Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Mwanasheria Koko

Really [emoji44][emoji15]

[emoji1787][emoji1787][emoji3516]
 
Ohoo mwanasheria nguli kapigwa kata funua Kama ya mbasha.
 
Je, walitakiwa kufika hapo muda gani kabla ya muda waliopangiwa? Na hapo kwenye picha wanajaza jaza nini?
 
Siasa za Afrika ni za kibabe sana.. Ukilegea wanashuka na wewe jumla jumla. Komaa dingi mpaka uwape makaratasi yao
 
Mwanasheria nguli apambane na Hali yake sasa.
 
Back
Top Bottom