Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Nakumbuka wakati anafunga kampeni kawe lisu alisema Tume imeandaa kumpaa jiwe kura mil.12 za ushindi na matokeo yaliyotangazwa leo yamekuwa hayohayo,inawezekana tume ilijaza hizo fomu za matokeo yenyewe,kura tulizopiga hazijahesabiwa ....uwiiiiiiiii hiiii ni hatareeeee!!
 
CHADEMA mnakurupuka sanaaa kampeni zs Uchaguzi mkuu taangu zinaaanza tunaomba Ilani ila mlikua mnatupiga Danadana mara Ni yeye Ni yeye Ni yeeee Ni yeyeye Nyomi la Lissu Chatto Nyomi la Lissu Geita Nyomi la Lissu Kawe mambo ambayo hayana hata tija na tuliwambia humu kuwa kwa mlivyojidhatiti mwaka huu hatutarajii kusikia nimeibiwa kura.

Chama kinaingia kwnye Uchaguzi hakina hata Tallying Center hata moja hata kama mmeibiwa lakini hata tukisema leteni matokeo yenu nayo hata hamna mawakala wenu wana njaa sanaaa hawawezi ku concrtrate kwenye uchaguzi kama hamjampa hata ya biscuit za sh. 200

Yaani mlitaka wananchi wawachague tena halafu mje kuhamia CCM tena? Kwa kipigo hiki naona imekua Fundisho kwa vibaraka wote wa mabeberu ni Kipigo cha mbwa koko!
Wewe juha hukuona yale mabegi yanayokamatwa ya kura fake?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Umpende, Umpende haikusaidii kitu. Watanzania wamechagua maendeleo, sio ushabiki au huruma za chama.
Kwa hiyo mimi sio Mtanzania?

Nisipompenda mimi inanisaidia kuwa na afya namchukia kupita maelezo

Hayo maendeleo unayajua wewe au unabwata tu, karne ya 21 unazungumzia hospital kubwa ya rufaa kutokuwa na gloves hayo maendeleo mengine utayaokota ndotoni? Puuuumbavuuu
 
2015...
Chadema & ccm kura zilikua 14+M
So mwaka huu wamepiga kura almost Walewale tena wanapungua kidogo[emoji1]
Yani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.

NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
 
acha uvivu.. wizi hakuna na badooooooooo....
Kama meno yako hayakuisha kwa kusagwa kabla bora sasa.. uwe tayari meno yaliyobaki yasagikeeeeeee maana yatakuishia tu.. ukitaka kuwahi.. kuna kitambulisho nimekwambia cha elfu 20

eti nani angepata kura za Wanachi... eeeeeh unayoandika ni unaandika kwako na wenzako
Kitambulisho cha elfu 20 kinisaidie nini mimi unadhani mimi kapuku mwenzako au mtaji wa CCM majinga ya vijijini?

Hayo majinga siku hizi yamehamia hadi mijini, yani mimtu ya ccm ni ya hovyo sana puuuu!
 
Mkuu nikuulize kitu. Hivi zile kura fake hukuziona? Na kama uliziona kwa nini unaandika ujinga? Kama hukuziona basi wewe ni taahira.
Kura fake nchi nzima?. Allegations za kipuuzi kabisa, kwa style yenu msipobadilika sahauni hata uenyekiti wa serikali za mitaa. Watanzania Wanatafuta connection, hawapo tayari kuchanganya magunzi na betri.
 
Kura fake nchi nzima?. Allegations za kipuuzi kabisa, kwa style yenu msipobadilika sahauni hata uenyekiti wa serikali za mitaa. Watanzania Wanatafuta connection, hawapo tayari kuchanganya magunzi na betri.
Connection ya kitahira labda.
California ni blue state inaongozwa na Rais kutoka Red umewahi kusikia akiwaambia wasipoichagua serikali yake hatowapa maendeleo?

Such a wasted sp********
 
Kura fake nchi nzima?. Allegations za kipuuzi kabisa, kwa style yenu msipobadilika sahauni hata uenyekiti wa serikali za mitaa. Watanzania Wanatafuta connection, hawapo tayari kuchanganya magunzi na betri.
Hiyo ya uenyekiti wa serikali wa mtaa si tayari hawana? Sasa hivi CCM itatungoza kuanzia kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa na wajumbe wake, wenyeviti wa halmashauri, spika na wabunge wake, Rais na Baraza lake la mawaziri. Ni kweli kama ulivyosema wananchi wamechagua betri.

Amandla....
 
Yani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.

NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
Sababu haziwakosi?
 
Yani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.

NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom