Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

Nilikuwa kwenye kampuni flani na wajinga flani mngoni na mfipa,wakapiga zenge kwa boss ili niondoke kibaruani.nikasema hawa hawanijui vizuri itakuwa.mbona tumepigwa wote termination letter,na hawakuwa wamejipanga na mtaa,wanaishi maisha ya hovyo kwelikweli.
Brother umeni furahisha sana.
Ukawapiga ndoige!!
 
Nakumbuka 2021

Nimeanza kazi boss ananipenda sana basi kila idea za michongo naropoka tu aamue yeye kuzifanya au kuacha, nikiona wazo zuri la kuboresha clinic yake namfungukia tu bila wasi wasi .....

Miezi michache baadae wateja/wagonjwa wakawa wananikubali basi jina lina kuwa kwa kasi ya ajabu kupita wale nilio wakuta hapo nna miezi mitatu boss ananiita pembeni na kunifanya kuwa mkuu wa idara

Mimi natumia nafasi hiyo hiyo kubanana tuongezeane mshahara nae bila hiyana anafanya ivo .... shida inakuja baadae nilianza kuuza vifaa tiba nikiwa eneo la kazi then ikaleta conflict of interest... ikumbukwe kuwa mwanzoni nilileta wazo kwa boss ila hakulifanyia kazi.....

Wiki mbili mbele nkachukua faida kidogo na kilie kiji akiba kwenye mshahara nikachanga ninunue ka vitz bhana wee..... songo mbingo likaanza

Kazini nashinda asubuhi mpaka jioni nnahitaji leseni kwaajili ya baby walker nikatenga muda ijumaa baada ya kazi nikimbie TRA mara moja Kisha nirudi, loooh!
Mke wa boss (mpare) ananambia umetoka kazini hapa sio getto kwamba ujiingilie na kutoka.... kwa heshima na kuepusha migogoro nilirudi mchana ule nikabadilisha uniform na kutoka kazini ili nirudi kesho hali ikiwa imetulia.

Kumekucha nirudi kazini nakutana na work mate mwenyeji wangu (mfipa) ananambia hapa boss kasema ukija usiguse chochote mpaka yeye atakapo sema.

Haya nimekaa home week nzima siitwi nampigia cm boss ananiambia Kwan nn kinaendelea kima yule kama hajui...

Akanipa appointment tuonane j3
Nimefika akanipa sababu za kipumbavu za kukatisha mkataba
1.umemjibu vibaya mkurugenzi wako (mke wake)
Sikufaham kuwa mke wake ni mkurugenzi maana sikutambulishwa wala hakuhusika katika mchakato wa kuniajiri pia siku tambua majukumu yake wala kwenda ku report kwake.

2.natangaza kuwa nnalipwa mshahara mkubwa. Sikuwahi fanya ivo....
Pili kwani kuna ubaya kujivunia matunda ya ujuzi wako kuna sehemu yoyote katika mkataba inayo zuia kufanya ivo?

3. Eti nauza vifaaa ili hali kuwa nayeye pia anauza vifaa .... lakini muda huo hakuwa na stock yoyote na hakuweza jua ni vifaa gani vilivo kuwa na uhitaji kwa muda ule ndio maana tukavileta.


Nilicho jifunza

1.usiwapende na kuwaamini wote kazini
Boss nilimwona kama baba ❌

2.usioneshe mafanikio yako we walilie shida tu hata kama unacho hii itafanya boss pia ajiamini kuona atakutawala milele

3.marafiki wa kazini ni wanafiki tenga muda ujifunze unafki pia ila usiwe mfitini.... hii itasaidia kuweza kuzichapa ki intelijensia ukiwa hapo hapo kazini

4.fanya kazi masaa ya kazi tu hizo extra hours nenda kafanye kazi kwingine fanya kazi zako vizuri na kwa ufanisi wa hali ya juu ila usiifanyie zaidi taasisi .... hii itasaidia hata siku ukifukuzwa usipate maradhi ya moyo au sonona.

