Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Wanasema chaguzi kama hizi kuamsha ari za vijana kuacha barracks na kuanza kutamani madaraka.
Uzuri historia haiongopi, wote waliowahi kupinduliwa walikuwa wakishinda kwa kishindo kwenye chaguzi.
 
Mkuu si unajua hawa proffs wetu wanaokotwa jalalani hivyo uwezo wao wa kuhesabu ni wa ngumbaru.
Yani mahesabu ya kura 15 ma profesa wana piga mda mrefu hivyo kwa maana hiyo mahesabu ya kurusha rocket yata chukua miaka 100
 
Pole kwa.Jaji kaijage.. heshima yake ya ujaji imeishia tarehe 27 oct 2020.
Siku ya kufunga kampeni pale Tanganyika Parkers, Lissu alisema NEC imemuandalia jiwe kura milion kumi na mbili
 
Reactions: BAK
Mbwebwe zoote zile halafu unapata kura 1,933,271 ni fedheha na aibu kubwa.

Ujumbe wa kuudhi kwa waliokuudhi kwa miezi2 ya kampeniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Si wangemtangaza tu kabla hata ya kampeni, kuliko kuekti sinema ya matrillioni kwa kodi zetu, tungeokoa hayo matrillioni yakasaidia kutubambikizia kesi zisizo na dhamana wananchi na kununua virungu vilivyo vunjika baada ya kutupiga navyo....
mngesema mwanzo kabla hata ya kampeni

Ili kuzuia mahela yote
Kama mngekuwa na akili kweli
 
πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½ Umepiga mule mule.
Hito 84% Bashiru alisha isema.. naona yalikua maagizo ya mkuu kwamba

1. Chadema wapate kiti 1
2. Ccm ipate viti vyote
3. Yeye apate 84% ili apate nafasi ya kusema Watanzania wanataka aendelee 2026.
 
Asilimia ilikuwa haijatimia Mkuu hivyo walikuwa wanajazilia pale namba zilipokuwa zimegoma πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ½πŸ˜‚
Mwana aende tena shule mama yangu πŸ™†πŸ™† hesabu zangu nitakazo mfundishaji zina mtosha yani 15m kura zina chukua mda mrefu hivyo kama vile tuna subiri Yesu arudi
 
Siwasapotii matagaa. ... Hiyo amani huku kwetu kwa Sasa haipo... Tuache nyimbo za Aman kukudanganya wakat hakuna Aman.... Hiyo ndo ilikuwa maana yangu na Wala sio kuwasapoti matagaa
 
Hito 84% Bashiru alisha isema.. naona yalikua maagizo ya mkuu kwamba

1. Chadema wapate kiti 1
2. Ccm ipate viti vyote
3. Yeye apate 84% ili apate nafasi ya kusema Watanzania wanataka aendelee 2026.
Heshimuni uamuzi wa WANANCHI
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Wananchi wameamua... wa mitandaoni na hao ndugu zenu..hongera kwenu kwa kura zenu hizo..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Magufuli πŸ’šπŸ’›πŸ’šπŸ’›πŸ’š
 
Aheri umejua shida ilikuwa ni "kulinda kura "
 
Yani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.

NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
Kwa hali ilivyo kura zilizopigwa vituoni hazijahesabiwa.

Waliamua kujaza namba tu kwenye form za matokeo.

Kuna uwezekano mkubwa sana turn out ya voters haikufika milioni 10.

Vituo vya kupigia kura havikuwa na watu kabisa.

Hata hivyo wapiga kura milion 29 wamejitokeza 15 karibia nusu ya wapiga kura hawakujitokeza kupiga kura.

Hii ndiyo tume iliyofeli kuliko zote nilizowahi kuzishuhudia katika maisha yangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…