Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sgr,hospital, uchumi wa Kati, barabar, elimu bure bado mnashindwa kushindana na mtu ambaye hajafanya chochote!!! Hii ccm bureee kabisa😂😂Safi sana kama ni kweli, kiwakisheni sasa tuone dadadeki, ...
Ssm inaoongozwa na wahamiaji haramu wasioitakia mema nchi yetuMmm...... ccm ni chama cha kishetani ndio maana watz hawakitaki lkn nyie mnalazimisha kwa mtutu wa bunduki na tume
Mwanasheria KokoKusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko
Alichoandika hakiko sawa kisheria
Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Pole mkuu..... ccm ni chama cha kishetaniKama ww ulivyoshetani... Maana mashetani yanafahamiana
Amen, mwepushe wale wabaya wake wanaowaza damu kila kukicha, ikamwagike damu yao na sio ya huyu mja wako tena Ee Mola wetu.Eee Mungu mlinde mja wako,akiwa ndani ya chumba hicho na hata akitoka.
Huyu Ni Lulu ya Taifa.
Msenge baba yako!Hutaki kupata habari usiingie mitandaoni kuzitafuta,shwain popoma wewe!Acheni ungese kila kitu kulialia tu
Hahaha tuko pamoja sanaMkuu mbona una tutenga, hata sisi tunayoitakia CDM mema kwenye hili?
Hilo hata malkia wa kuzimu anajuaPole mkuu..... ccm ni chama cha kishetani
Duuu.... PoleMbona sielewi..Naingia naambiwa asante sana!
Stream off
show off hizo au mbwembwe tu
Unajua rariba ikoje na sasa hivi ni saa ngapi?Tunafata list,sio kushika namba ana uchu mbona amewahi sana