5.usiwe na mpenzi/wapenzi kazini.... maana hii huleta wivu hata kwa wafanyakazi wenzio kama kuna mwanamke anakukubali ataanza kuleta wivu au kama kuna mtu alivutiwa na huyo ulie nae atakuletea shida pia ( hapo juu kipindi jina limekua nilitafuna piss kali sana kias kwamba mpare mmoja MD alifurahi sana alipoona nmeachana na ile yule dada) sema tulio soma Cuba tukaelewa shida yake ilikua nini maana hata tulipo kuwa tukienda kulewa na jamaa alikua anampigia cm yule dada niongee nae mbele yake kima yule.

6.Marufuku kunywa pombe na work mates wako hii itakusaidia sana kufanya wasikujue.
 
Sio kweli hakuna watu wako peace kama wafipa,mm nafanya kazi unyakyusani Cha moto nakiona mm Nina upendo na Kila mtu lkn hii mijamaa imezidi ukabila na roho mbaya.
Hawa wapumbavu ni wabaguzi sijapata ona.
Mm naona issue hii ipo kwa kila kabila ila namna ya Kuvunja hizi kero ni kujifanya kama wao ..... unakumbuka vile wanasema when in Rome be roman sio vinginevyo...
 
Nakumbuka 2021

Nimeanza kazi boss ananipenda sana basi kila idea za michongo naropoka tu aamue yeye kuzifanya au kuacha, nikiona wazo zuri la kuboresha clinic yake namfungukia tu bila wasi wasi .....

Miezi michache baadae wateja/wagonjwa wakawa wananikubali basi jina lina kuwa kwa kasi ya ajabu kupita wale nilio wakuta hapo nna miezi mitatu boss ananiita pembeni na kunifanya kuwa mkuu wa idara

Mimi natumia nafasi hiyo hiyo kubanana tuongezeane mshahara nae bila hiyana anafanya ivo .... shida inakuja baadae nilianza kuuza vifaa tiba nikiwa eneo la kazi then ikaleta conflict of interest... ikumbukwe kuwa mwanzoni nilileta wazo kwa boss ila hakulifanyia kazi.....

Wiki mbili mbele nkachukua faida kidogo na kilie kiji akiba kwenye mshahara nikachanga ninunue ka vitz bhana wee..... songo mbingo likaanza

Kazini nashinda asubuhi mpaka jioni nnahitaji leseni kwaajili ya baby walker nikatenga muda ijumaa baada ya kazi nikimbie TRA mara moja Kisha nirudi, loooh!
Mke wa boss (mpare) ananambia umetoka kazini hapa sio getto kwamba ujiingilie na kutoka.... kwa heshima na kuepusha migogoro nilirudi mchana ule nikabadilisha uniform na kutoka kazini ili nirudi kesho hali ikiwa imetulia.

Kumekucha nirudi kazini nakutana na work mate mwenyeji wangu (mfipa) ananambia hapa boss kasema ukija usiguse chochote mpaka yeye atakapo sema.

Haya nimekaa home week nzima siitwi nampigia cm boss ananiambia Kwan nn kinaendelea kima yule kama hajui...

Akanipa appointment tuonane j3
Nimefika akanipa sababu za kipumbavu za kukatisha mkataba
1.umemjibu vibaya mkurugenzi wako (mke wake)
Sikufaham kuwa mke wake ni mkurugenzi maana sikutambulishwa wala hakuhusika katika mchakato wa kuniajiri pia siku tambua majukumu yake wala kwenda ku report kwake.

2.natangaza kuwa nnalipwa mshahara mkubwa. Sikuwahi fanya ivo....
Pili kwani kuna ubaya kujivunia matunda ya ujuzi wako kuna sehemu yoyote katika mkataba inayo zuia kufanya ivo?

3. Eti nauza vifaaa ili hali kuwa nayeye pia anauza vifaa .... lakini muda huo hakuwa na stock yoyote na hakuweza jua ni vifaa gani vilivo kuwa na uhitaji kwa muda ule ndio maana tukavileta.


