Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Wamepangiwa ratiba ili wasigongane acha ushambaMwenzake kasharudisha yeye hadi saa sita anasubiri nini ?
Uzembe tu, wacha wafunge ofisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepangiwa ratiba ili wasigongane acha ushambaMwenzake kasharudisha yeye hadi saa sita anasubiri nini ?
Uzembe tu, wacha wafunge ofisi
Kila lakher kamanda.hujuma zote juu yako zikashindwe.Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
TBC IPO utumwani, ccm hukoNEC itende haki kwa wagombea wote ndo njia pekee ya kutunza amani TBC kama chombo cha habari cha umma wanapaswa kutoa nafasi sawa kwa wagombea wote mambo ya upendeleo hapana
Mrushe humu humu manake ma tv yetu ya chogo hayaonyeshiMhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Unataka kazi hutakiTBC watamwonyesha kama walivyofanya kwa mgombea wa CCM?
Atakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Atakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
NEC imevipa vyama vyote taratibu za kurejesha fomu na hizo taratibu ndizo zimetumika, Inawezekanaje wagombea wote wafike katika Ofisi za Tume kwa wakati mmoja? HaiwezekaniAnarudisha last minute akidhani time watakuwa wameingwa sana bhas ataipitia kikamilifu sababu ya muda mdogo Leo Leo wapokee na Leo Leo watangaze!! Poor thinking
huku viunga vya Lumumba & Chamwino pivyu vimebana nidaroko za watu aisee..... watu wameshika mbupu jamaa aenguliwe!Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Mwenye macho haambiwi tazamaMhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
UTV ya AzamAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
TBCAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Facebook au Tweeter?Atakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Safi Sana Rais wa awamu ya 6
#Uhuni sasa basi.
TBC watamwonyesha kama walivyofanya kwa mgombea wa CCM?
Atakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Kwa kweli namsubiria Raisi wangu hapa kwa hamu kubwaaaaa........Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania
Updates
----
Atakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?