Tushajiandaa kula ubwabwaNAANGALIA HAPA MTANGAZAJI ANASEMA ZOEZI LINAELEKEA HATUA ZA MWISHO MWISHO[emoji23][emoji23]
nipo na mtu hapa amekosa nguvu..
Dunia hii..ptuuu
Kwa hiyo hadi mzee wetu Rungwe wamemchomoa?
This is UNFAIR...Walipoelekezwa kwenda kwenye hiyo holding room nilijua tu kuwa wamewekwa huko ili maafisa wa tume wasubirie "maelekezo kutoka juu" ya nini kifanyike
Acha ujingaNinaangalia kituo cha Taifa cha luninga cha TBC hapa wakionyesha mubashara, matangazo hayo.
Hata hivyo nimeshangazwa kwa kuona wagombea wa chama cha CUF wakiingia kwenye chumba cha kurejesha fomu, wakati wenzao wa Chadema, ambao kwenye ratiba walikuwa wamewatangulia wakiendelea kusubiria kwenye "Holding Room" ambapo haijulikani wataingia saa ngapi!
Hii Tume isifanye masihara na amani ya nchi hii, wanapaswa watekeleze majukumu yao wakiwa huru na wasikubali hata kidogo kupokea maagizo toka juu!
Kwa akili yako ya kipuuzi unadhani hakuna ratiba ya kurudisha? NEC wameweka ratiba na sio kila mgombea kurudisha fomu anapojiskiaRaisi Magufuli alisharudisha siku nyingi kimya kimya bila kelele Wala tarumbeta
Amekatwa tayariMlioko njedengwa Tiyari bado?
😁😁Mlioko njedengwa Tiyari bado?
Whatever the case, wakeshe tu mbona ujenzi wa madaraja wengine wanakesha.Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?
Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini
Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
Haya kampikie mumeo seneneAmekatwa tayari
We ng'ombe kwa hiyo maximum ni ngapi kwa mujibu wa tume......? Au ww umekua tume kosa liko wapi😒😒Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?
Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini
Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
Jiwe atabana mpaka ataachiaFigisu zinaendeleaView attachment 1547564