Nilicho jifunza

1.usiwapende na kuwaamini wote kazini
Boss nilimwona kama baba ❌

2.usioneshe mafanikio yako we walilie shida tu hata kama unacho hii itafanya boss pia ajiamini kuona atakutawala milele

3.marafiki wa kazini ni wanafiki tenga muda ujifunze unafki pia ila usiwe mfitini.... hii itasaidia kuweza kuzichapa ki intelijensia ukiwa hapo hapo kazini

4.fanya kazi masaa ya kazi tu hizo extra hours nenda kafanye kazi kwingine fanya kazi zako vizuri na kwa ufanisi wa hali ya juu ila usiifanyie zaidi taasisi .... hii itasaidia hata siku ukifukuzwa usipate maradhi ya moyo au sonona.

5.usiwe na mpenzi/wapenzi kazini.... maana hii huleta wivu hata kwa wafanyakazi wenzio kama kuna mwanamke anakukubali ataanza kuleta wivu au kama kuna mtu alivutiwa na huyo ulie nae atakuletea shida pia ( hapo juu kipindi jina limekua nilitafuna piss kali sana kias kwamba mpare mmoja MD alifurahi sana alipoona nmeachana na ile yule dada) sema tulio soma Cuba tukaelewa shida yake ilikua nini maana hata tulipo kuwa tukienda kulewa na jamaa alikua anampigia cm yule dada niongee nae mbele yake kima yule.

6.Marufuku kunywa pombe na work mates wako hii itakusaidia sana kufanya wasikujue.
Noma sana
 
Habari za muda huu

Haya yalinikuta kwenye kazi yangu ya kwanza nilipokuwa bado sijafunzwa na Ulimwengu

1. Chuki ya kwanza nilijisababishia mwenyewe baada ya kutongoza wafanyakazi watatu kwa nyakati tofauti wote walichomoa na kumbe walihadithiana ndipo nikaanza kupitia sarakasi na vitimbi hadi nikaona Ofisi Ni chungu.

2. Chuki ya pili nilikuwa na mshkaji alikuwa anapenda kunitembelea, siku moja alikuta kifaa kinachofanana sana na cha Mradi wa Taasisi, akauliza tu friendly umekitoa wapi, nikamjibu nilinunua dukani. Kumbe alienda kumuambia boss kuwa nimeiba kifaa Cha Mradi! Boss na yeye mwanamke, badala ya kuniita na kunihoji, akachukua uamuzi wa kunipunguzia 75% ya majukumu ikwemo ya site kwa hoja ya kwamba nimekosa uaminifu(japo hakuniamba directly, ila aliongea kwa mafumbo).

3. Nilifiwa, wakateuliwa wawakilishi wa taasisi wanisindikize msibani, baada ya msiba wakarudi kuhadithiana Hali ngumu ya kijijini kwetu. Niliposikia kuwa wamehadithia, nikachukua uamuzi wa kumpiga makofi yule dada. Kumbe ilikuwa ni Mali ya Boss, boss akazidisha vitimbi Hadi nikaona nikubali yaishe nikaacha kazi.

Namshukuru Mungu nilipata kazi Nyingine ambayo Ndiyo naifanya Hadi Sasa. Jambo la Msingi nililojifunza ni PRIVACY& CONFIDENTIALITY Ni muhimu Sana wakati wa kujumuika na workmates. Lingine ni KUTOKUMUAMINI YEYOTE KWA WAKATI WOWOTE kwani sehemu kubwa ya Chuki na vita makazini husababishwa na mtu kuwa na DETAILS zako.

Karibuni tushirikishane matukio ya Chuki na Vita tulivyowahi kupitia kazini.

Wewe ndo sababu ya fitina zote. Hizo sio fitina, ni malipo ya matendo yako. Maama halifi ya fitina ni kutokuhusika na kusababisha.
 
