanunulia vifaa vya michezo nawapelekeaga. Sasa katika hao wasichana kuna binti mdogo tu age 17 au 18 ana muonekano wa utom boy flani si unajua tena wasichana wanaocheza football. Kila nikienda mazoezini kananiangalia then nikimuangalia anachekacheka kama anataka mazoea hivi. Najua nikimzoea nini kitatokea maana nina experience nao.
Muonekano wangu ni kijana wa kawaida tu navaa kiheshima sina mambo mengi ila tatizo ni kupendwa na matomboy sijui tatizo nini.