Parvovirus
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 268
- 188
Wakuu, kuanzia saa sita kamili mambo yamesimama ofisini hapa.Kila mmoja anashauku ya kusikia Lissu kateuliwa.
Hahaaa...... Huu undezi sio kwa Tundu Lissu na watz wa sasa waliochoka🤔🤔😒😒Tume wakague vizuuri izo form,kama kunamahala panukta na akuweka imekulakwake.ukitaka,,,,,,nyani usimuangalie usoni.
Safi sana kama ni kweli, kiwakisheni sasa tuone dadadeki, ...
Atakuwa kaliwa kichwaUpdates basi! Sasa hivi ni saa 7 na robo, hawajakabidhi tu hizo fomu?
Mkuu inchi yetu hii hata kibajaji akipewa anaendesha bila shida. Tatizo ni kuendesha vizuri au vibaya. So swali lako ni mufilisi.Mbona haishi malalamiko kila kitu mpaka alielie, ataweza kuongoza nchi kweli huyu?
Kama ww ulivyoshetani... Maana mashetani yanafahamianaHii ccm ni chama cha kishetani
Uzuri katika dunia hii, your brain is your standard.Tundu Lissu ana akili nyingi sn ndio maana yule mlala kwenye mawe km mjusi anamuogopa sn
Huyu sio Lissu mbunge, wazungu wamefanya cloning, tangu atoke ulaya hajakutana na ndugu zake akiwemo kakayake, hajaenda kwake, hawakumbuki wazazi wake, kaenda kijijini kwao hakufika kuwasalimia.
Lissu original hakuwa na ndevu, huyu anamzuzu, sio yeye, vyombo vya usalama kuweni makini na huyu mzanzibar Salum Mwalimu
Heheee........ Kitanuka sn sn
Hapo mimi sijui!!jee amekwenda na vyeti vya kuonesha alikuwa anatibiwa?
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko
Alichoandika hakiko sawa kisheria
Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Sasa cc tukusaidiaje
Hawa jamaa wananishangaza sn yani.. wanaogopa uchaguzi utadhani ndege wamenunua CHADEMA😀😀Nikiona jinsi Ma-CCM yanavyomwogopa Lissu nachekaaaa.. hah...hah....hah!
Subiri walete uboya wowote uoneMmmmmmmh waaaapi?
show off hizo au mbwembwe tuView attachment 1547553
Kwenye picha ya kulia, hivi huyo mlinzi nahisi mwenye kifaa kinachotoa raser beam kwenye paji la uso ni robot? Hivi kweli hicho kifaa ni cha ulinzi? Hivi ndio kinafanya akina afande Sirro washindwe kumkamata Lissu kutokana na kumiminiwa risasi hapa Dodoma mwaka 2017?
Yawezekana kama mlinzi kavaa, basi Lissu kawekewa mwilini ili ku-divert risasi, na ku-detect sumu!!
U c and I cUzuri katika dunia hii, your brain is your standard.