Kuna jamaa alihadithia maskani kuwa kuna mwana alifukuzwa kazi kwa Faizar kiwanda Cha mikate Dar kisa kavaa sendo zile za 60,000 kama Mwarabu. Mwarab kumuona akakwambia kwa mshahara ninaokupa huwezi kuvaa sendo ya bei hii. Wewe unaniibia. Akamfuta kazi hapohapo. Hili ni funzo kuwa weka password ktk maendeleo yako kazini. Wengine si wazuri.
Uko sahihi dada angu anafanya KAZI Kwa wahindi mpk Leo hawajui km ana nyumba wakifanga renovation nyumba zao wanampa milango na Baadhi ya furnitures akauze ye anaenda kuweka kwake wanaamini Kwa mshahara wake hawezi Jenga Yaani akienda kazini Yuko very low key,anaomba Kila siku Kwa wale wadosi wanampa
Kuna mmoja alifukuzwa KAZI na wahindi walipojua kua amejenga nyumba wakasema alikua anawaibia walimpeleka mpk polisi kua ni mwizi
 
Ngoja nami niweke case yangu

Nliajiriwa taasisi flani ya elimu kubwa tu hapa Dar baada ya miezi mitatu tu mkuu wa taasisi akatokea kuniamini sana kutokana na ufanyaji wangu akaniita ofisini akanipiga brush ya maana juu ya kitengo kingine nyeti katika taasisi hiyo kabla ya kutoka ofisini akaniambia nipitie reception kuna barua nichukue. Kucheck kaniongezea majukumu mengine nyeti sana na wenye safari za kutosha nafika kwa boss wangu wa kitengo changu kashatumiwa ujumbe akaniweka kitimoto sema sana umekuja juzi tu unajifanya wewe ndo mfanyakazi bora sio tutaona. Bwana were

Picha linaanza naye akaniongezea majukumu ikawa nkiingia kazini asubuhi natoka saa nne usiku nkifika nyumbani sita usiku ikawa ni kawaida mwili ulikubali ila nlichakaa hatari. Nkarudi kwa mkuu kumwomba anitoe kwenye kitengo cha kwanza akaniambia nkikutoa huko hicho kitengo kitashindwa kuperfom aseee ile kazi ilinitesa nlishindwa kufanya mambo ya msingi ya kwangu binafsi ya maendeleo ndugu wakaniweka kando kwasababu muda wote ilikua ni kazi na mimi.

Baada ya miaka minne rasmi ikaanza vita ya kuniharibia aseee ombea hii kitu usiombe watu wakuamulue jambo nlipigwa vita ya kufa mtu ikawa ni mashtaka kila siku uzuri mkuu wa taasisi aliliona hilo akatuita akampa makavu boss wangu mbele yangu bwana weeeee ilitokea tu nkaanza kuichukia kazi mwenyewe nkawa siendi kazini sina sababu nkafatwa mpaka kwangu na mkuu wa taasisi akaniuluza kama kuna jambo haliko sawa nimweleze lakini sikuona tatizo lolote hatimaye nkaacha kazi mwenyewe ukiniuliza Leo kwanini nliacha sinaga sababu Ila sijawahi kujutia mpaka kesho huo uamuzi
Asehhh...pole sana watu walikupiga sayansi ya kiutamaduni ukasarenda
 
Sio kweli hakuna watu wako peace kama wafipa,mm nafanya kazi unyakyusani Cha moto nakiona mm Nina upendo na Kila mtu lkn hii mijamaa imezidi ukabila na roho mbaya.
Hawa wapumbavu ni wabaguzi sijapata ona.
Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
 
Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
Mkuu tunaomba kisa kimoja 😅😅
 
Wanyakyusa hawana shida kabisa. Mimi ni mnyakyusa nafanya kazi kaskazini yaani natamani kurudi nyumbani tu maana hawa watu wa kaskazini especially wachaga wana roho chafu sana yaani itoshe tu kusema haya mashetani ni ma mbwa kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom