Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]watakua wako njiani kuja kumsaidia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]barua ya wazi kwa raisi wa jamhuri, mteja wao ameshawaambia huko.
 
Reactions: nao
😁😁
 
Watatorokamda si mrefu wenyekiti afisa kipenyo na wenzie watasepa kupitia mlango wa nyuma , utasikia mda wa kurudisha fomu umeisha hayana hata aibu ,hivi hapo Dodoma mnasubiri nini kikinukisha.
 
Hahahaaaa..... Jamaa anataka aendelee kujenga Jamhuri ya watu wa chato kibabe.......

Sasa amerudi mtetezi halisi wa watz amelowa na kutaka kulazimisha kumuondoa
Hilo hatutalikubaki watanzania
#NoLissu,NoElection#Sasa basi!
 
Ngoja nione kama huu utopolo niliowahi kuandika kama uta make sense...
 
Binti yangu, vurugu zikianza Lisu awezi kimbia, hapo alipo ameazima miguu ya Mnyika!
 
UOVU wa magufuli na wahuni na majizi ya tumeccm lazima utendwe wengine wakiwa wameshaondoka. Hawataki wa vyama vingine vya upinzani wawepo. Lissu kafika tangu 11:45am hadi saa hizi 2:13pm bado anasubiri tu [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Wanataka wa-panic waambiwe wamesababisha vurugu!
 
Huu ni ujinga wako!! Wewe umeisoma fomu yake?? Kalemba miguu ya meko
 
Lissu huko ulipo sema neno muda unayoyoma huku. Tangaza hali ya HATARI mapema
 
Walipoelekezwa kwenda kwenye hiyo holding room nilijua tu kuwa wamewekwa huko ili maafisa wa tume wasubirie "maelekezo kutoka juu" ya nini kifanyike
 
Anarudisha last minute akidhani time watakuwa wameingwa sana bhas ataipitia kikamilifu sababu ya muda mdogo Leo Leo wapokee na Leo Leo watangaze!! Poor thinking
Rudia kusoma ulichoandika, umepaniki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…