Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

NAANGALIA HAPA MTANGAZAJI ANASEMA ZOEZI LINAELEKEA HATUA ZA MWISHO MWISHO[emoji23][emoji23]

nipo na mtu hapa amekosa nguvu..

Dunia hii..ptuuu

Kwa hiyo hadi mzee wetu Rungwe wamemchomoa?
Tushajiandaa kula ubwabwa
 
Ninaangalia kituo cha Taifa cha luninga cha TBC hapa wakionyesha mubashara, matangazo hayo.

Hata hivyo nimeshangazwa kwa kuona wagombea wa chama cha CUF wakiingia kwenye chumba cha kurejesha fomu, wakati wenzao wa Chadema, ambao kwenye ratiba walikuwa wamewatangulia wakiendelea kusubiria kwenye "Holding Room" ambapo haijulikani wataingia saa ngapi!

Hii Tume isifanye masihara na amani ya nchi hii, wanapaswa watekeleze majukumu yao wakiwa huru na wasikubali hata kidogo kupokea maagizo toka juu!
Acha ujinga
 
Kitendo cha NEC kuwa wazito kupokea fomu za Mgombea wa Urais kupitia CHADEMA na kumteua, Je akishinda wataweza kweli mteua kuwa RAIS.

Watu wamefika kabla ya muda mmewaweka bench masaa mawili huku waliikuja baada wakiendelea kuteuliwa.


Ila ipo siku haya yote yataisha tu.
 
Mbona awamu hii ya tano wanaogopa sana ushindani?

Tanzania ni nchi ya demokrasia na hiki ni kipindi cha wananchi kuamua, sioni sababu ya NEC kuchukua muda mwingi kukagua form badala ya kutengeneza uwanja ili wananchi wakaamue wanayemtaka
 
Raisi Magufuli alisharudisha siku nyingi kimya kimya bila kelele Wala tarumbeta
Kwa akili yako ya kipuuzi unadhani hakuna ratiba ya kurudisha? NEC wameweka ratiba na sio kila mgombea kurudisha fomu anapojiskia
 
Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?

Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini

Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
 
NEC wanajidharirisha na kujifedhehesha sana......
 
Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?

Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini

Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
Whatever the case, wakeshe tu mbona ujenzi wa madaraja wengine wanakesha.
 
TBC wamekata matangazo ya moja kwa moja sijui shida ni nini!!
 
Chadema Hakuna washauri wazuri kwa Nini Lisu ajaze wadhamini maelfu kupitiliza idadi minimum inayotakiwa na Tume huku wakijua kuwa Tume inahitaji kuhakiki wote Kama Sio hewa?

Tume kuhakiki wadhamini wa Lisu tume yaweza Kesha tofauti na wagombea wengine ambao wamejaza only minimum required number ya wadhamini

Chadema kesheni hapo msubiri Tume imalize kuhakiki mumeyataka wenyewe
We ng'ombe kwa hiyo maximum ni ngapi kwa mujibu wa tume......? Au ww umekua tume kosa liko wapi😒😒
 
Lisu mwanasheria koko fikiria unaambiwa lete wadhamini wawili wewe unapeleka wadhamini laki Moja si.kumsumbua hakimu au jaji huko? Na kumpotezea muda kuhakiki

Kaambiwa lete minimum Hawa unapeleka maelfu sawa wasubiri tume ihakiki hao maelfu
 
Back
Top Bottom