Tulizeni Mioyo Watanzania: Taifa liko Salama Mikononi mwa Mama Samia Suluhu Hassan
Vijana wataanza tena kivuta unga.Kwanini hakupelekwa nje kupata matibabu ya kibingwa.
 
Kama ni kitu ambacho Rais wetu mpendwa JPM alifanikiwa kudhibiti ni matumizi holela fedha.Aliweza kuziba mianya yote ya ubadhilifu fedha za umma. Nimuombe rais wetu mpya kutosita kutumbua mtu bila kujari wadhifa wake.
 
Awali yeyote nichukue Fursa hii kuomba watanzania tumuombee sana Rais wetu mpya Mama Samia Hasaana,lakin pia tuiombee nchi yetu amani.

Kiukweli mama Samia ana mlima mzito wa kuuvuta.Matarajio na matumaini ya watanzani ni makubwa .Watanzani wanategmea mama afanye mambo makubwa kama mtangulizi wake.Kimbembe kitatokea pale mama akishindwa kufanya vile watu wanatumaini nayona maandamano ya wananchi ukizingatia mama kaingia ikulu kwa bahati mbaya,hakuna aliyeingia kwenye boksi la kura kumchagua.

Endapo mama atashindwa kufikia matarajio ya wananchi,mambo mawili nayaona.Kwanza anaweza kujiuzuru kutokana na presha ya wananchi,pili naona Jeshi likichukua nchi.

Lakini pia kwa mbali naona kuna watu wanaingiza tuhuma za uudini.Tuiombee sana nchi yetu amani.
 
Hakuna ugumu wowote.

mama kaingia ikulu kwa bahati mbaya!😠😠
 
Hakuna ugumu wowote hata aliyemtangulia alimuamini

Mama Samia ni amiri jeshi mkuu
 
Kama ni kitu ambacho Rais wetu mpendwa JPM alifanikiwa kudhibiti ni matumizi holela fedha. Aliweza kuziba mianya yote ya ubadhilifu fedha za umma.Nimuombe rais wetu mpya kutosita kutumbua mtu bila kujari wadhifa wake.
Mataga unaweweseka tu. Huna lolote!! The time is over!😃 🥂🍾🍻🍺🍹🍸🍷🍽️
 
Sijui unatumia miwani gani kuona hivyo lakini don't worry be happy, everything is going to be alright.
 
Awali yeyote nichukue Fursa hii kuomba watanzania tumuombee sana Rais wetu mpya Mama Samia Hasaana,lakin pia tuiombee nchi yetu amani....
Kwani Magufuli alichaguliwa kwa kura halali za wananchi? Kilichofanyika kwenye uchaguzi wa SM na mkuu tulikiona kwa macho yetu, ndio maana Mungu kaamua kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.
 
Tulieni
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan
Atanyoosha Goal
 
Waovu wengi sana wanamzukunga!
Sioni chochote cha maana atakachofanya huyu bi mkubwa!Labda aanze na hao panya kwanza
 
Habari wadau!
Kuna walevi naona wameshaanza kujiandaa kuhusu kale ka utaratibu kao ka mupe muruke mupe muruke.

Nataka niwasihi tu watulie baba zangu hawamu hii hatutakuwa na mupe muruke kama hawamu ya JK ila tutaregeza kidogo angalau muwe mnapata kabia kamoja au tuwili maana miradi mingi aliyoanzisha mzee ipo 95 percent kukamilika hivyo hatutakaza sana jamani.

Nasema uongo ndugu zangu ??
 
Sasa hivi tutaendelea na Ujambazi wetu Kama kawa.

Ukija ofisini Kama huna 10% sikuhudumii ng'oo. La sivyo faili lako utalifuatilia Hadi soli ya viatu iishe.

Na ukileta jeuri nakupiga vibao na bado Polisi nakupeleka na unafungwa.
 
Haina mbaya.Angalau tabasamu lake na maneno laini tu yatafanya tunywe hata komoni kwa amani kuliko bia za kudhulumu.Ikishindikana tutatapeliana wenyewe kwa wenyewe kwa kisingizio Cha "ntakulipa si muda.Kuna deal litakaa poa"!We unaonaje?😂😂😂😂
 
Sasa hivi tutaendelea na Ujambazi wetu Kama kawa.

Ukija ofisini Kama huna 10% sikuhudumii ng'oo. La sivyo faili lako utalifuatilia Hadi soli ya viatu iishe.

Na ukileta jeuri nakupiga vibao na bado Polisi nakupeleka na unafungwa.
Una nijuha mimi ni nani?😂😂😂
 
Habari wadau!
Kuna walevi naona wameshaanza kujiandaa kuhusu kale ka utaratibu kao ka mupe muruke mupe muruke.

Nataka niwasihi tu watulie baba zangu hawamu hii hatutakuwa na mupe muruke kama hawamu ya JK ila tutaregeza kidogo angalau muwe mnapata kabia kamoja au tuwili maana miradi mingi aliyoanzisha mzee ipo 95 percent kukamilika hivyo hatutakaza sana jamani.

Nasema uongo ndugu zangu ??
Hiyo itabakia kwenye vitabu vya kumbu kumbu tu
 
Back
Top Bottom