chief_
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 830
- 1,395
Hivi wewe magu angekaa maisha yake yote kwamba asinge kufa na kusingekua na mtu mwingine....??
Ishu sio magufuli au mjomba ake magufuli ...
Utawala sio jeshi la mtu mmoja..
Huo utawala unaousema wewe... utawala wakutokuwa na upigaji... unhekua kwenye system kwamba kila anaeingia anaongozwa na system...
Sijaona juhudi yoyote ya mwanakwenda katika kuhakikisha anatengeneza system zaidi ya kuweka formation na ndugu zake ngazi za juu na kuwabana wasio timu yao..
Hata upigaji na yeye kapiga sana tu kwenye hayo hayo mamiradi ya ujenzi..
Aliekufa na lake halipo tena sasa ni kuangalia mbele system iwepo ya kuguide kila atakaye kuja .... praising mapambio hazisaidii...na nafurahi hayatakuwepo tena.
Ishu sio magufuli au mjomba ake magufuli ...
Utawala sio jeshi la mtu mmoja..
Huo utawala unaousema wewe... utawala wakutokuwa na upigaji... unhekua kwenye system kwamba kila anaeingia anaongozwa na system...
Sijaona juhudi yoyote ya mwanakwenda katika kuhakikisha anatengeneza system zaidi ya kuweka formation na ndugu zake ngazi za juu na kuwabana wasio timu yao..
Hata upigaji na yeye kapiga sana tu kwenye hayo hayo mamiradi ya ujenzi..
Aliekufa na lake halipo tena sasa ni kuangalia mbele system iwepo ya kuguide kila atakaye kuja .... praising mapambio hazisaidii...na nafurahi hayatakuwepo tena.