Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Tume wakague vizuuri izo form,kama kunamahala panukta na akuweka imekulakwake.ukitaka,,,,,,nyani usimuangalie usoni.
Hahaaa...... Huu undezi sio kwa Tundu Lissu na watz wa sasa waliochoka🤔🤔😒😒
 
Huyu sio Lissu mbunge, wazungu wamefanya cloning, tangu atoke ulaya hajakutana na ndugu zake akiwemo kakayake, hajaenda kwake, hawakumbuki wazazi wake, kaenda kijijini kwao hakufika kuwasalimia.

Lissu original hakuwa na ndevu, huyu anamzuzu, sio yeye, vyombo vya usalama kuweni makini
 
Mbona haishi malalamiko kila kitu mpaka alielie, ataweza kuongoza nchi kweli huyu?
Mkuu inchi yetu hii hata kibajaji akipewa anaendesha bila shida. Tatizo ni kuendesha vizuri au vibaya. So swali lako ni mufilisi.
 
Huyu sio Lissu mbunge, wazungu wamefanya cloning, tangu atoke ulaya hajakutana na ndugu zake akiwemo kakayake, hajaenda kwake, hawakumbuki wazazi wake, kaenda kijijini kwao hakufika kuwasalimia.

Lissu original hakuwa na ndevu, huyu anamzuzu, sio yeye, vyombo vya usalama kuweni makini na huyu mzanzibar Salum Mwalimu

Sasa cc tukusaidiaje
 
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali

Kwenye hili povu hoja yako ni nini?
 
Wakuu, yajayo yanastaajabisha
Screenshot_20200825-133900_Twitter.jpg
 
View attachment 1547553

Kwenye picha ya kulia, hivi huyo mlinzi nahisi mwenye kifaa kinachotoa raser beam kwenye paji la uso ni robot? Hivi kweli hicho kifaa ni cha ulinzi? Hivi ndio kinafanya akina afande Sirro washindwe kumkamata Lissu kutokana na kumiminiwa risasi hapa Dodoma mwaka 2017?

Yawezekana kama mlinzi kavaa, basi Lissu kawekewa mwilini ili ku-divert risasi, na ku-detect sumu!!
show off hizo au mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom