Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mataga unaweweseka tu. Huna lolote!! The time is over!😃 🥂🍾🍻🍺🍹🍸🍷🍽️Kama ni kitu ambacho Rais wetu mpendwa JPM alifanikiwa kudhibiti ni matumizi holela fedha. Aliweza kuziba mianya yote ya ubadhilifu fedha za umma.Nimuombe rais wetu mpya kutosita kutumbua mtu bila kujari wadhifa wake.
Kwani Magufuli alichaguliwa kwa kura halali za wananchi? Kilichofanyika kwenye uchaguzi wa SM na mkuu tulikiona kwa macho yetu, ndio maana Mungu kaamua kuleta mabadiliko bila damu kumwagika.Awali yeyote nichukue Fursa hii kuomba watanzania tumuombee sana Rais wetu mpya Mama Samia Hasaana,lakin pia tuiombee nchi yetu amani....
And your point is ........Awali yeyote nichukue Fursa hii kuomba watanzania tumuombee sana Rais wetu mpya Mama Samia Hasaana,lakin pia tuiombee nchi yetu amani...
Which time is over shrimp head!Mataga unaweweseka tu. Huna lolote!! The time is over!!![emoji2] [emoji1635][emoji898][emoji482][emoji481][emoji484][emoji483][emoji485][emoji2421]
Time for you country bumpkins to jump like frogs 🐸🐸🐸🐸🐸!!!Which time is over shrimp head!
Una nijuha mimi ni nani?😂😂😂Sasa hivi tutaendelea na Ujambazi wetu Kama kawa.
Ukija ofisini Kama huna 10% sikuhudumii ng'oo. La sivyo faili lako utalifuatilia Hadi soli ya viatu iishe.
Na ukileta jeuri nakupiga vibao na bado Polisi nakupeleka na unafungwa.
Hiyo itabakia kwenye vitabu vya kumbu kumbu tuHabari wadau!
Kuna walevi naona wameshaanza kujiandaa kuhusu kale ka utaratibu kao ka mupe muruke mupe muruke.
Nataka niwasihi tu watulie baba zangu hawamu hii hatutakuwa na mupe muruke kama hawamu ya JK ila tutaregeza kidogo angalau muwe mnapata kabia kamoja au tuwili maana miradi mingi aliyoanzisha mzee ipo 95 percent kukamilika hivyo hatutakaza sana jamani.
Nasema uongo ndugu zangu ??